Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Urusi inajaribu kumsaidia rais Trump kushinda uchaguzi wa urais, wabunge wa marekani waambiwa

Kitengo cha ujasusi cha Marekani kimeonya kwamba Urusi inajiribu tena kumsaidia rais Donald Trump kuchaguliwa tena katika uchaguzi wa mwezi Novemba kulingana na ripoti za vyombo vya habari nchini Marekani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi Marekani 2020: Trump adaiwa kuomba usaidizi wa rais Xi Jinping kushinda uchaguzi ujao

Msaidizi wa zamani wa Trump John Bolton aandika kitabu kinachomtuhumu Trump katika masuala mbalimbali ya kisera na utendaji.

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Marekani 2020: Walinzi wa rais wajitenga baada ya mkutano wa Trump

Walinzi kadhaa wa rais Donald Trump wametakiwa kujitenga baada ya wawili kati yao waliokuwa katika mkutano wa kisiasa wa Donald Trump huko Tulsa Jumapili kupata maambukizi ya virusi vya corona.

 

9 years ago

Bongo5

Video: Obama ampa Kanye West dondoo muhimu za kumsaidia kwenye uamuzi wake wa kuwania Urais wa Marekani

Barack Obama ameamua kumpa Kanye West dondoo muhimu anazopaswa kuzizingatia katika uamuzi wake wa kuwania urais wa Marekani. “Nina ushauri kwake,” Obama alisema kwenye hafla ya uchangishaji fedha uliohudhuriwa pia na rapper huyo ambaye alitangaza kuwania urais wa nchi hiyo mwaka 2020. “First of all, you’ve got to spend a lot of time dealing with […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Trump: Sitaacha kuwania urais Marekani

Donald Trump amesema hatajiondoa kutoka kwenye kinyang’anyiro cha urais licha ya kushutumiwa vikali kwa matamshi yake kuhusu Waislamu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Donald Trump kuwania urais Marekani

Tajiri Donald Trump kwa mara nyengine tena ametangaza azma yake ya kuwania urais nchini Marekani mwaka 2016.

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Marekani :Joe Biden anaweza kumuondoa Trump madarakani?

Joe Biden aliyekuwa makamu rais wa Marekani sasa yupo katikati ya Donald Trump na miaka minne ijayo katika Ikulu ya Marekani.

 

5 years ago

CCM Blog

PROF. KABUDI AWASILISHA UJUMBE MAALUM WA RAIS MAGUFULI KWA RAIS DONALD TRUMP WA MAREKANI

<<Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi akikabidhi ujumbe maalum wa Rais Dk John Magufuli kwenda kwa Rais wa Marekani Doland Trump. Anayeshuhudia ni  Balozi wa Tanzania Nchini Marekani Balozi Wilson Masilingi 
Washington, MarekaniTanzania na Benki ya Dunia zimekubaliana kuendelea kushirikiana katika masuala mbalimbali ikiwemo elimu,uendelezaji wa miundo mbinu na masuala ya kijamii kupitia mikopo,ruzuku na misaada inayotolewa na benki hiyo ili...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mgombea urais ACT atambia Sera za chama chake kushinda uchaguzi mkuu

IMG_0146

Mgombea urais wa ACT-Wazalendo, Anna Mughwira, akizungumza na waandishi wa habari jana muda mfupi baada ya kupiga kura ya kuchagua Rais, Mbunge na Diwani kwenye kituo cha kupigia kura cha shule ya msingi Kibaoni mjini Singida.Mughwira amesema kwa ujumla zoezi la uchaguzi katika halmashauri ya manispaa ya Singida,limeenda vizuri kwa amani na utulivu mkubwa.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Singida

MGOMBEA urais kupitia tiketi ya ACT-Wazalendo, Anna Mughwira,amesema endapo wapiga...

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Marekani 2020: Facebook yafuta maatangazo ya kampeni ya Trump ‘kwa kuchochea chuki’

Matangazo hayo ni sehemu ya kampeni ya Trump kwa uchaguzi wa Novemba mwaka huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani