Mgombea urais ACT atambia Sera za chama chake kushinda uchaguzi mkuu
Mgombea urais wa ACT-Wazalendo, Anna Mughwira, akizungumza na waandishi wa habari jana muda mfupi baada ya kupiga kura ya kuchagua Rais, Mbunge na Diwani kwenye kituo cha kupigia kura cha shule ya msingi Kibaoni mjini Singida.Mughwira amesema kwa ujumla zoezi la uchaguzi katika halmashauri ya manispaa ya Singida,limeenda vizuri kwa amani na utulivu mkubwa.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
MGOMBEA urais kupitia tiketi ya ACT-Wazalendo, Anna Mughwira,amesema endapo wapiga...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboMgombea Urais wa Chama cha ACT Mhe Khamis Iddi Lila Arejesha fomu ya Kugombea Urais wa Zanzibar Tume ya Uchaguzi ZEC.
9 years ago
Vijimambo30 Aug
HOTUBA YA MGOMBEA URAIS KUPITIA CHAMA CHA CHADEMA NA UKAWA MH. EDWARD NGOYAI LOWASSA YA KUZINDUA ILANI NA KAMPENI YA UCHAGUZI MKUU
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/ilani-620x308.jpg)
Hotuba ya Lowassa
Jangwani, Dar-es-Salaam, 29 AGOSTI 2015
Ndugu Wana Dar es salaam na Watanzania wenzangu
Leo ni siku ya kihistoria. Baada ya miaka ishirini na tano tangu mfumo wa vyama vingi urejeshwe, vyama vya upinzani wa CHADEMA, CUF, NCCR na NLD umeungana chini ya Umoja wa Katiba ya Wananchi kupigania uchaguzi mkuu wa mwaka huu na kuwa na mgombea mmoja katika ngazi zote.
Miaka zaidi ya hamsini ya...
9 years ago
Vijimambo26 Sep
MJUE MGOMBEA URAIS ANNA MGHWIRA KUPITIA CHAMA CHA ACT-WAZALENDO
![](https://scontent.cdninstagram.com/hphotos-xaf1/t51.2885-15/s320x320/e15/11350896_934831816583429_401382035_n.jpg)
Mgwira alianza safari ya kielimu katika Shule ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FyALJDbAFis/XswPi0RdzvI/AAAAAAALrfE/coqd3YIPn-Ed7euQ0l60HVQ0R8Si292IwCLcBGAsYHQ/s72-c/_112460099_067a3e47-fc1e-44c4-a3d0-f5b11828fdf8.jpg)
Uchaguzi wa Burundi: Mgombea wa chama tawala Everiste Ndayishimye ashinda urais
![](https://1.bp.blogspot.com/-FyALJDbAFis/XswPi0RdzvI/AAAAAAALrfE/coqd3YIPn-Ed7euQ0l60HVQ0R8Si292IwCLcBGAsYHQ/s640/_112460099_067a3e47-fc1e-44c4-a3d0-f5b11828fdf8.jpg)
Jenerali mstaafu ameshinda kwa 68.72% ya kura zilizopigwa, wakati Agathon Rwasa, kutoka chama kikuu cha upinzani akipata 24.19% ,matokeo yaliyotangazwa na tume hiyo hii leo.
Kwa kuwa Ndayishimiye amepata zaidi ya 50% ya kura, ameepuka kufanyika kwa duru ya pili ya uchaguzi.
Haya ni matokeo ya awali ya uchaguzi , ambapo matokeo ya mwisho...
10 years ago
Mwananchi12 Jul
Dk Magufuli ndiye mgombea wa urais kupitia CCM Uchaguzi Mkuu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kdMJYk0IcuI/XvOFyD83OcI/AAAAAAALvTI/Am3vXUyoQ7E5IcspwdvFkjmll2zWCL-bACLcBGAsYHQ/s72-c/1-47-2048x1353.jpg)
MREMA: RAIS MAGUFULI NDIYE MGOMBEA WETU WA URAIS UCHAGUZI MKUU WA OKTOBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-kdMJYk0IcuI/XvOFyD83OcI/AAAAAAALvTI/Am3vXUyoQ7E5IcspwdvFkjmll2zWCL-bACLcBGAsYHQ/s640/1-47-2048x1353.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/1b-2-scaled.jpg)
Mwenyekiti wa Chama cha TLP, Augistino Lyatonga Mrema akizungumza na waandishi wa Habari (hawapo pichani), kuhusu kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani mwaka huu 2020.
*********************************
Na Mwandishi Wetu, MAELEZO,
DAR ES SALAAM
MWENYEKITI wa Chama cha Tanzania Labour Party, Augustino Mrema amesema chama hicho kinaendelea na msimamo wake wa kumuunga mkono, Rais Dkt. John Magufuli kuwa mgombea wake wa nafasi ya...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar15 Sep
Live, Mkutano wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu 2015, CCM — Gombani Chake Chake, Pemba.
Sikiliza mkutano huu moja kwa moja kupitia channel hii http://mixlr.com/muumbela
The post Live, Mkutano wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu 2015, CCM – Gombani Chake Chake, Pemba. appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mwananchi12 Nov
Mgombea ubunge adaiwa kumshambulia ofisa wa chama chake
9 years ago
GPLACT YATAMBULISHA MGOMBEA URAIS NA MGOMBEA MWENZA