Okwi apewa kibali cha muda
>Hatimaye mshambuliaji wa kimataifa wa Uganda, Emmanuel Okwi amepata kibali cha muda cha kufanya kazi nchini ambacho kitamwezesha kuichezea klabu ya Simba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Jamtz.Com9 years ago
Mtanzania18 Aug
Basata yaipa kibali cha muda Miss Tanzania
JULIET MORI NA LETICIA BWIRE (TUDARCO)
MASHINDANO ya urembo ya Miss Tanzania yaliyofungiwa kwa muda wa miaka miwili yamepata ahueni baada ya Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) kuipa kibali cha muda kampuni inayoendesha shindano hilo, International Agency Limited (LINO).
Basata imetoa kibali hicho cha muda kisichozidi miezi minne kwa ajili ya maandalizi ya awali, ikiwemo kukamilisha usajili wa mawakala katika ngazi zote husika ili kuboresha na kurudisha heshima ya shindano la Miss...
10 years ago
Tanzania Daima31 Aug
Kibali cha Jaja chawatesa Yanga
KLABU ya Yanga kwa sasa inajikuta katika wakati mgumu kwani zikisalia siku 20 kabla ya kuanza kwa Ligi Kuu Tanzania bara, Hati ya Uhamisho wa kimataifa (ITC) wa nyota wake...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lxyAgDd99Tc/XnC_5nCpzYI/AAAAAAAAHtY/ma7BCuMTzj4A07N62nOPfb6jp0hiS5MWQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200317_110813.jpg)
DC KASESELA: MARUFUKU SHEREHE ZA HARUSI BILA KIBALI CHA DMO
![](https://1.bp.blogspot.com/-lxyAgDd99Tc/XnC_5nCpzYI/AAAAAAAAHtY/ma7BCuMTzj4A07N62nOPfb6jp0hiS5MWQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200317_110813.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-y8vUARLzwnc/XnDFAd-NydI/AAAAAAAAHto/vhuduFEl-DQJfO0Flgi4a2x_Fqu48y1oACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200317_110913.jpg)
Na Frendy Mgunda IringaSERIKALI ya wilaya ya Iringa imepiga marufuku sherehe zote harusi ambazo hazina kibali maalumu kutoka kwa Mganga mkuu wa wilaya (DMO)...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ws8ZUKcMJII/U_9lIrjSr2I/AAAAAAABLxA/PuEl3wjc1g4/s72-c/IMG_2204.jpg)
OKWI AREJEA SIMBA SC KUCHEZA KWA MUDA KULINDA KIPAJI CHAKE WAKATI KESI YAKE NA YANGA IKIENDELEA
Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAMSTAILI ile ile waliyotumia Yanga SC kumpata mshambuliaji Emmanuel Arnold Okwi ndiyo ambayo klabu yake ya zamani, Simba SC inaitumia kumrejesha kundini Mganda huyo.
Akizungumza na Waandishi wa Habari jioni hii mjini Dar es Salaam, Okwi amesema kwamba amesaini Simba SC mkataba huru wa muda, baada ya Yanga SC kumpa barua ya kusitisha mkataba naye jana pamoja na kumshitaki Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
Okwi amesema ameamua kuomba kuichezea Simba SC kipindi...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-XC_vQ8G9wjM/VQ_jXOLq5-I/AAAAAAAHMWY/3efrdar_WNQ/s72-c/Bhangi%2Bikiteketezwa%2Bbaada%2Bya%2Bkukamatwa%2Bkatika%2Bshamba%2Bla%2Bmahindi..jpg)
SITA MBARONI KWA KUMILIKI SILAHA KINYUME CHA SHERIA, KULIMA BHANGI NA KUINGIA NCHINI BILA KIBALI MKOANI DODOMA
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikilia watu sita (6) kwa makosa mbalimbali yakiwemo ya kumiliki silaha kinyume cha sheria, kulima na kukutwa na bhangi pamoja na kuingia nchini bila kibali, kufuatia operesheni inayoendelea Mkoani Dodoma kusaka watuwanaojihusisha na uhalifu wa aina mbalimbali.
Akithibitisha matukio hayo kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME - SACP amewataja watu wanaoshikiliwa...
9 years ago
BBCSwahili30 Oct
Magufuli apewa cheti cha ushindi Tanzania
9 years ago
Habarileo31 Oct
Yametimia: Magufuli apewa cheti cha urais
RAIS mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Magufuli na Makamu wa Rais mteule, Samia Suluhu Hassan, wamekabidhiwa kwa mujibu wa sheria hati za kuchaguliwa kuwa Rais na Makamu wa Rais.