CHAMA CHA MADEREVA WA SERIKALI TANZANIA CHAPATA USAJILI RASMI
Mwenyekiti wa Chama cha Madereva wa Serikali Tanzania (CMST) wa kwanza kushoto mstari wa mbele Bw. Bahatisha Selemani Mkala akipokea Cheti cha Usajili wa Chama hicho kutoka kwa Afisa usajili Bw. Hashim Mwanga wakati wa. makabidhiano yaliyofanyika katika ofisi za msajili zilizopo Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi.Hafla hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam leo (jana).
Mwenyekiti wa Chama cha Madereva wa Serikali Tanzania (CMST) aliyeshika cheti cha usajili Bw. Bahatisha Selemani Mkala ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog18 Sep
Chama cha Madereva wa Serikali Tanzania (CMST) chapata usajili rasmi
Mwenyekiti wa Chama cha Madereva wa Serikali Tanzania (CMST) wa kwanza kushoto mstari wa mbele Bw. Bahatisha Selemani Mkala akipokea Cheti cha Usajili wa Chama hicho kutoka kwa Afisa usajili Bw. Hashim Mwanga wakati wa. makabidhiano yaliyofanyika katika ofisi za msajili zilizopo Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi.Hafla hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam leo. (Picha na Benjamin Sawe)
Mwenyekiti wa Chama cha Madereva wa Serikali Tanzania (CMST) aliyeshika cheti cha usajili Bw. Bahatisha...
10 years ago
MichuziCHAMA KIPYA CHA SIASA CKUT CHAPATA USAJILI JIJINI DAR LEO.
10 years ago
GPLCHAMA CHA MADEREVA TANZANIA CHATOA TAMKO KUHUSU MIKATABA YAO NA SERIKALI
10 years ago
Mwananchi24 Feb
Chuo Kikuu cha Aga Khan chapata usajili
11 years ago
BBCSwahili11 May
Chama cha ANC chapata ushindi mkubwa
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-BjXKH2kdwcw/Vdb4f-w6ZuI/AAAAAAAHyxk/xBVGfAlViN4/s72-c/images.jpg)
TAMKO LA SERIKALI KUHUSU MPANGO WA MAFUNZO KWA MADEREVA KUPITIA CHAMA CHA TADWU.
![](http://2.bp.blogspot.com/-BjXKH2kdwcw/Vdb4f-w6ZuI/AAAAAAAHyxk/xBVGfAlViN4/s1600/images.jpg)
1. Serikali imepata taarifa za kuwepo kwa mpango wa mafunzo kwa madereva nchini kote, ulioandaliwa na Chama cha Wafanyakazi Madereva Tanzania-Tanzania Drivers Workers Union (TADWU) kuanzia wiki ijayo. Mpango huo umeelezwa kuwa njia mbadala ya tishio la mgomo lililotolewa na viongozi wa Chama hicho hapo awali, ili kuweza kupata suluhisho la malalamiko yao.
Malalamiko hayo yalihusu Mkataba ya Ajira inayokidhi matakwa ya kisheria, nyongeza ya posho na viwango vya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hq4kPePBrfM/VAVJC7LkN4I/AAAAAAAGaqE/ACmDFZHPKII/s72-c/New%2BPicture%2B(1).png)
CHAMA CHA MAPINDUZI UINGEREZA CHAPATA MWENYEKITI MPYA
Aanza kwa kuunda timu itakayounda upya Jumuiya ya Watanzania UK na kuhusisha wadau wote;Azungumzia suala la uraia pacha na Rais Ajaye katika uchaguzi 2015;Kuunda Saccoss ya watanzania UK na Jumuiya ya Wanawake.Na Abraham Sangiwa Itikadi Siasa na Uenezi - CCM – UNITED KINGDOM.
![](http://3.bp.blogspot.com/-hq4kPePBrfM/VAVJC7LkN4I/AAAAAAAGaqE/ACmDFZHPKII/s1600/New%2BPicture%2B(1).png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HshDBq4p8e8/VAVJKdzSphI/AAAAAAAGaqc/LkPWmwVxn5o/s1600/New%2BPicture%2B(2).png)
9 years ago
StarTV23 Nov
Chama cha Mapinduzi chapata ushindi Uchaguzi Mdogo Jimbo La Ulanga
Mbunge wa jimbo la Ulanga mkoani Morogoro amepatikana mara baada ya matokeo ya uchaguzi mdogo wa ubunge uliofanyika jimboni humo kukamilika na msimamizi wa jimbo hilo kumtangaza Goodluck Mlinga kuwa ndiye mshindi.
Katika uchaguzi huo uliofanyika Novemba 22 na kushirikisha vyama vitatu vya CCM, CHADEMA na ACT Wazalendo, Goodluck Mlinga ameshinda kwa kupata kura 25902 sawa na asilimia 69.78, mgombea wa CHADEMA akipata kura 10592 sawa na asilimia 28.53 na mgombea kupitia ACT wazalendo akipata...
10 years ago
GPLCHAMA CHA WAFANYAKAZI MADEREVA TANZANIA (TADWU), CHAMKABIDHI MAKONDA RASIMU YA MKATABA