Ngoma aichezesha KMKM
Mshambuliaji Donald Ngoma ametuma salamu Msimbazi baada ya kuifungia Yanga bao pekee ikishinda 1-0 dhidi KMKM kwenyeUwanja Taifa, Dar es Salaam jana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Kila mwamba ngoma akivutia kwake, mwisho ngoma hupasuka
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/bJubfyXMsOc/default.jpg)
ngoma azipendazo ankal - special request from Ras Makunja wa Ngoma Afrika band, Ujerumani
Simba Wanyika - Halleluja
11 years ago
TheCitizen16 Feb
It’s now or never for Azam FC and KMKM
10 years ago
Raia Tanzania24 Jul
Yanga, KMKM hapatoshi
MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga na wale wa Zanzibar KMKM wanakutana leo katika mchezo muhimu wa michuano ya Kombe la Kagame inayoendelea jijini Dar es Salaam katika Uwanja wa Taifa.
Mchezo huu ni muhimu, kwasababu mshindi ataungana na Gor Mahia ya Kenya, Khartoum ya Sudan ambao tayari wamejihakikishia kuingia robo fainali katika kundi A baada ya kila mmoja kujipatia ushindi katika michezo ya awali.
Yanga na KMKM wao wana pointi tatu kila mmoja baada ya kushinda michezo moja...
11 years ago
Tanzania Daima15 Dec
Yanga yaifyatua KMKM 3-2
MABINGWA wa soka Tanzania bara, Yanga, jana waliwachapa maafande wa KMKM ya Zanzibar mabao 3-2 katika mechi ya kirafiki iliyochezwa Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam. Yanga walioanza mchezo...
9 years ago
Habarileo30 Dec
Mafunzo wabanwa na KMKM
TIMU za Maafande wa Chuo cha Mafunzo na wa Kikosi Maalumu cha Kuzuia Magendo (KMKM ), zimetoka sare ya kufungana bao 1-1 katika mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar kanda ya Unguja uliochezwa Uwanja wa Amani mjini hapa.
10 years ago
Tanzania Daima01 Sep
Simba yaitungua KMKM 5-0
TIMU ya Simba chini ya Kocha wake Mzambia, Patrick Phiri, juzi ilituma salamu kwa timu za Ligi Kuu ya Tanzania bara, baada ya kuwafumua maafande wa KMKM mabao 5-0. Katika...
11 years ago
TheCitizen06 Feb
KMKM off to Ethiopia for Dedebit encounter
11 years ago
Tanzania Daima05 Jan
Simba SC, KMKM zarushana kichura
TIMU ya Simba usiku wa leo itashuka dimbani kucheza mechi ya mwisho ya hatua ya makundi dhidi ya maafande wa KMKM katika mfululizo wa michuano ya Kombe la Mapinduzi. Mechi...