UKAWA, MAANDAMANO, BMK KUSABABISHA VURUGU
![](http://api.ning.com:80/files/JnNsxgX9lA3l9VIz4hl92xiFinVw*oVgAZ8hDce9TgTkAbLwFLh7DUmKG4T*qzFLWcN2tNvOpp*nFLzUX8MHLnXr7s4djCfk/PicMonkeyCollage10.jpg?width=650)
Na MWANDISHI WETU ZIPO dalili kuwa wito wa viongozi wa vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) wa kutaka watu kuandamana nchi nzima na migomo isiyoisha, kwa shinikizo la kutaka kusitishwa kwa vikao vya Bunge Maalum la Katiba (BMK) kunaweza kusababisha vurugu zitakazowalazimu polisi kutumia mabomu ya kutoa machozi ili kuzidhibiti. Hali hiyo inatokana na mkanganyiko uliotokea baada ya kauli ya Mwenyekiti...
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
George Floyd: Sababu 4 zilizofanya kifo cha M'marekani mweusi kusababisha maandamano makubwa Marekani
11 years ago
BBCSwahili01 May
Vurugu, maandamano siku ya May Day
5 years ago
BBCSwahili03 Jun
Maandamano Marekani: Je Trump anaweza kutuma majeshi kudhibiti vurugu?
5 years ago
BBCSwahili14 Jun
Maandamano Uingereza: Zaidi ya watu 100 wamekamatwa baada ya kutokea vurugu jijini London
9 years ago
StarTV04 Nov
Maandamano ya UKAWA Singida yapigwa marufuku
Jeshi la Polisi limepiga marufuku maandamano ya kupinga matokeo ya Urais katika uchaguzi mkuu uliofanyika wiki iliyopita yaliyopangwa kufanywa mkoani Singida leo Jumanne na wanachama na wafuasi wa vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA.
Imeelezwa kuwa Maandamano hayo yanayotarajiwa kuanza saa 4:00 asubuhi na kuishia kwenye Ofisi za wakuu wa Wilaya na mkoa pia yanalenga kushinikiza kutangzwa kwa Edward Lowasa wa CHADEMA kuwa ndiye mshindi wa nafasi wa Urais suala...
9 years ago
Habarileo03 Nov
Polisi yapiga ‘stop’ maandamano ya Ukawa
POLISI mkoani hapa imepiga marufuku maandamano ya wafuasi wa vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), yaliyolenga kushinikiza aliyekuwa mgombea urais, Edward Lowassa kutangazwa kuwa ndiye mshindi halali wa kiti hicho.
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Uamuzi wa Ukawa usizushe vurugu
UAMUZI wa Vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wa kusimamisha mgombea mmoja katika Uchaguzi Mkuu mwakani umeelezwa na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-tAGDYdNYXj4/VCnm-6B7nJI/AAAAAAAARTw/X7EI3OyUxh0/s72-c/10665162_10152749169614216_1656876658698760_n.jpg)
Maandamano ya CHADEMA, UKAWA jijini Dar es Salaam
![](http://4.bp.blogspot.com/-tAGDYdNYXj4/VCnm-6B7nJI/AAAAAAAARTw/X7EI3OyUxh0/s640/10665162_10152749169614216_1656876658698760_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-o-HJEATioi0/VCnnATxCpeI/AAAAAAAART4/HPnHQrQywHA/s640/10614198_10152749167199216_2043680671316680957_n.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-SGfElUo5hjc/VCnnCGNNCnI/AAAAAAAARUA/JkF3beOFCUs/s640/1891193_10152749169829216_4299858991248878123_n.jpg)
9 years ago
Habarileo08 Sep
Mkutano Ukawa wakatishwa kwa vurugu
JESHI la polisi mkoani Mtwara jana lililazimika kutumia mabomu ya machozi ili kurejesha hali ya amani katika mkutano wa Chadema uliofanyika katika viwanja vya Mashujaa mjini hapa.