Yanga, KMKM hapatoshi
MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga na wale wa Zanzibar KMKM wanakutana leo katika mchezo muhimu wa michuano ya Kombe la Kagame inayoendelea jijini Dar es Salaam katika Uwanja wa Taifa.
Mchezo huu ni muhimu, kwasababu mshindi ataungana na Gor Mahia ya Kenya, Khartoum ya Sudan ambao tayari wamejihakikishia kuingia robo fainali katika kundi A baada ya kila mmoja kujipatia ushindi katika michezo ya awali.
Yanga na KMKM wao wana pointi tatu kila mmoja baada ya kushinda michezo moja...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima15 Dec
Yanga yaifyatua KMKM 3-2
MABINGWA wa soka Tanzania bara, Yanga, jana waliwachapa maafande wa KMKM ya Zanzibar mabao 3-2 katika mechi ya kirafiki iliyochezwa Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam. Yanga walioanza mchezo...
10 years ago
TheCitizen11 Aug
Yanga net KMKM hitman
10 years ago
MichuziYANGA YAITANDIKA KMKM YA ZANZIBAR 1-0
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
Mwananchi12 Dec
KMKM kucheza na Yanga, Simba
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
Bushiri avutiwa kiwango KMKM vs Yanga
KOCHA wa mabingwa wa soka visiwani Zanzibar, KMKM, Ally Bushiri, amesema ameridhishwa na kiwango cha timu yake katika mechi ya juzi dhidi ya Yanga Uwanja wa Taifa jijini Dar es...
10 years ago
MichuziKOMBE LA KAGAME: YANGA YAIFUNGA KMKM 2-0
10 years ago
Mwananchi24 Jul
Udugu kando, vita Yanga, KMKM
9 years ago
Habarileo07 Jan
Yanga, Mtibwa hapatoshi
MABINGWA wa soka Tanzania bara, Yanga leo watakuwa na kazi nzito watakapomenyana na Mtibwa Sugar katika mechi ya michuano ya Kombe la Mapinduzi inayoendelea kwenye Uwanja wa Amaan mjini hapa.
11 years ago
Mwananchi08 Feb
Kila la heri Yanga, KMKM, Azam, Chuoni