Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


It’s now or never for Azam FC and KMKM

Coach Joseph Omog’s charges will be subjected to a litmus test today when Azam FC go head-to-head with Mozambique’s Ferroviario de Beira in a crucial CAF Confederation Cup match in Maputo.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kila la heri Yanga, KMKM, Azam, Chuoni

Wawakilishi wa Tanzania katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho la Soka Afrika (CAF), timu za Yanga, KMKM, Azam na Chuoni FC, leo na kesho zitaingia kwenye viwanja tofauti kucheza mechi zao za kwanza za mashindano hayo katika hatua ya awali.

 

11 years ago

Mwananchi

KOMBE LA KAGAME: Azam FC, KMKM zainga vitani Kigali

>Mtoto hatumwi dukani, ndivyo unavyoweza kutamka, wakati Azam FC itakapowakabili wenyeji Rayon Sport katika moja kati ya mechi tatu za ufunguzi wa michuano ya Kombe la Kagame, zitakayopigwa leo kwenye Uwanja wa Amahoro, Kigali, Rwanda.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kila la heri Yanga, Azam, KMKM, Chuoni kimataifa

MWISHONI mwa wiki hii, kampeni za michuano ya kimataifa barani Afrika – kwa maana ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho, zitaanza kwa hatua ya awali. Kwa upande wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Ngoma aichezesha KMKM

Mshambuliaji Donald Ngoma ametuma salamu Msimbazi baada ya kuifungia Yanga bao pekee ikishinda 1-0 dhidi KMKM kwenyeUwanja Taifa, Dar es Salaam jana.

 

9 years ago

Habarileo

Mafunzo wabanwa na KMKM

TIMU za Maafande wa Chuo cha Mafunzo na wa Kikosi Maalumu cha Kuzuia Magendo (KMKM ), zimetoka sare ya kufungana bao 1-1 katika mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar kanda ya Unguja uliochezwa Uwanja wa Amani mjini hapa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga yaifyatua KMKM 3-2

MABINGWA wa soka Tanzania bara, Yanga, jana waliwachapa maafande wa KMKM ya Zanzibar mabao 3-2 katika mechi ya kirafiki iliyochezwa Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam. Yanga walioanza mchezo...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Simba yaitungua KMKM 5-0

TIMU ya Simba chini ya Kocha wake Mzambia, Patrick Phiri, juzi ilituma salamu kwa timu za Ligi Kuu ya Tanzania bara, baada ya kuwafumua maafande wa KMKM mabao 5-0. Katika...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Yanga, KMKM hapatoshi

MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga na wale wa Zanzibar KMKM wanakutana leo katika mchezo muhimu wa michuano ya Kombe la Kagame inayoendelea jijini Dar es Salaam katika Uwanja wa Taifa.

Mchezo huu ni muhimu, kwasababu mshindi ataungana na Gor Mahia ya Kenya, Khartoum ya Sudan ambao tayari wamejihakikishia kuingia robo fainali katika kundi A baada ya kila mmoja kujipatia ushindi katika michezo ya awali.

Yanga na KMKM wao wana pointi tatu kila mmoja baada ya kushinda michezo moja...

 

10 years ago

TheCitizen

Yanga net KMKM hitman

The reigning Mainland champions, Young Africans, have completed the signing of KMKM striker Mateo Anthony Simon.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani