Uamuzi wa Ukawa usizushe vurugu
UAMUZI wa Vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wa kusimamisha mgombea mmoja katika Uchaguzi Mkuu mwakani umeelezwa na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi30 Jul
Lowassa, Ukawa uamuzi mgumu
9 years ago
Vijimambo19 Sep
Vurugu Ukawa sasa zasambaa mikoa 4
![Vurugu Ukawa sasa zasambaa mikoa 4](http://www.habarileo.co.tz/images/resized/images/duni18_478_290.jpg)
Hali hiyo ambayo imevuruga hadi majimbo ya wenyeviti wenza wa Ukawa, ni tofauti na mtafaruku mwingine unaoendelea ndani ya chama kimoja katika safu za uongozi wa juu, ambazo zimepewa jina la ‘kushuka njiani wakati safari ikiendelea’.
Mkoa wa Morogoro una majimbo 11 ya uchaguzi, ambapo CUF...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JnNsxgX9lA3l9VIz4hl92xiFinVw*oVgAZ8hDce9TgTkAbLwFLh7DUmKG4T*qzFLWcN2tNvOpp*nFLzUX8MHLnXr7s4djCfk/PicMonkeyCollage10.jpg?width=650)
UKAWA, MAANDAMANO, BMK KUSABABISHA VURUGU
9 years ago
Habarileo08 Sep
Mkutano Ukawa wakatishwa kwa vurugu
JESHI la polisi mkoani Mtwara jana lililazimika kutumia mabomu ya machozi ili kurejesha hali ya amani katika mkutano wa Chadema uliofanyika katika viwanja vya Mashujaa mjini hapa.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwlR6kkyGUlVXhaUcgbpKMmsY7Tf9fXMdGz37vCWox1iPrxWH*LF*kK9BFeXrCpArhXyx3Iiye0mfeuQhFx3uEsG/315407_114564585412445_342326531_n.jpg?width=650)
UAMUZI ULIOTANGAZWA NA WIZARA YA FEDHA KWA UKAWA BAADA YA KUSUSIA VIKAO VYA BUNGE LA KATIBA
10 years ago
StarTV10 Jan
Vurugu kuapishwa Serikali za Mitaa, UKAWA na CCM zalaumiana.
Na Josephine Shem,
Dar Es Salaam.
Siku chache baada ya kuibuka kwa Vurugu kwenye sherehe za kuapishwa Viongozi waliochaguliwa kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa uliofanyika mwaka jana Nchini kote, Chama cha Mapinduzi CCM pamoja na Vyama vinavyounda Umoja wa Wananchi UKAWA vimetupiana lawama kuhusiana na Vurugu hizo.
Kwa upande wake CCM ilivilaumu vyama vya Upinzani kuwa ndiyo chanzo cha matatizo hayo kwa kuwa na mazoea ya kuanzisha Vurugu pindi wanaposhindwa katika chaguzi mbalimbali,...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-j9xIdemwbWo/VaU-5o4DcTI/AAAAAAAHppM/2CZaoLo2mrY/s72-c/_MG_6218.jpg)
UPDATES YA UKAWA USIKU HUU: MGOMBEA URAIS WA UKAWA KUTANGAZWA NDANI YA SIKU SABA
Akizungumza na Waandishi wa Habari usiku huu,Mwenyekiti wa chama cha NCCR Mageuzi,Mh.James Mbatia amesema kuwa kuchukua muda mrefu kwa kikao hicho imetokana na kuandaa utaratibu jinsi ya kumtoa mwali wao wa Urais kwa tiketi ya UKAWA aliye bora.Amesema kuwa mkutano huo pia umechukua muda mrefu kutokana na mambo mengi ikiwemo mgawanyo wa majimbo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-j9xIdemwbWo/VaU-5o4DcTI/AAAAAAAHppM/2CZaoLo2mrY/s640/_MG_6218.jpg)
Afisa Habari wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...