KMKM kucheza na Yanga, Simba
Kipa wa Yanga, Juma Kaseja atashuka uwanjani kwa mara ya kwanza kuikabili timu ya KMKM ya Zanzibar katika mchezo wa kirafiki utakaofanyika Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi30 Dec
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ws8ZUKcMJII/U_9lIrjSr2I/AAAAAAABLxA/PuEl3wjc1g4/s72-c/IMG_2204.jpg)
OKWI AREJEA SIMBA SC KUCHEZA KWA MUDA KULINDA KIPAJI CHAKE WAKATI KESI YAKE NA YANGA IKIENDELEA
Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAMSTAILI ile ile waliyotumia Yanga SC kumpata mshambuliaji Emmanuel Arnold Okwi ndiyo ambayo klabu yake ya zamani, Simba SC inaitumia kumrejesha kundini Mganda huyo.
Akizungumza na Waandishi wa Habari jioni hii mjini Dar es Salaam, Okwi amesema kwamba amesaini Simba SC mkataba huru wa muda, baada ya Yanga SC kumpa barua ya kusitisha mkataba naye jana pamoja na kumshitaki Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
Okwi amesema ameamua kuomba kuichezea Simba SC kipindi...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-MIvenAIG-mQ/Vafy7AtF1_I/AAAAAAABduA/20bo7ddnuiQ/s72-c/MONALISA-2.jpg)
SIMBA DAY 2015 SIMBA KUCHEZA NA AFC LEOPARDS, KIINGILIO BURE
![](http://4.bp.blogspot.com/-MIvenAIG-mQ/Vafy7AtF1_I/AAAAAAABduA/20bo7ddnuiQ/s640/MONALISA-2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cU7QaDzQTeg/Vaf0VrAplgI/AAAAAAABduM/tIA4SPj_vjo/s640/ODAMA.jpg)
10 years ago
Dewji Blog17 Jul
Simba Day 2015 Simba kucheza na Leopards, kiingilio bure!
![SIMBA DAY 2015 Simba Kucheza na AFC Leopards, Kiingilio bure.](http://simbasports.co.tz/file/2015/07/simba-sports-club.png)
Afisa Mtendaji Mkuu wa EAG Group, Imani Kajula akiwa Pamoja na Rais wa Simba Sport Club, Evans Aveva, wakati wa uzinduzi wa Simba Day.
Dhima ya Simba Sports Club ya kuendeleza mabadiliko ndani ya Simba bado inaendelea kushika kasi, Katika kipindi cha miezi mitatu sasa, mmekuwa mashuhuda wa Simba inayolenga kuleta mapinduzi makubwa katika jinsi mpira unavyoendeshwa, kujali wanachama, wapenzi wake na kukuza vyanzo vya mapato.
Akizungumza wakati wa kutangaza rasmi Simba Week 2015 Rais wa...
10 years ago
Tanzania Daima01 Sep
Simba yaitungua KMKM 5-0
TIMU ya Simba chini ya Kocha wake Mzambia, Patrick Phiri, juzi ilituma salamu kwa timu za Ligi Kuu ya Tanzania bara, baada ya kuwafumua maafande wa KMKM mabao 5-0. Katika...
11 years ago
Tanzania Daima15 Dec
Yanga yaifyatua KMKM 3-2
MABINGWA wa soka Tanzania bara, Yanga, jana waliwachapa maafande wa KMKM ya Zanzibar mabao 3-2 katika mechi ya kirafiki iliyochezwa Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam. Yanga walioanza mchezo...
10 years ago
Raia Tanzania24 Jul
Yanga, KMKM hapatoshi
MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga na wale wa Zanzibar KMKM wanakutana leo katika mchezo muhimu wa michuano ya Kombe la Kagame inayoendelea jijini Dar es Salaam katika Uwanja wa Taifa.
Mchezo huu ni muhimu, kwasababu mshindi ataungana na Gor Mahia ya Kenya, Khartoum ya Sudan ambao tayari wamejihakikishia kuingia robo fainali katika kundi A baada ya kila mmoja kujipatia ushindi katika michezo ya awali.
Yanga na KMKM wao wana pointi tatu kila mmoja baada ya kushinda michezo moja...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jan
Simba SC, KMKM zarushana kichura
TIMU ya Simba usiku wa leo itashuka dimbani kucheza mechi ya mwisho ya hatua ya makundi dhidi ya maafande wa KMKM katika mfululizo wa michuano ya Kombe la Mapinduzi. Mechi...
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
Simba nayo yajipigia KMKM
WEKUNDU wa Msimbazi, Simba, wameendeleza machungu kwa mabingwa wa soka Zanzibar, maafande wa KMKM, baada ya kuwachapa mabao 3-1 kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam. Kipigo hicho, kinakuja...