Basata yaipa kibali cha muda Miss Tanzania
JULIET MORI NA LETICIA BWIRE (TUDARCO)
MASHINDANO ya urembo ya Miss Tanzania yaliyofungiwa kwa muda wa miaka miwili yamepata ahueni baada ya Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) kuipa kibali cha muda kampuni inayoendesha shindano hilo, International Agency Limited (LINO).
Basata imetoa kibali hicho cha muda kisichozidi miezi minne kwa ajili ya maandalizi ya awali, ikiwemo kukamilisha usajili wa mawakala katika ngazi zote husika ili kuboresha na kurudisha heshima ya shindano la Miss...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi29 Sep
Okwi apewa kibali cha muda
10 years ago
Vijimambo22 Oct
CHETI CHA KUZALIWA CHA MISS TANZANIA KILITOLEWA SIKU 4 KABLA YA KAMBI YA WASHIRIKI WA MISS TANZANIA KUANZA
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Sitti-Mtevu--0ctober22-2014.jpg)
Mkurugenzi wa kampuni ya Lino International Agency, Hashim Lundenga (kulia) akionyesha cheti cha kuzaliwa cha Miss Tanzania 2014, Sitti Mtevu kilichoandikwa amezaliwa mwaka 1991 wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana. Picha: Omar Fungo
Sakata la umri halisi wa mrembo mpya wa Tanzania mwaka huu 'Redd's Miss Tanzania 2014', Sitti Mtemvu bado linaendelea kuchukua sura mpya baada ya mshindi huyo wa taji la taifa kuwasilisha cheti cha kuzaliwa ambacho kimetolewa siku...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8D4-dR0q4WU/VdGqcvBGg_I/AAAAAAAHxvM/MR0aw0-s-Us/s72-c/download.jpeg)
BASATA YALIFUNGULIA SHINDANO LA MISS TANZANIA
![](file:///C:/Users/user/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image003.gif)
![](http://1.bp.blogspot.com/-8D4-dR0q4WU/VdGqcvBGg_I/AAAAAAAHxvM/MR0aw0-s-Us/s640/download.jpeg)
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limelifungulia shindano la urembo la Miss Tanzania baada ya mwandaaji wake Kampuni ya LINO International Agency Limited kufuata taratibu, kuomba radhi na kuyafanyia kazi baadhi ya mapungufu yaliyojitokeza na kutekeleza masharti aliyopewa.
Itakumbukwa kuwa mnano tarehe 22/12/2014 BASATA liliwaandikia barua LINO International Agency Limited ya kulisimamisha shindano la Miss Tanzania kwa miaka miwili (Mwaka 2015 na 2016)...
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Basata yajenga hoja Miss Tanzania
9 years ago
Habarileo18 Aug
Basata yaitoa kifungoni Miss Tanzania
BARAZA la Sanaa la Taifa (BASATA) limelifungulia shindano la urembo la Miss Tanzania baada ya kuridhishwa na mabadiliko kutoka kwa mratibu wake Kampuni ya LINO International Agency Limited.
9 years ago
MichuziBASATA YAIPONGEZA KAMATI YA MISS UNIVERSE TANZANIA
Kauli hiyo imetolewa na Mratibu wa mashindano ya Miss Universe Fausta Magoti wakati wa kufanya tathimini ya mashindano ya mwaka jana ambapo, Caroline Benard aliibuka mshindi.
Magoti alisema kuwa pamoja na kampuni ya Compass kuanza kushiriki katika mashindano ya Miss Universe mwaka 2007, waliweza kufanya vyema na kuitangaza Tanzania nje ya mipaka...
9 years ago
Mwananchi17 Aug
Basata yalitoa kifungoni shindano la Miss Tanzania
10 years ago
Mwananchi15 Dec
Hatma ya Miss Tanzania mikononi mwa Basata
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8xWXgexOWAc/VTujhrWgaxI/AAAAAAAHTOc/WJDt25q5tTM/s72-c/Untitled%2C.png)
KUSIMAMISHWA KWA SHINDANO LA UREMBO LA MISS TANZANIA KWA MISIMU MIWILI KUKO PALEPALE - BASATA
![](http://2.bp.blogspot.com/-8xWXgexOWAc/VTujhrWgaxI/AAAAAAAHTOc/WJDt25q5tTM/s1600/Untitled%2C.png)
Taarifa hizo za kufunguliwa shindano hilo zilienda mbali kwa kueleza kwamba mawakala wametumiwa kalenda ya mashindano...