Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uchaguzi wa Marekani 2020: Walinzi wa rais wajitenga baada ya mkutano wa Trump

Walinzi kadhaa wa rais Donald Trump wametakiwa kujitenga baada ya wawili kati yao waliokuwa katika mkutano wa kisiasa wa Donald Trump huko Tulsa Jumapili kupata maambukizi ya virusi vya corona.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi Marekani 2020: Trump adaiwa kuomba usaidizi wa rais Xi Jinping kushinda uchaguzi ujao

Msaidizi wa zamani wa Trump John Bolton aandika kitabu kinachomtuhumu Trump katika masuala mbalimbali ya kisera na utendaji.

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Marekani 2020: Facebook yafuta maatangazo ya kampeni ya Trump ‘kwa kuchochea chuki’

Matangazo hayo ni sehemu ya kampeni ya Trump kwa uchaguzi wa Novemba mwaka huu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Urusi inajaribu kumsaidia rais Trump kushinda uchaguzi wa urais, wabunge wa marekani waambiwa

Kitengo cha ujasusi cha Marekani kimeonya kwamba Urusi inajiribu tena kumsaidia rais Donald Trump kuchaguliwa tena katika uchaguzi wa mwezi Novemba kulingana na ripoti za vyombo vya habari nchini Marekani.

 

10 years ago

Mwananchi

Rais Mugabe atimua walinzi wake 27 baada ya kuanguka

>Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe amewasimamisha kazi walinzi wake 27 ikiwa ni siku chache baada ya kuanguka katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Harare wakati akirejea nyumbani akitokea Addis Ababa, Ethiopia.

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Marekani :Joe Biden anaweza kumuondoa Trump madarakani?

Joe Biden aliyekuwa makamu rais wa Marekani sasa yupo katikati ya Donald Trump na miaka minne ijayo katika Ikulu ya Marekani.

 

5 years ago

CCM Blog

PROF. KABUDI AWASILISHA UJUMBE MAALUM WA RAIS MAGUFULI KWA RAIS DONALD TRUMP WA MAREKANI

<<Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi akikabidhi ujumbe maalum wa Rais Dk John Magufuli kwenda kwa Rais wa Marekani Doland Trump. Anayeshuhudia ni  Balozi wa Tanzania Nchini Marekani Balozi Wilson Masilingi 
Washington, MarekaniTanzania na Benki ya Dunia zimekubaliana kuendelea kushirikiana katika masuala mbalimbali ikiwemo elimu,uendelezaji wa miundo mbinu na masuala ya kijamii kupitia mikopo,ruzuku na misaada inayotolewa na benki hiyo ili...

 

5 years ago

BBCSwahili

Mary Trump: Kumbukumbu ya mpwa wa rais Donald Trump inayomdhalilisha rais huyo

Mary Trump anatarajiwa kutoa kitabu kinachomuelezea mjomba wake Donald Trump kama mwanaume hatari sana duniani.

 

5 years ago

BBCSwahili

Rais Trump awalenga mayaya na wanafunzi katika masharti mapya ya visa Marekani

Wafanyikazi wenye ujuzi mkubwa wa kiufundi, wafanyikazi wasio katika sekta ya kilimo na maafisa wakuu wa makampuni wataathirika.

 

5 years ago

BBCSwahili

Trump asaini agizo la rais dhidi ya mitando ya kijamii baada ya kuzozana na Twitter

Hatua ya rais Trump inafuatia uamuzi wa Twitter wa kuweka alama ya "kuhakiki ukweli" katika ujumbe wake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani