KATIBU WA CHAMA CHA WAFANYAKAZI MADEREVA TANZANIA (TADWU) RASHID SALEH AFARIKI DUNIA
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda ambaye ni mlezi wa Chama cha Wafanyakazi Madereva Tanzania (TADWU), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi nje ya chumba cha kuhifadhia maiti Hospitali ya Taifa ya kuhusu kifo cha utata cha aliyekuwa Katibu wa chama hicho Tanzania, Rashid Saleh kilichotokea hivi karibuni pamoja na ratiba ya mazishi yake yatakayofanyika jijini Mwanza.
Marehemu, Rashid Saleh
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda ambaye ni mlezi wa Chama cha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLCHAMA CHA WAFANYAKAZI MADEREVA TANZANIA (TADWU), CHAMKABIDHI MAKONDA RASIMU YA MKATABA
10 years ago
VijimamboCHAMA CHA WAFANYAKAZI MADEREVA TANZANIA (TADWU), CHAMKABIDHI MLEZI WAO MKUU WA WILAYA YA KINONDONI PAUL MAKONDA RASIMU YA MKATABA WA MABORESHO YA MASLAHI YAO.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LDRHNssOdPU/VlL_0MSOXHI/AAAAAAAIH-E/VHcc-oRU5_w/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-20%2Bat%2B8.55.15%2BPM.png)
RAIS MAGUFULI ATUMA SALAMU ZA RAMBI RAMBI KUFUATIA KIFO CHA Mwenyekiti wa Chama Cha Madereva Tanzania (TADWU)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LDRHNssOdPU/VlL_0MSOXHI/AAAAAAAIH-E/VHcc-oRU5_w/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-20%2Bat%2B8.55.15%2BPM.png)
Katika salamu hizo Rais Magufuli amesema taifa limempoteza mtu shupavu, mkweli, makini na aliyependa kupigania haki pale alipoamini kuwa panastahili haki hiyo na alithibitisha kwa kupigania uanzishwaji wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7z7YKe3ksQk/XoLToF8db3I/AAAAAAALlo8/8t6WpQ48EZITk8LpB7vF5YjEGsZ1UQg2wCLcBGAsYHQ/s72-c/4ef51247-c9a0-4c61-b6fb-d08018fc7663.jpg)
NEWZ ALERT : KATIBU MKUU CHAMA CHA CUF AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-7z7YKe3ksQk/XoLToF8db3I/AAAAAAALlo8/8t6WpQ48EZITk8LpB7vF5YjEGsZ1UQg2wCLcBGAsYHQ/s640/4ef51247-c9a0-4c61-b6fb-d08018fc7663.jpg)
Marehemu Khalifa amefariki dunia akiwa katika Hospitali ya Aga Khan alipokuwa akipatiwa matibabu kutokana na Matatizo ya ini.
Kwa hakika Chama kimepata pigo kubwa na kwa yakini marehemu ameacha pengo ambalo haliwezi kuzibika kirahisi.
CUF-Chama Cha Wananchi kinatoa pole kwa familia ya marehemu, ndugu na...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-BjXKH2kdwcw/Vdb4f-w6ZuI/AAAAAAAHyxk/xBVGfAlViN4/s72-c/images.jpg)
TAMKO LA SERIKALI KUHUSU MPANGO WA MAFUNZO KWA MADEREVA KUPITIA CHAMA CHA TADWU.
![](http://2.bp.blogspot.com/-BjXKH2kdwcw/Vdb4f-w6ZuI/AAAAAAAHyxk/xBVGfAlViN4/s1600/images.jpg)
1. Serikali imepata taarifa za kuwepo kwa mpango wa mafunzo kwa madereva nchini kote, ulioandaliwa na Chama cha Wafanyakazi Madereva Tanzania-Tanzania Drivers Workers Union (TADWU) kuanzia wiki ijayo. Mpango huo umeelezwa kuwa njia mbadala ya tishio la mgomo lililotolewa na viongozi wa Chama hicho hapo awali, ili kuweza kupata suluhisho la malalamiko yao.
Malalamiko hayo yalihusu Mkataba ya Ajira inayokidhi matakwa ya kisheria, nyongeza ya posho na viwango vya...
11 years ago
Tanzania Daima21 Apr
Muasisi Chama cha Washereheshaji afariki dunia
MMOJA wa Waasisi wa Chama cha Washereheshaji nchini (Sherehe Arts Association – SAA) na Mweka Hazina wa kwanza wa chama hicho, MC Frank Kavemba, amefariki dunia Jumamosi, akiwa kwenye Hospitali...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-3lUmVfdL0WI/VLYIdbL0uuI/AAAAAAAG9Ow/ICVrjepDnT8/s72-c/MMG22220.jpg)
Mwenyekiti wa CCM Kata ya Miono,Saleh Mpwimbwi afariki Dunia leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-3lUmVfdL0WI/VLYIdbL0uuI/AAAAAAAG9Ow/ICVrjepDnT8/s1600/MMG22220.jpg)
Chanzo cha ajali hiyo,kinaelezwa kuwa ni kupasuka kwa tairi ya nyuma wakati akiwa kwenye mwendo na kushindwa kuliongoza gari hilo na kupelekea kupinduka.
Mwili wa Marehemu umepelewa kuhifadhiwa kwenye Hospitali ya Wilaya ya Bagamoyo.
Taratibu zote za msiba huo,zinafanyika Nyumbani kwake...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8EHkdRuml0/U4tf3gsi4DI/AAAAAAAFnCU/005VK6Nrp-A/s72-c/mtoto+px.png)
mtoto nasra rashid afariki dunia
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8EHkdRuml0/U4tf3gsi4DI/AAAAAAAFnCU/005VK6Nrp-A/s1600/mtoto+px.png)
9 years ago
MichuziCHAMA CHA MADEREVA WA SERIKALI TANZANIA CHAPATA USAJILI RASMI