Uchaguzi wa Marekani :Joe Biden anaweza kumuondoa Trump madarakani?
Joe Biden aliyekuwa makamu rais wa Marekani sasa yupo katikati ya Donald Trump na miaka minne ijayo katika Ikulu ya Marekani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili03 Jun
Maandamano Marekani: Je Trump anaweza kutuma majeshi kudhibiti vurugu?
Wakati maandamano yakishika kasi nchini Marekani, Rais wa nchi hiyo, Donald Trump ametishia kutuma majeshi yake ili kutuliza ghasia.
5 years ago
BBCSwahili04 Mar
Uchaguzi Marekani 2020: Biden arejea kwa ushindi
Kampeni za Joe Biden zimerejea kwa ushindi lakini inawezekana Bernie Sanders ndiye atakayechukua kinyang'anyiro cha ushindi.
10 years ago
BBCSwahili06 Oct
Joe Biden alazimika kuomba radhi
Makamu wa Rais wa Marekani, Joe Biden,amewaomba radhi maafisa wakuu wa Milki za kiarabu baada ya kudai wanaunga mkono wapiganaji Syria
5 years ago
BBCSwahili18 Jun
Uchaguzi Marekani 2020: Trump adaiwa kuomba usaidizi wa rais Xi Jinping kushinda uchaguzi ujao
Msaidizi wa zamani wa Trump John Bolton aandika kitabu kinachomtuhumu Trump katika masuala mbalimbali ya kisera na utendaji.
5 years ago
BBCSwahili25 Jun
Uchaguzi wa Marekani 2020: Walinzi wa rais wajitenga baada ya mkutano wa Trump
Walinzi kadhaa wa rais Donald Trump wametakiwa kujitenga baada ya wawili kati yao waliokuwa katika mkutano wa kisiasa wa Donald Trump huko Tulsa Jumapili kupata maambukizi ya virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili21 Feb
Urusi inajaribu kumsaidia rais Trump kushinda uchaguzi wa urais, wabunge wa marekani waambiwa
Kitengo cha ujasusi cha Marekani kimeonya kwamba Urusi inajiribu tena kumsaidia rais Donald Trump kuchaguliwa tena katika uchaguzi wa mwezi Novemba kulingana na ripoti za vyombo vya habari nchini Marekani.
5 years ago
BBCSwahili19 Jun
Uchaguzi wa Marekani 2020: Facebook yafuta maatangazo ya kampeni ya Trump ‘kwa kuchochea chuki’
Matangazo hayo ni sehemu ya kampeni ya Trump kwa uchaguzi wa Novemba mwaka huu.
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Abraham Lincoln ni rais wa kwanza Marekani kuuawa akiwa madarakani
Tangu kuzinduliwa kwa Katiba ya Marekani mwaka 1787 na kupatikana Rais wa kwanza mwaka 1789, nchi hiyo imeshatawaliwa na marais 44. Barack Obama mwenye asili ya Afrika ndiye Rais wa sasa anayemaliza muhula wa mwisho. Aliingia Ikulu Januari 20, 2009.
9 years ago
BBCSwahili10 Dec
Trump: Sitaacha kuwania urais Marekani
Donald Trump amesema hatajiondoa kutoka kwenye kinyang’anyiro cha urais licha ya kushutumiwa vikali kwa matamshi yake kuhusu Waislamu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania