Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Katiba mpya ipo mikononi mwa watanzania

HATMA ya kupatikana au kutokupatikana kwa katiba mpya ya Tanzania imebaki mikono mwetu watanzania kwa kuipigia kura ya Ndiyo au Hapana. Tayari Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Hatma ya CCM ipo mikononi mwa vijana

-Shirikisho lina Wajumbe 683

-Wanachama 31,000

-Vijana wafurahi kupiga picha pamoja na Nape

 Wanafunzi kutoka vyuo vya elimu ya juu nchini wakifurahi kupiga picha na Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye.

 Kila mwanafunzi alipenda apate ukumbushokwa kupiga picha na na Katibu wa NEC Npe Nnauye.

 Wajumbe kutoka mikoa mbali mbali wakiimba na kucheza nyimbo za hamasa.

 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza meza kuu kuimba wakati wa kufungua kwa mkutano wa Shirikisho la...

 

10 years ago

Mwananchi

Hatima ya Bunge la Katiba mikononi mwa JK

>Hatima ya Bunge Maalumu la Katiba imebaki mikononi mwa Rais Jakaya Kikwete, ambalo limemwandikia barua kiongozi huyo wa nchi kutaka ufafanuzi wa kisheria kuhusu tarehe ya mwisho ya kumaliza vikao vyake.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mbowe mikononi mwa polisi

JOPO la Mawakili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), na wanachama wa chama hicho, leo wamepanga kumsindikiza mwenyekiti wao Freeman Mbowe aliyeitwa Makao Makuu ya Polisi kwa ajili ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Yondani mikononi mwa TFF

BENCHI la ufundi la timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars chini ya kocha wake Mart Nooij, limesema halitambui sababu za beki wa timu hiyo Kelvin Yondani kushindwa kwenda kambini,...

 

9 years ago

Mwananchi

Sherehe 30 mikononi mwa Magufuli

Sherehe 30 za maadhimisho ya kitaifa zinazofanyika nchini kila mwaka huenda ‘zikachinjwa’ kutokana na kasi ya Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli ya kupunguza gharama na kubana matumizi ya Serikali yasiyo ya lazima.     

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watendaji Kinondoni mikononi mwa Takukuru

MHANDISI wa Manispaa ya Kinondoni, Baraka Mkuya, Ofisa Mipango Miji, Christopher na Ofisa Mtendaji wa Osterbay, Kata ya Msasani, aliyetajwa naye kwa jina moja la Mushi wanashikiliwa na Taasisi ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanusurika kifo mikononi mwa sungusungu

WATU watatu wanaotuhumiwa kwa wizi wamenusurika kuuawa na sungusungu katika Kijiji cha Igumo, Kata ya Chabutwa, wilayani Igunga, Tabora. Watuhumiwa hao ni Shija Shija (27), Mathew John (26) na Mathias...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kijana aokolewa mikononi mwa Wanamgambo

Kijana mwenye asili ya Uingereza aokolewa na Baba yake baada ya kujiunga na wapiganaji wa Jihadi nchini Syria

 

10 years ago

BBCSwahili

''Niliponea kifo mikononi mwa Al Shabaab''

Douglas Ondari Ochodho ni mmoja wa watu waliokumbana na Al Shabaab wakiwa safarini kondoka Mandeara. Anasimimulia yaliyomkumba

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani