Kila la heri Yanga, KMKM, Azam, Chuoni
Wawakilishi wa Tanzania katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho la Soka Afrika (CAF), timu za Yanga, KMKM, Azam na Chuoni FC, leo na kesho zitaingia kwenye viwanja tofauti kucheza mechi zao za kwanza za mashindano hayo katika hatua ya awali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Kila la heri Yanga, Azam, KMKM, Chuoni kimataifa
MWISHONI mwa wiki hii, kampeni za michuano ya kimataifa barani Afrika – kwa maana ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho, zitaanza kwa hatua ya awali. Kwa upande wa...
10 years ago
Mwananchi02 Aug
Kila la heri Azam FC Kombe la Kagame leo
10 years ago
Mtanzania13 May
Yanga: Ngassa kila la heri
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
UONGOZI wa Klabu ya Yanga umemtakia kila la heri aliyekuwa mchezaji wao, Mrisho Ngassa, baada ya kupata ulaji nchini Afrika Kusini.
Ngassa jana ameingia mkataba wa miaka minne kuichezea timu Free State Stars, inayocheza Ligi Kuu nchini humo, baada ya kufuzu majaribio na kukabidhiwa jezi rasmi.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Katibu Mkuu wa Yanga, Jonas Tiboroha, alisema ni jambo la kujivunia kwa klabu kutoa mchezaji kucheza soka la kulipwa la kimataifa na...
11 years ago
Tanzania Daima07 Mar
Kila la heri Yanga Cairo, msiyumbishwe na fitnaÂ
TIMU ya Yanga kwa sasa ipo jijini Cairo, Misri tayari kwa mechi ya marudiano katika raundi ya kwanza ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly ya...
11 years ago
TheCitizen16 Feb
It’s now or never for Azam FC and KMKM
11 years ago
Tanzania Daima03 Jan
Simba, KCC vitani leo .Azam yaua 2-0, Chuoni vs URA sare
c WEKUNDU wa Msimbazi, Simba baada ya juzi kuanza vema michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa kuifunga AFC Leopards ya Kenya kwa bao 1-0, leo inajitupa tena dimba la Amaan...
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Kila la heri Kalenga
HATIMAYE tambo na vijembe vya kisiasa vilivyotawala kwa takriban mwezi mmoja katika Jimbo la Kalenga, mkoani Iringa, vitamalizika kesho wakati wananchi wa jimbo hilo watakapojitokeza kupiga kura. Uchaguzi huo mdogo...
11 years ago
Tanzania Daima03 Jan
Kila la heri 2014
HERI ya mwaka mpya msomaji wa safu hii ya Busati, ambayo leo itakuwa ni ya kwanza katika mwaka huu 2014. Awali ya yote, napenda kuwapongeza wote ambao Mwenyezi Mungu ametujalia...
11 years ago
Mwananchi08 Aug
KOMBE LA KAGAME: Azam FC, KMKM zainga vitani Kigali