MARCOS ROJO APEWA KIBALI CHA KAZI UINGEREZA, SASA RUKSA KUKIPIGA MANCHESTER UNITED
Jamtz.com
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi05 Sep
Marcos Rojo apata rasmi kibali
Beki Marcos Rojo ataichezea Manchester United kwa mara ya kwanza katika mechi ya Ligi Kuu EnglandÂ
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hpMD5afDfdZi0y21lV4tpyoVxvINGGzaiFW1JI5O4jEXgCdayqCJ-mWmrx4RUD6phKKAl9DiIIwtuxcq0ZSowF86PfsAe2TP/rojo.jpg?width=650)
MARCOS ROJO RASMI MAN UTD, APEWA JEZI NAMBA 5
KLABU ya Manchester United imekamilisha usajili wa beki wa Sporting Lisbon, Marcos Rojo aliyesaini mkataba wa miaka mitano kuichezea klabu hiyo. Marcos Rojo akiwa na jezi yake namba 5. Marcos Rojo ametua klabuni hapo kwa ada ya pauni milioni 16 baada ya makubaliano na timu yake ya zamani ya Sporting Lisbon iliyomchukua kiungo wa Man United Luis Nani kwa mkopo.… ...
10 years ago
Mwananchi22 Aug
Manchester United yamsainisha Rojo
Manchester United imemsajili beki wa kimataifa wa Argentina, Marcos Rojo kwa kitita cha pauni 16 milioni katika mkataba wa miaka mitano.
10 years ago
Vijimambo23 Apr
KINDA WA ARSENAL ALIESHINDWA KUITUMIA TIMU HIYO KWA KUKOSA KIBALI SASA RUKSA.
![](http://www.tanzaniasports.com/wp-content/uploads/2015/04/Wellington-Silva-634x400.jpg)
Silva sasa ruksa Arsenal
Baada ya kushindwa kucheza Arsenal kwa miaka minne kutokana na tatizo la kibali cha kazi, Mbrazili Wellington Silva sasa njia ni nyeupe.
Silva (22) alisajiliwa na Arsenal kutoka Fluminense tangu 2011 lakini akashindwa kucheza kwa vile hakupewa kibali cha kazi kwa vile hakuwa na uzoefu mkubwa na anatoka nje ya Umoja wa Ulaya (EU).Walichofanya Arsenal ni kumpeleka kwa mkopo katika klabu tano tofauti za Hispania (imo kwenye AU) na sasa baada ya miaka minne amepewa uraia...
10 years ago
Mwananchi29 Sep
Okwi apewa kibali cha muda
>Hatimaye mshambuliaji wa kimataifa wa Uganda, Emmanuel Okwi amepata kibali cha muda cha kufanya kazi nchini ambacho kitamwezesha kuichezea klabu ya Simba.
10 years ago
Mwananchi02 Sep
Falcao sasa atua rasmi Manchester United
Klabu ya Manchester United imemchukua kwa mkopo wa Pauni 6 milioni mshambuliaji Radamel Falcao raia wa Colombia kutoka klabu ya Monaco ya Ufaransa.
10 years ago
Jamtz.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-8HDUM2GN2d4/VDecbEf5MLI/AAAAAAAABNI/vbImEVFAwok/s72-c/4076.jpg)
BAADA YA KUTOA DRAW JANA, MANCHESTER UNITED YATUPWA NAFASI YA 6, TAZAMA HAPA MSIMAMO WA LIGI YA UINGEREZA
Tweet
Football tables provided by
![](http://3.bp.blogspot.com/-8HDUM2GN2d4/VDecbEf5MLI/AAAAAAAABNI/vbImEVFAwok/s640/4076.jpg)
![whatsthescore.com](http://medias.whatsthescore.com/upload/logo-s.png)
5 years ago
The Busby Babe09 Mar
Manchester United 2-0 Manchester City: Martial and McTominay make Manchester Red
Manchester United 2-0 Manchester City: Martial and McTominay make Manchester Red The Busby BabeMan City display against Man Utd was 'unacceptable' - Bernardo Silva Goal.comMan United vs Man City: Anthony Martial makes it 1-0 following Bruno Fernandes' brilliant free-kick GIVEMESPORTManchester United vs. Manchester City analysis: Fernandes & Martial brilliant again | Premier League ESPN UKEderson errors sum up Man City's sloppiness in dismal derby defeat Goal.comView Full coverage on...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-tRXgGHTUdPVDAOSOiqmDIH*0INLGMtG0BWpfDyx2W5JTjNtff0z2uHmRtK0FPvWjZfHOcpFA56SNoKorTt1PszErWk69KMo/rojo7.jpg?width=650)
ROJO ATUA MAN UNITED KUKAMILISHA USAJILI
Marcos Rojo (mwenye T-shirt) akiwa na wafanyakazi wa Man Utd katika hospitali ya Bridgewater ametua kukamilisha usajili siku ya leo kuchukuliwa vipimo.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania