BASATA YAIPONGEZA KAMATI YA MISS UNIVERSE TANZANIA
BARAZA la Sanaa la Taifa (Basata) limeipongeza kampuni ya Compass Communications Tanzania kwa kufanya mashindano bora ya Miss Universe hapa nchini.
Kauli hiyo imetolewa na Mratibu wa mashindano ya Miss Universe Fausta Magoti wakati wa kufanya tathimini ya mashindano ya mwaka jana ambapo, Caroline Benard aliibuka mshindi.
Magoti alisema kuwa pamoja na kampuni ya Compass kuanza kushiriki katika mashindano ya Miss Universe mwaka 2007, waliweza kufanya vyema na kuitangaza Tanzania nje ya mipaka...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mjl9guAucSI/VmcunQ8dO1I/AAAAAAAILFo/rR3ZECNQ4ME/s72-c/UNI2015_3102.jpg)
MISS TANZANIA Lorraine at Miss Universe 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-mjl9guAucSI/VmcunQ8dO1I/AAAAAAAILFo/rR3ZECNQ4ME/s640/UNI2015_3102.jpg)
10 years ago
VijimamboMISS UNIVERSE TANZANIA 2014 AELEKEA MIAMI TAYARI KUPEPERUSHA BENDERA YA TANZANIA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-det3U3Cwom4/U1pa3ke02mI/AAAAAAACfgE/DnKs_QGaTlM/s72-c/Betty+Boniface.jpg)
Miss Universe Tanzania washiriki fashion show Moscow ya kuadhimisha miaka 50 ya Muungano wa Tanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/-det3U3Cwom4/U1pa3ke02mI/AAAAAAACfgE/DnKs_QGaTlM/s1600/Betty+Boniface.jpg)
Warembo wawili wa waliowahi kushinda taji la Miss Universe, Nelly Kamwelu na Betty Boniface leo (Jumamosi) watapanda jukwaani mjini Moscow, Urusi kushiriki katika maonyesho ya mavazi ya kuadhimisha miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Warembo hao waliondoja nchini juzi na tayari wapo mjini Moscow kwa ajili ya maonyesho hayo ambayo pia yatashirikisha waonyesha mavazi mbali mbali wa Tanzania.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Compass Communications, Maria...
9 years ago
Mwananchi22 Nov
Marriott awa Miss Universe Tanzania
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ttICAUTyVw0/VF5LCUP1d0I/AAAAAAAGwD8/da5rz9D2J0o/s72-c/B16WNzcCAAA7Kef.jpg)
Winners of Miss Universe Tanzania 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-ttICAUTyVw0/VF5LCUP1d0I/AAAAAAAGwD8/da5rz9D2J0o/s1600/B16WNzcCAAA7Kef.jpg)
10 years ago
Dewji Blog09 Sep
Miss Universe Tanzania 2014 Call for Entries
Je wewe ni mrembo, mrefu mwembaba unayejiamini? Usisite kuchukua forms za kujiunga na Miss Universe Tanzania 2014 katika mikoa ifuatayo MWANZA (LULU SANGA- 0715471412); IRINGA na MBEYA ( VERONICA KILEMILE- 0782488030); ARUSHA (GADIOLA0715643633/0784643633) na DAR ES SALAAM waone au wasiliana na (SEIF KABELELE/MWANAKOMBO SALIM -0655441165/0713302075) Ukiona tangazo hili mjulishe na mwenzio.
RATIBA YA USAILI.
Yale mashindano ya kumsaka mwakilishi katika mashindano makubwa kabisa ya...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-P75779HHKYY/Vm28oqGxzMI/AAAAAAAIMK0/_kGSRdzZh7c/s72-c/photographer_uploaded_1_79_1_1449972038_2015.jpg)
Lorraine Marriot - Miss Universe Tanzania 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-P75779HHKYY/Vm28oqGxzMI/AAAAAAAIMK0/_kGSRdzZh7c/s640/photographer_uploaded_1_79_1_1449972038_2015.jpg)
9 years ago
Dewji Blog19 Nov
9 years ago
Michuzi11 Nov
MASHINDANO YA MISS UNIVERSE TANZANIA 2015 KUANZA RASMI
Mpaka sasa hivi waandaaji wameanza kupokea fomu na picha za warembo kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania na Zanzibar.
Miongoni mwa mikoa ambayo Miss Universe Tanzania imepokea na inaendelea kupokea fomu na picha za washiriki ni Arusha, Mwanza, Tanga, Iringa, Mbeya na Dar es Salaam. Zoezi la usaili na kupokea fomu kutoka mikoani litahitimishwa siku ya...