Hatma ya Miss Tanzania mikononi mwa Basata
Hatma iwapo mashindano ya Miss Tanzania yataendelea au yatasitishwa kwa muda, itategemea majibu ya tathmini iliyofanyika mwishoni mwa wiki jana yanayotarajiwa kutolewa na Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) wiki chache zijazo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog26 May
Hatma ya CCM ipo mikononi mwa vijana
-Shirikisho lina Wajumbe 683
-Wanachama 31,000
-Vijana wafurahi kupiga picha pamoja na Nape
![](http://3.bp.blogspot.com/-qqrsIr_dxHc/VWOHgo5CKgI/AAAAAAAAcdY/V1mg3CxV1-o/s640/01.jpg)
Wanafunzi kutoka vyuo vya elimu ya juu nchini wakifurahi kupiga picha na Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye.
![](http://4.bp.blogspot.com/-2rzqaKemhlE/VWOHiRCNNCI/AAAAAAAAcds/Xgm7pz2fLqM/s640/2.jpg)
Kila mwanafunzi alipenda apate ukumbushokwa kupiga picha na na Katibu wa NEC Npe Nnauye.
![](http://4.bp.blogspot.com/-qHeJpyvhNpM/VWOHjQ2fbII/AAAAAAAAcdw/2tnMemMpi5I/s640/3.jpg)
Wajumbe kutoka mikoa mbali mbali wakiimba na kucheza nyimbo za hamasa.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Hat9k0Vpz2Q/VWOHkl8CzoI/AAAAAAAAcd8/XW4j2LPBor8/s640/4.jpg)
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza meza kuu kuimba wakati wa kufungua kwa mkutano wa Shirikisho la...
10 years ago
Mwananchi15 Nov
Basata: Kashfa ya Sitti mikononi mwa RITA
9 years ago
VijimamboSILAHA ZA MAANGAMIZI ZISIISHIE MIKONONI MWA MAKUNDI YA KIHALIFU —TANZANIA
Tanzania imetoa wito Kwa Jumuiya ya Kimataifa wa kuhakikisha inashirikiana kuhakikisha kwamba silaha za maangamizi zikiwamo za nyukilia haziiangukii mikono ya ...
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Basata yajenga hoja Miss Tanzania
9 years ago
Habarileo18 Aug
Basata yaitoa kifungoni Miss Tanzania
BARAZA la Sanaa la Taifa (BASATA) limelifungulia shindano la urembo la Miss Tanzania baada ya kuridhishwa na mabadiliko kutoka kwa mratibu wake Kampuni ya LINO International Agency Limited.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8D4-dR0q4WU/VdGqcvBGg_I/AAAAAAAHxvM/MR0aw0-s-Us/s72-c/download.jpeg)
BASATA YALIFUNGULIA SHINDANO LA MISS TANZANIA
![](file:///C:/Users/user/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image003.gif)
![](http://1.bp.blogspot.com/-8D4-dR0q4WU/VdGqcvBGg_I/AAAAAAAHxvM/MR0aw0-s-Us/s640/download.jpeg)
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limelifungulia shindano la urembo la Miss Tanzania baada ya mwandaaji wake Kampuni ya LINO International Agency Limited kufuata taratibu, kuomba radhi na kuyafanyia kazi baadhi ya mapungufu yaliyojitokeza na kutekeleza masharti aliyopewa.
Itakumbukwa kuwa mnano tarehe 22/12/2014 BASATA liliwaandikia barua LINO International Agency Limited ya kulisimamisha shindano la Miss Tanzania kwa miaka miwili (Mwaka 2015 na 2016)...
9 years ago
MichuziBASATA YAIPONGEZA KAMATI YA MISS UNIVERSE TANZANIA
Kauli hiyo imetolewa na Mratibu wa mashindano ya Miss Universe Fausta Magoti wakati wa kufanya tathimini ya mashindano ya mwaka jana ambapo, Caroline Benard aliibuka mshindi.
Magoti alisema kuwa pamoja na kampuni ya Compass kuanza kushiriki katika mashindano ya Miss Universe mwaka 2007, waliweza kufanya vyema na kuitangaza Tanzania nje ya mipaka...
9 years ago
Mwananchi17 Aug
Basata yalitoa kifungoni shindano la Miss Tanzania