Uchaguzi wa Marekani 2020: Walinzi wa rais wajitenga baada ya mkutano wa Trump
Walinzi kadhaa wa rais Donald Trump wametakiwa kujitenga baada ya wawili kati yao waliokuwa katika mkutano wa kisiasa wa Donald Trump huko Tulsa Jumapili kupata maambukizi ya virusi vya corona.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili18 Jun
Uchaguzi Marekani 2020: Trump adaiwa kuomba usaidizi wa rais Xi Jinping kushinda uchaguzi ujao
Msaidizi wa zamani wa Trump John Bolton aandika kitabu kinachomtuhumu Trump katika masuala mbalimbali ya kisera na utendaji.
5 years ago
BBCSwahili19 Jun
Uchaguzi wa Marekani 2020: Facebook yafuta maatangazo ya kampeni ya Trump ‘kwa kuchochea chuki’
Matangazo hayo ni sehemu ya kampeni ya Trump kwa uchaguzi wa Novemba mwaka huu.
5 years ago
BBCSwahili21 Feb
Urusi inajaribu kumsaidia rais Trump kushinda uchaguzi wa urais, wabunge wa marekani waambiwa
Kitengo cha ujasusi cha Marekani kimeonya kwamba Urusi inajiribu tena kumsaidia rais Donald Trump kuchaguliwa tena katika uchaguzi wa mwezi Novemba kulingana na ripoti za vyombo vya habari nchini Marekani.
10 years ago
Mwananchi10 Feb
Rais Mugabe atimua walinzi wake 27 baada ya kuanguka
>Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe amewasimamisha kazi walinzi wake 27 ikiwa ni siku chache baada ya kuanguka katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Harare wakati akirejea nyumbani akitokea Addis Ababa, Ethiopia.
5 years ago
BBCSwahili09 Jun
Uchaguzi wa Marekani :Joe Biden anaweza kumuondoa Trump madarakani?
Joe Biden aliyekuwa makamu rais wa Marekani sasa yupo katikati ya Donald Trump na miaka minne ijayo katika Ikulu ya Marekani.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-mBQb_JUQax0/XmJ3wL833wI/AAAAAAACIP0/p96Stivh4tUc44oiPKApfGVLDxkYaZhJwCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
PROF. KABUDI AWASILISHA UJUMBE MAALUM WA RAIS MAGUFULI KWA RAIS DONALD TRUMP WA MAREKANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-mBQb_JUQax0/XmJ3wL833wI/AAAAAAACIP0/p96Stivh4tUc44oiPKApfGVLDxkYaZhJwCLcBGAsYHQ/s320/2.jpg)
Washington, MarekaniTanzania na Benki ya Dunia zimekubaliana kuendelea kushirikiana katika masuala mbalimbali ikiwemo elimu,uendelezaji wa miundo mbinu na masuala ya kijamii kupitia mikopo,ruzuku na misaada inayotolewa na benki hiyo ili...
5 years ago
BBCSwahili20 Jun
Mary Trump: Kumbukumbu ya mpwa wa rais Donald Trump inayomdhalilisha rais huyo
Mary Trump anatarajiwa kutoa kitabu kinachomuelezea mjomba wake Donald Trump kama mwanaume hatari sana duniani.
5 years ago
BBCSwahili23 Jun
Rais Trump awalenga mayaya na wanafunzi katika masharti mapya ya visa Marekani
Wafanyikazi wenye ujuzi mkubwa wa kiufundi, wafanyikazi wasio katika sekta ya kilimo na maafisa wakuu wa makampuni wataathirika.
5 years ago
BBCSwahili29 May
Trump asaini agizo la rais dhidi ya mitando ya kijamii baada ya kuzozana na Twitter
Hatua ya rais Trump inafuatia uamuzi wa Twitter wa kuweka alama ya "kuhakiki ukweli" katika ujumbe wake.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania