RUBANI APATA MAJERAHA BAADA YA NDEGEVITA YA JWTZ KUANGUKA MWANZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-_ldX_HXWDPs/VPCJdoPhEyI/AAAAAAADPhY/T-MT3hGZ0Q8/s72-c/IMG-20150227-WA0035.jpg)
Ndege hiyo kabla ya kuruka.
Moto mkubwa ukiwaka baada ya Ndege Vita ya Jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ) kuanguka katika uwanja wa jeshi Mwanza baada ya kupata hitilafu.
Rubani wa ndgevita hiyo Meja Peter Lyamunda alipoona ndege yake inawaka moto alifanikiwa kujirusha nje ya ndege hiyo kwa kutumia vifaa maalum na kufanikiwa kuokoa maisha yake ingawa amepata majeraha katika mguu wakati wa kujiokoa. Picha Juu ni Mabaki ya ndege hiyo baada ya moto kuzimwa. Rubani wa Ndege hiyo
Baadhi ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CndVs8mQ_ic/VPc1LHg07KI/AAAAAAAHHuk/f1ok2rJEhrI/s72-c/unnamed%2B(5).jpg)
Rais Kikwete amtembelea Rubani wa ndegevita Hospitali ya Jeshi Lugalo
![](http://2.bp.blogspot.com/-CndVs8mQ_ic/VPc1LHg07KI/AAAAAAAHHuk/f1ok2rJEhrI/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
9 years ago
Bongo504 Dec
Marcus Rojo apata majeraha aumia bega mazoezini
![2ECEEEDA00000578-0-image-m-5_1449173168935](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/2ECEEEDA00000578-0-image-m-5_1449173168935-300x194.jpg)
Beki wa kushoto wa Klabu ya Manchester united Marcus Rojo atakua nje ya uwanja kwa muda wiki kadhaa baada ya kuumia bega wakati wa mazoezi.
Rojo alipata ajali hiyo ya kufanyatuka bega ilitokea wakati wa mazoezi ya Alhamis kwa bega lilelile lilofyatuka msimu uliopita katika mchezo dhidi ya Manichester City.
Rojo hakufanyiwa upasuaji kwa jeraha hilo ila alikaa nje ya dimba kwa muda wa wiki nne.
Klabu yake bado haijazungumzia swala la beki huyu ila ikitarajiwa kuwa leo ijumaa kocha mkuu wa...
10 years ago
Mwananchi28 Feb
Ndege ya JWTZ yaanguka, rubani wake ajiokoa kwa parachuti
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/db4JtL*UowEvPbie2S2EOxumcHCqRYD31ZGOdXWEDeAUXLD6fhBb2BmZCCW64Cg9KIKE*cg8VNRybQFuJZuxHI35bYuqCHCA/mwanza1.jpg)
NDEGE YA JESHI YAANGUKA MWANZA, RUBANI ANUSURIKA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SJHyuKr55TMbWixAAR2Spu72aQMrl*gjKa*5-tAx4TVcilXE4TxTqU32CD7yLCEa6RYKqTpA-r5cAhOFch7SGW5IpDKYyMOZ/2DFC0BC0000005783297871imagea61_1446317205024.jpg?width=650)
MABAKI YA NDEGE YA URUSI BAADA YA KUANGUKA SINAI, MISRI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-*rcMYSmUcWCUrGeoL6-1UvJUiK79K57IOCFMo-5Sq37MdJtP1GWNdU*AfGB*jQItK7OCURoR3MFc7yd3JpBwZ*A9k576sqB/Shehe.jpg)
KATIBU BAKWATA AFARIKI DUNIA BAADA YA KUANGUKA CHOONI
10 years ago
Mwananchi10 Feb
Rais Mugabe atimua walinzi wake 27 baada ya kuanguka
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DtcI2O2Ry7AiVF8wG07iDZaf4AKarKVykjO8ruYRhi7omTUnOOmzJRMLb4-KW3nXfgnFb99D7aOkVL5BZF0txT1gh4Ff0f99/august.jpg?width=650)
AUGUST ALSINA AENDELEA NA MATIBABU BAADA YA KUANGUKA JUKWAANI NA KUZIMIA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ivj69U0teRTC33FoJpMPtR95BMETABF3J66FaYkMHgoiVCeXznZWTa9NAPYmyHPv6ohjSbcns6I0XJXO64ABn1RVwYFKA8X2/11.jpg)
AFARIKI BAADA YA KUANGUKA KATIKA JENGO LA BENKI JIJINI LONDON