KATIBU BAKWATA AFARIKI DUNIA BAADA YA KUANGUKA CHOONI

Stori: Mwandishi Wetu, Mbeya MAJANGA! Siku chache baada ya aliyekuwa Shehe Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Abubakar Mketo kufariki dunia akiwa kaburini akizika, kiongozi mwingine wa Kiislam, Katibu Mkuu wa Bakwata Mkoa wa Mbeya, Juma Killa naye amefariki dunia baada ya kuanguka chooni. Katibu Mkuu wa Bakwata Mkoa wa Mbeya, Juma Killa (wa pili kushoto) wakati wa uhai wake. Marehemu Killa alianguka chooni nyumbani kwake, Mtaa wa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima06 Mar
Aanguka chooni, afariki dunia
MKAZI wa Kigogo, Anthony Mbezi, anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka kati ya 70-75 amefariki dunia juzi baada ya kuanguka chooni. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura, alisema...
11 years ago
GPL
AFARIKI BAADA YA KUANGUKA KATIKA JENGO LA BENKI JIJINI LONDON
11 years ago
GPLKATIBU WA CCM MKOA WA IRINGA AFARIKI DUNIA
5 years ago
Michuzi
NEWZ ALERT : KATIBU MKUU CHAMA CHA CUF AFARIKI DUNIA

Marehemu Khalifa amefariki dunia akiwa katika Hospitali ya Aga Khan alipokuwa akipatiwa matibabu kutokana na Matatizo ya ini.
Kwa hakika Chama kimepata pigo kubwa na kwa yakini marehemu ameacha pengo ambalo haliwezi kuzibika kirahisi.
CUF-Chama Cha Wananchi kinatoa pole kwa familia ya marehemu, ndugu na...
5 years ago
CCM Blog
KATIBU WA JUMUIYA YA WAZAZI MKOA WA KILIMANAJRO LUGANO MWAFONGO, AFARIKI DUNIA, LEO

9 years ago
MichuziKATIBU WA CHAMA CHA WAFANYAKAZI MADEREVA TANZANIA (TADWU) RASHID SALEH AFARIKI DUNIA

11 years ago
GPL
MTU MMOJA AFARIKI DUNIA BAADA YA KUGONGWA NA GARI WILAYANI MBARALI
9 years ago
Dewji Blog12 Nov
Mtoto wa mwaka mmoja afariki dunia baada ya kutumbukia Kisimani Mbeya
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Ahmed Msangi.
Na Emanuel Madafa, Mbeya
Mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi saba Promis Dank mkazi wa bwawani wilaya ya Chunya amefariki dunia njiani akiwa anapelekwa hospitali baada ya kutumbukia kisimani.
Tukio hilo limetokea Novemba 112 majira ya saa 12 asubuhi huko kitongoji cha Railway, kata ya Bwawani, wilaya ya Chunya, mkoa wa Mbeya.
Inadaiwa kuwa, mtoto huyo baada ya kutumbukia kwenye kisima hicho ambacho kilikuwa wazi, aliokolewa akiwa hai...
10 years ago
Michuzi
TANZIA: Mama mzazi wa katibu wa mbunge Al Shaimar Kweigyir afariki dunia leo Kibaha, Pwani
