Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hatma ya CCM ipo mikononi mwa vijana

-Shirikisho lina Wajumbe 683

-Wanachama 31,000

-Vijana wafurahi kupiga picha pamoja na Nape

 Wanafunzi kutoka vyuo vya elimu ya juu nchini wakifurahi kupiga picha na Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye.

 Kila mwanafunzi alipenda apate ukumbushokwa kupiga picha na na Katibu wa NEC Npe Nnauye.

 Wajumbe kutoka mikoa mbali mbali wakiimba na kucheza nyimbo za hamasa.

 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza meza kuu kuimba wakati wa kufungua kwa mkutano wa Shirikisho la...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Hatma ya Miss Tanzania mikononi mwa Basata

Hatma iwapo mashindano ya Miss Tanzania yataendelea au yatasitishwa kwa muda, itategemea majibu ya tathmini iliyofanyika mwishoni mwa wiki jana yanayotarajiwa kutolewa na Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) wiki chache zijazo.

 

9 years ago

Mwananchi

MODESTA MBUGHUNI : Hatma ya maendeleo ya nchi yetu ipo mikononi mwetu wanawake

Katika kuperuzi kwangu mitandao nikitaka kujua hiki na kile, nilijikuta nikiwa nimekodoa macho kwenye mtandao wa Proffessional Approach Group

 

11 years ago

Tanzania Daima

Katiba mpya ipo mikononi mwa watanzania

HATMA ya kupatikana au kutokupatikana kwa katiba mpya ya Tanzania imebaki mikono mwetu watanzania kwa kuipigia kura ya Ndiyo au Hapana. Tayari Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya...

 

10 years ago

Vijimambo

COMRADE MWIGULU NCHEMBA ATUA BUKOMBE,SASA JIMBO LA BUKOMBE MIKONONI MWA CCM

    Mwigulu Nchemba akiteta jambo na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Geita Ndg.Msukuma "KING" Mshindi wa nafasi ya Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Geita Bi.Vick Kamata akiwashukuru na kuomba kura kwa Wananchi wa Bukombe wampigie J.P.Magufuli ifikapo tar.25.10.2015 Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Geita Ndg.Joseph Msukuma akizungumza na Wananchi wa Bukombe kuwa yupo tayari kuzunguka Nchi nzima kuinadi Ilani ya CCM,Pia kumnadi Mgombea Urais wa CCM Dk.J.P.Magufuli kwasababu ndiye Mgombea pekee mwenye dhamira...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbowe mikononi mwa polisi

JOPO la Mawakili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), na wanachama wa chama hicho, leo wamepanga kumsindikiza mwenyekiti wao Freeman Mbowe aliyeitwa Makao Makuu ya Polisi kwa ajili ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Sherehe 30 mikononi mwa Magufuli

Sherehe 30 za maadhimisho ya kitaifa zinazofanyika nchini kila mwaka huenda ‘zikachinjwa’ kutokana na kasi ya Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli ya kupunguza gharama na kubana matumizi ya Serikali yasiyo ya lazima.     

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yondani mikononi mwa TFF

BENCHI la ufundi la timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars chini ya kocha wake Mart Nooij, limesema halitambui sababu za beki wa timu hiyo Kelvin Yondani kushindwa kwenda kambini,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwema, Mwamunyange mikononi mwa Kikwete

WAKATI shinikizo la kumtaka Waziri Mkuu Mizengo Pinda kujiuzulu ama awajibishwe kutokana na kashfa ya ukatili mauaji dhidi ya wananchi wakati wa Operesheni Tokomeza Ujangili likizidi kushika kasi, vumbi jipya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kijana aokolewa mikononi mwa Wanamgambo

Kijana mwenye asili ya Uingereza aokolewa na Baba yake baada ya kujiunga na wapiganaji wa Jihadi nchini Syria

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani