Marcus Rojo apata majeraha aumia bega mazoezini
Beki wa kushoto wa Klabu ya Manchester united Marcus Rojo atakua nje ya uwanja kwa muda wiki kadhaa baada ya kuumia bega wakati wa mazoezi.
Rojo alipata ajali hiyo ya kufanyatuka bega ilitokea wakati wa mazoezi ya Alhamis kwa bega lilelile lilofyatuka msimu uliopita katika mchezo dhidi ya Manichester City.
Rojo hakufanyiwa upasuaji kwa jeraha hilo ila alikaa nje ya dimba kwa muda wa wiki nne.
Klabu yake bado haijazungumzia swala la beki huyu ila ikitarajiwa kuwa leo ijumaa kocha mkuu wa...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili04 Dec
Rojo aumia bega mazoezini
9 years ago
Mtanzania05 Dec
Rojo afyatuka bega mazoezini
MANCHESTER, ENGLAND
KLABU ya Manchester United imepata pigo baada ya beki wake Marcos Rojo kufyatuka bega akiwa mazoezini na klabu hiyo.
Ajalia hiyo ya kufanyatuka bega ilitokea wakati wa mazoezi juzi ambapo aliumia bega lile lile aliloumia msimu uliopita katika mchezo dhidi ya Manichester City na kukaa nje ya Uwanja kwa wiki nne.
Hata hivyo klabu hiyo bado haijazungumzia suala la beki huyu ila kocha wa timu hiyo Louis van Gaal anatarajia kutoa maelezo ya kuumia huko kwa beki wake.
Beki huyo...
9 years ago
Habarileo27 Aug
Banda aumia mazoezini Uturuki
KIUNGO wa Simba, Abdi Banda anayekipiga katika kikosi cha Taifa Stars ameumia akiwa mazoezini nchini Uturuki. Kwa mujibu wa mtandao, Banda aliumia wakati wa mazoezi ya kukimbia kwa kasi yaliyokuwa yakiongozwa na Kocha Mkuu wa Stars, Charles Mkwasa na msaidizi wake, Hemed Morocco.
9 years ago
Bongo527 Nov
Daniel Sturridge aumia tena mazoezini
![2ECE215B00000578-3333700-image-a-10_1448471418906](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/2ECE215B00000578-3333700-image-a-10_1448471418906-300x194.jpg)
Mshambuliaji wa kimataifa wa Uingereza anayeichezea klabu ya Liverpool, Daniel Sturridge, ameumia tena.
Sturridge ambaye hadi hivi sasa ameichezea Liverpool mechi tatu tangu kuanza kwa msimu huu, aliumia katika mazoezi ya kujianda na mechi dhidi ya na Bordeux ya Ufaransa na haijajulikana itachukua muda gani.
Kocha Jurgen Klopp amesema hajui nini kinaendelea kwa nyota wake huyo aliyeifungia Liverpool magoli 42 katika michezo 70 aliyoichezea klabu hiyo.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!!...
10 years ago
Mwananchi05 Sep
Marcos Rojo apata rasmi kibali
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-_ldX_HXWDPs/VPCJdoPhEyI/AAAAAAADPhY/T-MT3hGZ0Q8/s72-c/IMG-20150227-WA0035.jpg)
RUBANI APATA MAJERAHA BAADA YA NDEGEVITA YA JWTZ KUANGUKA MWANZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-_ldX_HXWDPs/VPCJdoPhEyI/AAAAAAADPhY/T-MT3hGZ0Q8/s1600/IMG-20150227-WA0035.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9n-KiygIUpg/VPCEdREjH-I/AAAAAAADPgY/R90CG2XEmm8/s1600/IMG-20150227-WA0037.jpg)
Rubani wa ndgevita hiyo Meja Peter Lyamunda alipoona ndege yake inawaka moto alifanikiwa kujirusha nje ya ndege hiyo kwa kutumia vifaa maalum na kufanikiwa kuokoa maisha yake ingawa amepata majeraha katika mguu wakati wa kujiokoa.
![](http://4.bp.blogspot.com/-UbXf-yO42Nc/VPCEbcatQKI/AAAAAAADPgA/pFE1K1wOYIQ/s1600/IMG-20150227-WA0012.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dsDsbTpubow/VPCJfEKy3FI/AAAAAAADPhg/ElK8Ap_w7gE/s1600/IMG-20150227-WA0014.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_YzuE4m7d3Q/VPCEbi8tjtI/AAAAAAADPgE/x--W507U65w/s1600/IMG-20150227-WA0011.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Lpo4F9xZy88/VPCEcGUQ9rI/AAAAAAADPgM/Jg2R8NiEcYM/s1600/IMG-20150227-WA0010.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4e4dnveKkK4/VPCEfLIYh3I/AAAAAAADPgk/Z-WO1_BLpz0/s1600/IMG-20150227-WA0009.jpg)
10 years ago
Habarileo10 May
Nyalandu: Vigogo serikalini wako bega kwa bega na majangili
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amedai kuwa majangili wote wanaotiwa mbaroni na vikosi vya Askari wa Wanyamapori, wanadaiwa wanatumwa na watu waliopo kwenye ofisi za serikali na wengine nje ya nchi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fGcspb67QRQ/XoRxbi2F0yI/AAAAAAALlxU/dOjFSYzsqWQjpJrpK8Cx574DMbgsvuB4QCLcBGAsYHQ/s72-c/093d0932-90be-4079-abf5-61c1daf3dbe8.jpg)
MERIDIANBET INAWAJIBIKA KWA JAMII: Afya na burudani vinaenda bega kwa bega!
![](https://1.bp.blogspot.com/-fGcspb67QRQ/XoRxbi2F0yI/AAAAAAALlxU/dOjFSYzsqWQjpJrpK8Cx574DMbgsvuB4QCLcBGAsYHQ/s640/093d0932-90be-4079-abf5-61c1daf3dbe8.jpg)
KAMPUNI inayowajibika kwa jamii na kujali afya na utu wa wananchi, Meridianbet inataka kukuhimiza kufuata taratibu na kanuni zilizowekwa na mamlaka husika.
Sisi kama jamii ni lazima tujali afya zetu na wananchi wengine na kuonesha mshikamano kati yetu.
Tunafahamu kiasi cha msongo wa mawazo na hali ya mabadiliko katika maisha yetu, hali hii imepelekea watu wengi kutumia muda mwingi kukaa majumbani na kujitenga.
Hivyo, kwa ajili ya kufanya hali iwe rahisi katika kipindi hiki ambacho wote tupo,...
9 years ago
BBCSwahili29 Sep
Majeraha yamuandama Sharapova