Kibali cha Jaja chawatesa Yanga
KLABU ya Yanga kwa sasa inajikuta katika wakati mgumu kwani zikisalia siku 20 kabla ya kuanza kwa Ligi Kuu Tanzania bara, Hati ya Uhamisho wa kimataifa (ITC) wa nyota wake...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi22 Aug
Jaja aipaisha Yanga
Mshambuliaji wa Genilson Santos ‘Jaja’ ameanza kwa kishindo kibarua chake Yanga kwa kufunga bao pekee wakiichapa Chipukizi 1-0 kwenye Uwanja wa Gombani, Pemba.
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Jaja amwaga wino Yanga
HATIMAYE Klabu ya Yanga, jana ilimsainisha mkataba wa miaka miwili Mbrazil Geilson Santos Santana ‘Jaja’, wa kukipiga katika kikosi cha timu hiyo kuanzia msimu ujao. Jaja, anakuwa nyota wa pili...
10 years ago
TheCitizen21 Sep
Jaja will add no value, Yanga should recruit more
The attention is on Geilson Santos Santana, a.k.a. Jaja as this season’s Vodacom Premier League gets underway.
10 years ago
Mwananchi24 Nov
Nyota Yanga wamlilia Jaja
Wachezaji wa Yanga wamepokea kwa mshtuko taarifa ya kuondoka kwa mshambuliaji Genilson Santos ‘Jaja’.
10 years ago
Mwananchi19 Feb
Yanga yamkomalia Jaja kortini
Wakati kesi ya aliyekuwa mshambuliaji wa Yanga, Genilson Santos ‘Jaja’ ikipangwa kusikilizwa Machi 10, klabu hiyo imesema itaiomba mahakama kuisikiliza upande mmoja endapo mchezaji huyo atashindwa kwa mara nyingine kutokea mahakamani.
11 years ago
GPLJaja akataa jezi Yanga
Mshambuliaji mpya wa Yanga, Mbrazili, Genilson Santos Santana ‘Jaja’, Na Wilbert Molandi
MSHAMBULIAJI mpya wa Yanga, Mbrazili, Genilson Santos Santana ‘Jaja’, ameikataa jezi namba 15 na kuomba 9, atakayoitumia kwenye msimu ujao wa Ligi Kuu Bara. Awali, jezi hiyo namba 9 ilikuwa ikivaliwa na mshambuliaji raia wa Cameroon, Robert Jama Mba na Reliants Lusajo waliotimuliwa kabla ya Mrisho Ngassa,...
11 years ago
GPLJAJA ASAINI MIAKA 2 YANGA
Jaja akipokea nakala ya mkataba wake kutoka kwa Katibu Mkuu wa Young Africans, Bw. Beno Njovu leo mara baada ya kusaini kuitumikia kwa miaka miwili. Hatimaye mshamabuliaji Geilson Santos Santana "Jaja"Â raia wa Brazil leo amesaini mkataba wa miaka miwili (2014-2016) kuitumikia timu ya Young Africans kwa ajili ya michuano mbalimbali ikiwemo ya Ligi Kuu ya Vodacom pamoja na mashindano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika...
10 years ago
TheCitizen28 Aug
Yanga SC retain Okwi, Jaja axed
 Young Africans SC are set to terminate Geilson Santo Santana’s contract, barely a month after the Jangwani Street giants signed him.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania