Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SILAHA ZA MAANGAMIZI ZISIISHIE MIKONONI MWA MAKUNDI YA KIHALIFU —TANZANIA

Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzani katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi, akichangia majadiliano kuhusu upokonyaji wa silaha na usalama wa kimataifa mwishoni mwa wiki, ambapo ametoa wito wa jumuiya ya kimataifa kushirikiana katika kuhakikisha kuwa silaha za maangamizi haziishii mikononi mwa makundi ya kihalifu.
Tanzania imetoa wito Kwa Jumuiya ya Kimataifa wa kuhakikisha inashirikiana kuhakikisha kwamba silaha za maangamizi zikiwamo za nyukilia haziiangukii mikono ya ...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Hatma ya Miss Tanzania mikononi mwa Basata

Hatma iwapo mashindano ya Miss Tanzania yataendelea au yatasitishwa kwa muda, itategemea majibu ya tathmini iliyofanyika mwishoni mwa wiki jana yanayotarajiwa kutolewa na Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) wiki chache zijazo.

 

9 years ago

Habarileo

Silaha za maangamizi

TANZANIA imetoa wito kwa Jumuiya ya Kimataifa wa kuhakikisha inashirikiana kuhakikisha kwamba silaha za maangamizi zikiwamo za nyuklia haziangukii mikononi mwa makundi ya kihalifu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Yondani mikononi mwa TFF

BENCHI la ufundi la timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars chini ya kocha wake Mart Nooij, limesema halitambui sababu za beki wa timu hiyo Kelvin Yondani kushindwa kwenda kambini,...

 

9 years ago

Mwananchi

Sherehe 30 mikononi mwa Magufuli

Sherehe 30 za maadhimisho ya kitaifa zinazofanyika nchini kila mwaka huenda ‘zikachinjwa’ kutokana na kasi ya Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli ya kupunguza gharama na kubana matumizi ya Serikali yasiyo ya lazima.     

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mbowe mikononi mwa polisi

JOPO la Mawakili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), na wanachama wa chama hicho, leo wamepanga kumsindikiza mwenyekiti wao Freeman Mbowe aliyeitwa Makao Makuu ya Polisi kwa ajili ya...

 

11 years ago

Mtanzania

Hatima ya Kibonde mikononi mwa Polisi

Mtangazji maarufu wa redio nchini, Ephraim Kibonde

Mtangazji maarufu wa redio nchini, Ephraim Kibonde

Na Asifiwe George, Dar es Salaam

KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillus Wambura, amesema Jeshi hilo kwa sasa lipo katika uchunguzi dhidi ya mtangazaji wa Kituo cha Redio cha Clouds FM, Ephraim Kibonde na mwenzake, Gadna Habash wa Times FM, ambao wameachiwa huru kwa dhamana.

Kamanda Wambura aliliambia MTANZANIA jana kwamba baada ya uchunguzi huo, iwapo watapatikana na hatia, hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yao, ikiwa ni pamoja na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwema, Mwamunyange mikononi mwa Kikwete

WAKATI shinikizo la kumtaka Waziri Mkuu Mizengo Pinda kujiuzulu ama awajibishwe kutokana na kashfa ya ukatili mauaji dhidi ya wananchi wakati wa Operesheni Tokomeza Ujangili likizidi kushika kasi, vumbi jipya...

 

10 years ago

BBCSwahili

''Niliponea kifo mikononi mwa Al Shabaab''

Douglas Ondari Ochodho ni mmoja wa watu waliokumbana na Al Shabaab wakiwa safarini kondoka Mandeara. Anasimimulia yaliyomkumba

 

10 years ago

Mwananchi

Hatima ya Bunge la Katiba mikononi mwa JK

>Hatima ya Bunge Maalumu la Katiba imebaki mikononi mwa Rais Jakaya Kikwete, ambalo limemwandikia barua kiongozi huyo wa nchi kutaka ufafanuzi wa kisheria kuhusu tarehe ya mwisho ya kumaliza vikao vyake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani