Rais Mugabe atimua walinzi wake 27 baada ya kuanguka
>Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe amewasimamisha kazi walinzi wake 27 ikiwa ni siku chache baada ya kuanguka katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Harare wakati akirejea nyumbani akitokea Addis Ababa, Ethiopia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili23 Dec
Rais Mugabe atimua mawaziri wake
Raisi Robert Mugabe wa Zimbabwe, amewafukuza kazi mawaziri wake wawili na manaibu waziri watano hatua ambayo imemkumba pia aliyekuwa makamu wake Joyce Mujuru.
9 years ago
Bongo502 Nov
Video: Afya ya Mugabe yazidi kuwa utata baada ya kutaka kuanguka hadharani India
![mugabe-robert9](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/mugabe-robert9-94x94.jpg)
5 years ago
BBCSwahili25 Jun
Uchaguzi wa Marekani 2020: Walinzi wa rais wajitenga baada ya mkutano wa Trump
Walinzi kadhaa wa rais Donald Trump wametakiwa kujitenga baada ya wawili kati yao waliokuwa katika mkutano wa kisiasa wa Donald Trump huko Tulsa Jumapili kupata maambukizi ya virusi vya corona.
10 years ago
Mwananchi15 Feb
Kuanguka kwa Mugabe kwageuzwa utani
Baada ya Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe kuteleza na kuanguka katika Uwanja wa Kimataifa wa Ndege wa Harare, watu wengi duniani wamechukulia kitendo cha kuanguka kwa rais huyo kama staili ya kutembea wakiwa na lengo la kumdhihaki.
10 years ago
Vijimambo10 Dec
Rais Mugabe amfuta kazi makamu wake
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/12/09/141209103755_joyce_mujuru_624x351__nocredit.jpg)
Taarifa kutoka nchini Zimbabwe zinasema kuwa Rais Robert Mugabe amemfuta kazi makamu wake Joice Mujuru, kufuatia ushindani wa uongozi katika chama tawala cha ZANU-PF.
Awali Bi Joyce Mujuru, alikanusha madai kuwa yeye ni mfisadi na alihusika na njama ya kutaka kumuua rais Robert Mugabe.
Bi Mujuru alilaaniwa na Rais Mugabe wiki iliyopita na kuondolewa kutoka wadhifa wake wa makamu wa rais wa chama tawala cha ZANU-PF wakati wa kongamano la chama hicho mjini Harare.
Amesema ameendelea kupokea...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-XYJbMnZG_Sw/VUKmXNRp_DI/AAAAAAAHUZg/77x3mHPrpZo/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AREJEA NCHINI BAADA YA KUHUDHURIA MKUTANO WA DHARURA WA SADC, JIJINI HARARE, ZIMBABWE, MUGABE AKABIDHI RASMI CHUO CHA UTUNZAJI AMANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-XYJbMnZG_Sw/VUKmXNRp_DI/AAAAAAAHUZg/77x3mHPrpZo/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-*rcMYSmUcWCUrGeoL6-1UvJUiK79K57IOCFMo-5Sq37MdJtP1GWNdU*AfGB*jQItK7OCURoR3MFc7yd3JpBwZ*A9k576sqB/Shehe.jpg)
KATIBU BAKWATA AFARIKI DUNIA BAADA YA KUANGUKA CHOONI
Stori: Mwandishi Wetu, Mbeya
MAJANGA! Siku chache baada ya aliyekuwa Shehe Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Abubakar Mketo kufariki dunia akiwa kaburini akizika, kiongozi mwingine wa Kiislam, Katibu Mkuu wa Bakwata Mkoa wa Mbeya, Juma Killa naye amefariki dunia baada ya kuanguka chooni. Katibu Mkuu wa Bakwata Mkoa wa Mbeya, Juma Killa (wa pili kushoto) wakati wa uhai wake. Marehemu Killa alianguka chooni nyumbani kwake, Mtaa wa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SJHyuKr55TMbWixAAR2Spu72aQMrl*gjKa*5-tAx4TVcilXE4TxTqU32CD7yLCEa6RYKqTpA-r5cAhOFch7SGW5IpDKYyMOZ/2DFC0BC0000005783297871imagea61_1446317205024.jpg?width=650)
MABAKI YA NDEGE YA URUSI BAADA YA KUANGUKA SINAI, MISRI
Wachunguzi wakiwa eneo la tukio wakiangalia mabaki ya Ndege ya Shirika la Kogalymavia la Urusi, Airbus A-321 iliyoanguka eneo la Sinai nchini Misri ilikuwa na abiria 200, watoto 17 na wafanyakazi wa ndege hiyo 7.…
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-_ldX_HXWDPs/VPCJdoPhEyI/AAAAAAADPhY/T-MT3hGZ0Q8/s72-c/IMG-20150227-WA0035.jpg)
RUBANI APATA MAJERAHA BAADA YA NDEGEVITA YA JWTZ KUANGUKA MWANZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-_ldX_HXWDPs/VPCJdoPhEyI/AAAAAAADPhY/T-MT3hGZ0Q8/s1600/IMG-20150227-WA0035.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9n-KiygIUpg/VPCEdREjH-I/AAAAAAADPgY/R90CG2XEmm8/s1600/IMG-20150227-WA0037.jpg)
Rubani wa ndgevita hiyo Meja Peter Lyamunda alipoona ndege yake inawaka moto alifanikiwa kujirusha nje ya ndege hiyo kwa kutumia vifaa maalum na kufanikiwa kuokoa maisha yake ingawa amepata majeraha katika mguu wakati wa kujiokoa.
![](http://4.bp.blogspot.com/-UbXf-yO42Nc/VPCEbcatQKI/AAAAAAADPgA/pFE1K1wOYIQ/s1600/IMG-20150227-WA0012.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dsDsbTpubow/VPCJfEKy3FI/AAAAAAADPhg/ElK8Ap_w7gE/s1600/IMG-20150227-WA0014.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_YzuE4m7d3Q/VPCEbi8tjtI/AAAAAAADPgE/x--W507U65w/s1600/IMG-20150227-WA0011.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Lpo4F9xZy88/VPCEcGUQ9rI/AAAAAAADPgM/Jg2R8NiEcYM/s1600/IMG-20150227-WA0010.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4e4dnveKkK4/VPCEfLIYh3I/AAAAAAADPgk/Z-WO1_BLpz0/s1600/IMG-20150227-WA0009.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania