Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kila la heri Yanga, Azam, KMKM, Chuoni kimataifa

MWISHONI mwa wiki hii, kampeni za michuano ya kimataifa barani Afrika – kwa maana ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho, zitaanza kwa hatua ya awali. Kwa upande wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kila la heri Yanga, KMKM, Azam, Chuoni

Wawakilishi wa Tanzania katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho la Soka Afrika (CAF), timu za Yanga, KMKM, Azam na Chuoni FC, leo na kesho zitaingia kwenye viwanja tofauti kucheza mechi zao za kwanza za mashindano hayo katika hatua ya awali.

 

10 years ago

Mwananchi

Kila la heri Azam FC Kombe la Kagame leo

Wawakilishi wa Tanzania kwenye michuano ya Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki ya Kombe la Kagame, Azam FC leo wanapambana na Gor Mahia ya Kenya katika mechi ya fainali itakayofanyika Uwanja wa Taifa.

 

10 years ago

Mtanzania

Yanga: Ngassa kila la heri

Pg 32, NgassaNA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
UONGOZI wa Klabu ya Yanga umemtakia kila la heri aliyekuwa mchezaji wao, Mrisho Ngassa, baada ya kupata ulaji nchini Afrika Kusini.
Ngassa jana ameingia mkataba wa miaka minne kuichezea timu Free State Stars, inayocheza Ligi Kuu nchini humo, baada ya kufuzu majaribio na kukabidhiwa jezi rasmi.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Katibu Mkuu wa Yanga, Jonas Tiboroha, alisema ni jambo la kujivunia kwa klabu kutoa mchezaji kucheza soka la kulipwa la kimataifa na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kila la heri Yanga Cairo, msiyumbishwe na fitna 

TIMU ya Yanga kwa sasa ipo jijini Cairo, Misri tayari kwa mechi ya marudiano katika  raundi ya kwanza ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Azam, Yanga zianze mikakati ya kimataifa

MSIMU wa Ligi Kuu ya Tanzania bara 2013/14, umefikia tamati Jumamosi iliyopita kwa timu ya Azam kubeba ubingwa kwa mara ya kwanza tangu walipoanzisha Juni 24, 2007. Mbali ya ubingwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ni wakati muafaka kwa Azam FC, Yanga kuanza mikakati kimataifa

KIVUMBI cha Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara kilichoanza Agosti 24, mwaka jana, kimemalizika Aprili 19, mwaka huu; kwa Azam FC kutwaa ubingwa kwa mara ya kwanza tangu ilipoundwa Juni...

 

11 years ago

TheCitizen

It’s now or never for Azam FC and KMKM

Coach Joseph Omog’s charges will be subjected to a litmus test today when Azam FC go head-to-head with Mozambique’s Ferroviario de Beira in a crucial CAF Confederation Cup match in Maputo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Simba, KCC vitani leo .Azam yaua 2-0, Chuoni vs URA sare

c WEKUNDU wa Msimbazi, Simba baada ya juzi kuanza vema michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa kuifunga AFC Leopards ya Kenya kwa bao 1-0, leo inajitupa tena dimba la Amaan...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kila la heri 2014

HERI ya mwaka mpya msomaji wa safu hii ya Busati, ambayo leo itakuwa ni ya kwanza katika mwaka huu 2014. Awali ya yote, napenda kuwapongeza wote ambao Mwenyezi Mungu ametujalia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani