Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ngoma aichezesha KMKM

Mshambuliaji Donald Ngoma ametuma salamu Msimbazi baada ya kuifungia Yanga bao pekee ikishinda 1-0 dhidi KMKM kwenyeUwanja Taifa, Dar es Salaam jana.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kila mwamba ngoma akivutia kwake, mwisho ngoma hupasuka

Vijana hawakati tamaa. Baada ya kuandika maneno yote yale wiki jana, huyu kijana ameona sasa njia ya kufuatilia ni kuandika kila wakati.

 

11 years ago

TheCitizen

It’s now or never for Azam FC and KMKM

Coach Joseph Omog’s charges will be subjected to a litmus test today when Azam FC go head-to-head with Mozambique’s Ferroviario de Beira in a crucial CAF Confederation Cup match in Maputo.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Yanga, KMKM hapatoshi

MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga na wale wa Zanzibar KMKM wanakutana leo katika mchezo muhimu wa michuano ya Kombe la Kagame inayoendelea jijini Dar es Salaam katika Uwanja wa Taifa.

Mchezo huu ni muhimu, kwasababu mshindi ataungana na Gor Mahia ya Kenya, Khartoum ya Sudan ambao tayari wamejihakikishia kuingia robo fainali katika kundi A baada ya kila mmoja kujipatia ushindi katika michezo ya awali.

Yanga na KMKM wao wana pointi tatu kila mmoja baada ya kushinda michezo moja...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga yaifyatua KMKM 3-2

MABINGWA wa soka Tanzania bara, Yanga, jana waliwachapa maafande wa KMKM ya Zanzibar mabao 3-2 katika mechi ya kirafiki iliyochezwa Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam. Yanga walioanza mchezo...

 

9 years ago

Habarileo

Mafunzo wabanwa na KMKM

TIMU za Maafande wa Chuo cha Mafunzo na wa Kikosi Maalumu cha Kuzuia Magendo (KMKM ), zimetoka sare ya kufungana bao 1-1 katika mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar kanda ya Unguja uliochezwa Uwanja wa Amani mjini hapa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Simba yaitungua KMKM 5-0

TIMU ya Simba chini ya Kocha wake Mzambia, Patrick Phiri, juzi ilituma salamu kwa timu za Ligi Kuu ya Tanzania bara, baada ya kuwafumua maafande wa KMKM mabao 5-0. Katika...

 

11 years ago

TheCitizen

KMKM off to Ethiopia for Dedebit encounter

Zanzibar representatives in the African Champions League, KMKM, head off to Adis Ababa, Ethiopia today ahead of the first leg match against Dedebit FC on Sunday.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Simba SC, KMKM zarushana kichura

TIMU ya Simba usiku wa leo itashuka dimbani kucheza mechi ya mwisho ya hatua ya makundi dhidi ya maafande wa KMKM katika mfululizo wa michuano ya Kombe la Mapinduzi. Mechi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani