Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marcos Rojo apata rasmi kibali

Beki Marcos Rojo ataichezea Manchester United kwa mara ya kwanza katika mechi ya Ligi Kuu England 

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MARCOS ROJO RASMI MAN UTD, APEWA JEZI NAMBA 5

KLABU ya Manchester United imekamilisha usajili wa beki wa Sporting Lisbon, Marcos Rojo aliyesaini mkataba wa miaka mitano kuichezea klabu hiyo. Marcos Rojo akiwa na jezi yake namba 5. Marcos Rojo ametua klabuni hapo kwa ada ya pauni milioni 16 baada ya makubaliano na timu yake ya zamani ya Sporting Lisbon iliyomchukua kiungo wa Man United Luis Nani kwa mkopo.… ...

 

9 years ago

Bongo5

Marcus Rojo apata majeraha aumia bega mazoezini

2ECEEEDA00000578-0-image-m-5_1449173168935

Beki wa kushoto wa Klabu ya Manchester united Marcus Rojo atakua nje ya uwanja kwa muda wiki kadhaa baada ya kuumia bega wakati wa mazoezi.

2ECEEEDA00000578-0-image-m-5_1449173168935

Rojo alipata ajali hiyo ya kufanyatuka bega ilitokea wakati wa mazoezi ya Alhamis kwa bega lilelile lilofyatuka msimu uliopita katika mchezo dhidi ya Manichester City.

Rojo hakufanyiwa upasuaji kwa jeraha hilo ila alikaa nje ya dimba kwa muda wa wiki nne.

Klabu yake bado haijazungumzia swala la beki huyu ila ikitarajiwa kuwa leo ijumaa kocha mkuu wa...

 

5 years ago

The Pride Of London

Chelsea player ratings: Marcos Alonso reminds us how routine this is for him

Chelsea player ratings: Marcos Alonso reminds us how routine this is for him  The Pride of LondonAlonso's Chelsea revival goes on but Lampard's defensive tinkering symptomatic of weak top-four bid  Goal.comChelsea fans confused by Frank Lampard substitution during Bournemouth draw  The Chelsea Chronicle - Chelsea FC NewsWhat Chelsea's 2-2 Draw With Bournemouth Means for Their Season  90minAntonio Rudiger's Chelsea future may be in question after Frank Lampard finally loses patience  Talk...

 

10 years ago

Mwananchi

Manchester United yamsainisha Rojo

Manchester United imemsajili beki wa kimataifa wa Argentina, Marcos Rojo kwa kitita cha pauni 16 milioni katika mkataba wa miaka mitano.

 

9 years ago

Mtanzania

Rojo afyatuka bega mazoezini

18565750-9735-11e4-866b-954973a0d8e5_RojoMANCHESTER, ENGLAND

KLABU ya Manchester United imepata pigo baada ya beki wake Marcos Rojo kufyatuka bega akiwa mazoezini na klabu hiyo.

Ajalia hiyo ya kufanyatuka bega ilitokea wakati wa mazoezi juzi ambapo aliumia bega lile lile aliloumia msimu uliopita katika mchezo dhidi ya Manichester City na kukaa nje ya Uwanja kwa wiki nne.

Hata hivyo klabu hiyo bado haijazungumzia suala la beki huyu ila kocha wa timu hiyo Louis van Gaal anatarajia kutoa maelezo ya kuumia huko kwa beki wake.

Beki huyo...

 

9 years ago

BBCSwahili

Rojo aumia bega mazoezini

Beki wa Klabu ya Manchester united atakua nje ya uwanja kwa muda wiki kadhaa baada ya kuumia

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani