Miss Universe Tanzania washiriki fashion show Moscow ya kuadhimisha miaka 50 ya Muungano wa Tanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/-det3U3Cwom4/U1pa3ke02mI/AAAAAAACfgE/DnKs_QGaTlM/s72-c/Betty+Boniface.jpg)
Betty Boniface
Nelly Kamwelu
Warembo wawili wa waliowahi kushinda taji la Miss Universe, Nelly Kamwelu na Betty Boniface leo (Jumamosi) watapanda jukwaani mjini Moscow, Urusi kushiriki katika maonyesho ya mavazi ya kuadhimisha miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Warembo hao waliondoja nchini juzi na tayari wapo mjini Moscow kwa ajili ya maonyesho hayo ambayo pia yatashirikisha waonyesha mavazi mbali mbali wa Tanzania.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Compass Communications, Maria...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi09 May
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Ljn5rxOqX2k/U0L5BP5nrYI/AAAAAAAAFRM/hUL4WtQTJVU/s72-c/IMG_0870.jpg)
MKUU WA MKOA WA RUKWA ASHIRIKIANA NA UVCCM KATIKA MBIO ZA UZALENDO TANZANIA KUADHIMISHA MIAKA 50 YA MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ljn5rxOqX2k/U0L5BP5nrYI/AAAAAAAAFRM/hUL4WtQTJVU/s1600/IMG_0870.jpg)
10 years ago
VijimamboMISS UNIVERSE TANZANIA 2014 AELEKEA MIAMI TAYARI KUPEPERUSHA BENDERA YA TANZANIA
10 years ago
Vijimambo22 Oct
CHETI CHA KUZALIWA CHA MISS TANZANIA KILITOLEWA SIKU 4 KABLA YA KAMBI YA WASHIRIKI WA MISS TANZANIA KUANZA
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Sitti-Mtevu--0ctober22-2014.jpg)
Mkurugenzi wa kampuni ya Lino International Agency, Hashim Lundenga (kulia) akionyesha cheti cha kuzaliwa cha Miss Tanzania 2014, Sitti Mtevu kilichoandikwa amezaliwa mwaka 1991 wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana. Picha: Omar Fungo
Sakata la umri halisi wa mrembo mpya wa Tanzania mwaka huu 'Redd's Miss Tanzania 2014', Sitti Mtemvu bado linaendelea kuchukua sura mpya baada ya mshindi huyo wa taji la taifa kuwasilisha cheti cha kuzaliwa ambacho kimetolewa siku...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mjl9guAucSI/VmcunQ8dO1I/AAAAAAAILFo/rR3ZECNQ4ME/s72-c/UNI2015_3102.jpg)
MISS TANZANIA Lorraine at Miss Universe 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-mjl9guAucSI/VmcunQ8dO1I/AAAAAAAILFo/rR3ZECNQ4ME/s640/UNI2015_3102.jpg)
9 years ago
Mwananchi22 Nov
Marriott awa Miss Universe Tanzania
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ttICAUTyVw0/VF5LCUP1d0I/AAAAAAAGwD8/da5rz9D2J0o/s72-c/B16WNzcCAAA7Kef.jpg)
Winners of Miss Universe Tanzania 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-ttICAUTyVw0/VF5LCUP1d0I/AAAAAAAGwD8/da5rz9D2J0o/s1600/B16WNzcCAAA7Kef.jpg)
9 years ago
MichuziBASATA YAIPONGEZA KAMATI YA MISS UNIVERSE TANZANIA
Kauli hiyo imetolewa na Mratibu wa mashindano ya Miss Universe Fausta Magoti wakati wa kufanya tathimini ya mashindano ya mwaka jana ambapo, Caroline Benard aliibuka mshindi.
Magoti alisema kuwa pamoja na kampuni ya Compass kuanza kushiriki katika mashindano ya Miss Universe mwaka 2007, waliweza kufanya vyema na kuitangaza Tanzania nje ya mipaka...
10 years ago
Dewji Blog09 Sep
Miss Universe Tanzania 2014 Call for Entries
Je wewe ni mrembo, mrefu mwembaba unayejiamini? Usisite kuchukua forms za kujiunga na Miss Universe Tanzania 2014 katika mikoa ifuatayo MWANZA (LULU SANGA- 0715471412); IRINGA na MBEYA ( VERONICA KILEMILE- 0782488030); ARUSHA (GADIOLA0715643633/0784643633) na DAR ES SALAAM waone au wasiliana na (SEIF KABELELE/MWANAKOMBO SALIM -0655441165/0713302075) Ukiona tangazo hili mjulishe na mwenzio.
RATIBA YA USAILI.
Yale mashindano ya kumsaka mwakilishi katika mashindano makubwa kabisa ya...