Mgombea ubunge adaiwa kumshambulia ofisa wa chama chake
Aliyekuwa mgombea ubunge wa Morogoro Mjini (Chadema), Albanie Marcossy anatafutwa na Polisi mkoani hapa kwa madai ya kumshambulia kwa kumpiga Katibu Mwenezi wa chama hicho wilaya, Shabani Dimoso.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog26 Oct
Mgombea urais ACT atambia Sera za chama chake kushinda uchaguzi mkuu
Mgombea urais wa ACT-Wazalendo, Anna Mughwira, akizungumza na waandishi wa habari jana muda mfupi baada ya kupiga kura ya kuchagua Rais, Mbunge na Diwani kwenye kituo cha kupigia kura cha shule ya msingi Kibaoni mjini Singida.Mughwira amesema kwa ujumla zoezi la uchaguzi katika halmashauri ya manispaa ya Singida,limeenda vizuri kwa amani na utulivu mkubwa.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
MGOMBEA urais kupitia tiketi ya ACT-Wazalendo, Anna Mughwira,amesema endapo wapiga...
9 years ago
MichuziMGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KINONDONI WA CHAMA CHA ACT WAZALENDO, KARAMA MASUDI "KALAPINA" AZINDUA KAMPENI ZAKE
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-hK40Tw8fbBA/VfT-XdeDLwI/AAAAAAABVGU/lET4u0Vxl2I/s72-c/Mohamed%2BMtoi.jpg)
MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA LUSHOTO KWA CHAMA CHA CHADEMA MOHAMMED MTOI AFARIKI DUNIA KATIKA AJALI YA GARI
![](http://1.bp.blogspot.com/-hK40Tw8fbBA/VfT-XdeDLwI/AAAAAAABVGU/lET4u0Vxl2I/s640/Mohamed%2BMtoi.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-AbJBh7I_UsY/VfT-ou140dI/AAAAAAABVGc/rwvnSDmrjMw/s640/IMG-20150912-WA0193.jpg)
Mungu aiweke roho ya Marehemu Mohamed Mtoi Kanyawana mahali Pema Peponi
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-6mH3tTDcF3Y/Vd08G9MIKiI/AAAAAAAAUQY/ItWtep7XvLs/s72-c/IMG_0264%2B%25281280x853%2529.jpg)
MGOMBEA MWENZA WA URAIS KUPITIA CHAMA CHA MAPINDUZI(CCM) SAMIA SULUHU HASSAN AWANADI WAGOMBEA UBUNGE WA MAJIMBO YA MKOA WA KILIMANJARO
![](http://4.bp.blogspot.com/-6mH3tTDcF3Y/Vd08G9MIKiI/AAAAAAAAUQY/ItWtep7XvLs/s640/IMG_0264%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZANCVhmVC3g/Vd08jFlShcI/AAAAAAAAUQw/O9ult_vnwhY/s640/IMG_0267%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jKt778Kp6wM/Vd07-tsSRPI/AAAAAAAAUQE/xg2nwFPPqeA/s640/IMG_0244%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FdXwG-pIDAQ/Vd08uL9osuI/AAAAAAAAURg/ghCMslEWA-4/s640/IMG_0305%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qs_riFON9JI/Vd08vReXbGI/AAAAAAAAURs/Q1Jj65Hy8l4/s640/IMG_0306%2B%25281280x853%2529.jpg)
11 years ago
Habarileo18 Jul
Mwanafunzi adaiwa kujifanya ofisa mpelelezi
POLISI mkoani Rukwa inamshikilia mwanafunzi wa udereva katika Chuo cha Furaha Center katika eneo la Kantalamba Manispaa ya Sumbawanga mkoani hapa, Clever Simfukwe (19) kwa tuhuma za kujifanya Ofisa Mpelelezi wa Polisi katika mikoa ya Rukwa na Mbeya.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar30 Sep
Magufuli anakimbia chama chake au chama kinamkimbia ?
KATIKA mazingira ya ukinzani wa kisiasa, kila unapotokea uchaguzi, ukweli huwa unatumika kwa nadra sana, na kila upande unaohusika katika ukinzani huo hujijengea dhana yake ya hicho unachokiita ukweli, lakini ambacho kinaweza kuwa mbali kabisa na […]
The post Magufuli anakimbia chama chake au chama kinamkimbia ? appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Raia Mwema30 Sep
Magufuli anakikimbia chama chake au chama kinamkimbia?
KATIKA mazingira ya ukinzani wa kisiasa, kila unapotokea uchaguzi, ukweli huwa unatumika kwa nadr
Jenerali Ulimwengu
11 years ago
Habarileo17 Jan
Ofisa Ugavi adaiwa kuiba karatasi za mil. 47
OFISA Ugavi, Flora Ntubika (41) leo amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam akikabiliwa na mashitaka ya wizi wa karatasi zenye thamani ya Sh milioni 47.4. Ntubika alifikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa mashitaka mbele ya Hakimu Mkazi, Gabriel Mirumbe.
11 years ago
Mwananchi02 Jan
Ofisa wa jeshi adaiwa kuua watu kwa risasi