Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Azam, Yanga zianze mikakati ya kimataifa

MSIMU wa Ligi Kuu ya Tanzania bara 2013/14, umefikia tamati Jumamosi iliyopita kwa timu ya Azam kubeba ubingwa kwa mara ya kwanza tangu walipoanzisha Juni 24, 2007. Mbali ya ubingwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Ni wakati muafaka kwa Azam FC, Yanga kuanza mikakati kimataifa

KIVUMBI cha Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara kilichoanza Agosti 24, mwaka jana, kimemalizika Aprili 19, mwaka huu; kwa Azam FC kutwaa ubingwa kwa mara ya kwanza tangu ilipoundwa Juni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kila la heri Yanga, Azam, KMKM, Chuoni kimataifa

MWISHONI mwa wiki hii, kampeni za michuano ya kimataifa barani Afrika – kwa maana ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho, zitaanza kwa hatua ya awali. Kwa upande wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Azam FC, hatujasikia mikakati ya ACL

Naingia tena kwenye ulingo huu wa hoja kuzungumzia mambo yetu yanayotuhusu ya michezo.

 

9 years ago

Mwananchi

Azam yaandaa mikakati ya kuiua Simba

Klabu ya Azam imeanza mikakati ya kuifunga Simba kwenye mchezo wa Ligi Kuu mwezi ujao.

 

10 years ago

Michuzi

Katibu mkuu mpya wa Yanga atangaza mikakati yake ya kuhakikisha Klabu inajiendesha kiuchumi

Katibu mpya wa Yanga Dk. Jonas Tiboroha, ametangaza mikakati yake ya kuhakikisha Yanga inajiendesha kiuchumi ikiwa ni pamoja na kupitia upya mikataba yote ya wadhamini.
Akizungumza Makao Makuu ya Klabu hiyo leo, Tiboraha alisema kuwa Yanga ni klabu kubwa hiyo ni wakati wa kujiendesha yenyewe badala ya kutegemea mtu binafsi na kwamba haiwezi kuwa na mikataba ambayo haikithi maslahi ya klabu hiyo.
"Yanga ni bidhaa inayojiunza yenyewe uwezi kuingia mkataba wake sawa na Stand United, haiwezekani...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wachezaji wa kimataifa wawasili Azam

Wachezaji watatu wa Azam FC kukiimarisha kikosi chake, kwa ligi kuu Tanzania Bara na Kombe la Shirikisho barani Afrika.

 

10 years ago

BBCSwahili

Azam yajifua kimataifa na kitaifa

Azam FC wamesema watatumia michuano ijayo ya Kagame Cup kujiweka sawa kwa ligi kuu Tanzania Bara na Michuano ya kimataifa.

 

11 years ago

Mwananchi

Caf yabariki Uwanja wa Azam Complex kimataifa

Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF), limeupa hadhi ya kuchezea michuano mbalimbali ya kitaifa uwanja wa Azam Complex, Chamazi unaomilikiwa na klabu ya Azam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani