Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MARCOS ROJO APEWA KIBALI CHA KAZI UINGEREZA, SASA RUKSA KUKIPIGA MANCHESTER UNITED





New boy: Rojo was allowed to take part in Man United's training sessions despite not having a work permit

Jamtz.com

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Marcos Rojo apata rasmi kibali

Beki Marcos Rojo ataichezea Manchester United kwa mara ya kwanza katika mechi ya Ligi Kuu England 

 

10 years ago

GPL

MARCOS ROJO RASMI MAN UTD, APEWA JEZI NAMBA 5

KLABU ya Manchester United imekamilisha usajili wa beki wa Sporting Lisbon, Marcos Rojo aliyesaini mkataba wa miaka mitano kuichezea klabu hiyo. Marcos Rojo akiwa na jezi yake namba 5. Marcos Rojo ametua klabuni hapo kwa ada ya pauni milioni 16 baada ya makubaliano na timu yake ya zamani ya Sporting Lisbon iliyomchukua kiungo wa Man United Luis Nani kwa mkopo.… ...

 

10 years ago

Mwananchi

Manchester United yamsainisha Rojo

Manchester United imemsajili beki wa kimataifa wa Argentina, Marcos Rojo kwa kitita cha pauni 16 milioni katika mkataba wa miaka mitano.

 

10 years ago

Vijimambo

KINDA WA ARSENAL ALIESHINDWA KUITUMIA TIMU HIYO KWA KUKOSA KIBALI SASA RUKSA.


Silva sasa ruksa Arsenal
Baada ya kushindwa kucheza Arsenal kwa miaka minne kutokana na tatizo la kibali cha kazi, Mbrazili Wellington Silva sasa njia ni nyeupe.
Silva (22) alisajiliwa na Arsenal kutoka Fluminense tangu 2011 lakini akashindwa kucheza kwa vile hakupewa kibali cha kazi kwa vile hakuwa na uzoefu mkubwa na anatoka nje ya Umoja wa Ulaya (EU).Walichofanya Arsenal ni kumpeleka kwa mkopo katika klabu tano tofauti za Hispania (imo kwenye AU) na sasa baada ya miaka minne amepewa uraia...

 

10 years ago

Mwananchi

Okwi apewa kibali cha muda

>Hatimaye mshambuliaji wa kimataifa wa Uganda, Emmanuel Okwi amepata kibali cha muda cha kufanya kazi nchini ambacho kitamwezesha kuichezea klabu ya Simba.

 

10 years ago

Mwananchi

Falcao sasa atua rasmi Manchester United

Klabu ya Manchester United imemchukua kwa mkopo wa Pauni 6 milioni mshambuliaji Radamel Falcao raia wa Colombia kutoka klabu ya Monaco ya Ufaransa.

 

5 years ago

The Busby Babe

Manchester United 2-0 Manchester City: Martial and McTominay make Manchester Red

Manchester United 2-0 Manchester City: Martial and McTominay make Manchester Red  The Busby BabeMan City display against Man Utd was 'unacceptable' - Bernardo Silva  Goal.comMan United vs Man City: Anthony Martial makes it 1-0 following Bruno Fernandes' brilliant free-kick  GIVEMESPORTManchester United vs. Manchester City analysis: Fernandes & Martial brilliant again | Premier League  ESPN UKEderson errors sum up Man City's sloppiness in dismal derby defeat  Goal.comView Full coverage on...

 

10 years ago

GPL

ROJO ATUA MAN UNITED KUKAMILISHA USAJILI

Marcos Rojo (mwenye T-shirt) akiwa na wafanyakazi wa Man Utd katika hospitali ya Bridgewater ametua kukamilisha usajili siku ya leo kuchukuliwa vipimo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani