Kila la heri Azam FC Kombe la Kagame leo
Wawakilishi wa Tanzania kwenye michuano ya Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki ya Kombe la Kagame, Azam FC leo wanapambana na Gor Mahia ya Kenya katika mechi ya fainali itakayofanyika Uwanja wa Taifa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JCBnZXelMYI/VcN_pl9AEQI/AAAAAAAHusE/hItt9Q8Anas/s72-c/az1.jpg)
JK APOKEA KOMBE LA KAGAME TOKA KWA AZAM FC IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-JCBnZXelMYI/VcN_pl9AEQI/AAAAAAAHusE/hItt9Q8Anas/s640/az1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MNJH--kmHp0/VcN_n58TMLI/AAAAAAAHur8/PBA6LgDBd9Y/s640/az4.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-JCBnZXelMYI/VcN_pl9AEQI/AAAAAAAHusE/hItt9Q8Anas/s72-c/az1.jpg)
RAIS KIKWETE APOKEA KOMBE LA KAGAME TOKA KWA AZAM FC IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-JCBnZXelMYI/VcN_pl9AEQI/AAAAAAAHusE/hItt9Q8Anas/s640/az1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MNJH--kmHp0/VcN_n58TMLI/AAAAAAAHur8/PBA6LgDBd9Y/s640/az4.jpg)
11 years ago
Mwananchi08 Feb
Kila la heri Yanga, KMKM, Azam, Chuoni
Wawakilishi wa Tanzania katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho la Soka Afrika (CAF), timu za Yanga, KMKM, Azam na Chuoni FC, leo na kesho zitaingia kwenye viwanja tofauti kucheza mechi zao za kwanza za mashindano hayo katika hatua ya awali.
10 years ago
Mwananchi03 Aug
UBINGWA KOMBE LA KAGAME: Kila kona ni Bocco, Tchetche
Azam imeandika historia mpya kwa kutwaa ubingwa wa Kombe la Kagame bila ya kufungwa bao lolote, baada ya kuichapa Gor Mahia ya Kenya kwa mabao 2-0 jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Kila la heri Yanga, Azam, KMKM, Chuoni kimataifa
MWISHONI mwa wiki hii, kampeni za michuano ya kimataifa barani Afrika – kwa maana ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho, zitaanza kwa hatua ya awali. Kwa upande wa...
10 years ago
Mwananchi20 Jul
KOMBE LA KAGAME: Azam yainyuka KCCA
>Azam imefuta uteja kwa KCCA ya Uganda kwa kuichapa bao 1-0 katika mchezo wa kwanza kwa Kundi C wa mashindano ya Kombe la Kagame uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
10 years ago
VijimamboAZAM FC MABINGWA WA KOMBE LA KAGAME 2015
11 years ago
Mwananchi08 Aug
KOMBE LA KAGAME: Azam FC, KMKM zainga vitani Kigali
>Mtoto hatumwi dukani, ndivyo unavyoweza kutamka, wakati Azam FC itakapowakabili wenyeji Rayon Sport katika moja kati ya mechi tatu za ufunguzi wa michuano ya Kombe la Kagame, zitakayopigwa leo kwenye Uwanja wa Amahoro, Kigali, Rwanda.
10 years ago
BBCSwahili16 Jul
Kombe la Kagame timu zote kuwasili leo
Timu zote zinazoshiriki michuano ya Kombe la Kagame zinatakiwa kufika mjini Dar es Salaam leo, na si zaidi ya hapo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania