OKWI AREJEA SIMBA SC KUCHEZA KWA MUDA KULINDA KIPAJI CHAKE WAKATI KESI YAKE NA YANGA IKIENDELEA
![](http://1.bp.blogspot.com/-ws8ZUKcMJII/U_9lIrjSr2I/AAAAAAABLxA/PuEl3wjc1g4/s72-c/IMG_2204.jpg)
Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAMSTAILI ile ile waliyotumia Yanga SC kumpata mshambuliaji Emmanuel Arnold Okwi ndiyo ambayo klabu yake ya zamani, Simba SC inaitumia kumrejesha kundini Mganda huyo.
Akizungumza na Waandishi wa Habari jioni hii mjini Dar es Salaam, Okwi amesema kwamba amesaini Simba SC mkataba huru wa muda, baada ya Yanga SC kumpa barua ya kusitisha mkataba naye jana pamoja na kumshitaki Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
Okwi amesema ameamua kuomba kuichezea Simba SC kipindi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLWAFUASI WA SHEIKH PONDA WASWALI BARABARANI WAKATI KESI IKIENDELEA MKOANI MORO
10 years ago
Mwananchi29 Aug
Okwi arejea Simba
10 years ago
Mwananchi08 Sep
Okwi huru kucheza Simba
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/SAB5jQvPgtE/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jIhV2tSCZFXlM2qQ1CfGMysNniG0Yco3igrfNcZ1JNdmUU2VmMRwGEza2*ebiyf-LSUUGb0cB-mKdCLK*db4k7tXJv4xKzoV/okwi.jpg)
Yanga yamfungulia kesi Okwi
11 years ago
Mwananchi12 Dec
KMKM kucheza na Yanga, Simba
10 years ago
Michuzi30 Dec
10 years ago
Mwananchi04 Sep
Usajili wa Okwi: Yanga 4, Simba 3