Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Azam yaandaa mikakati ya kuiua Simba

Klabu ya Azam imeanza mikakati ya kuifunga Simba kwenye mchezo wa Ligi Kuu mwezi ujao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

Kopunovic kutumia mbinu za Barcelona kuiua Azam FC

Kocha Mkuu wa Simba, Mserbia, Goran Kopunovic. Na Wilbert Molandi
KOCHA Mkuu wa Simba, Mserbia, Goran Kopunovic, hatalinda goli lake wakati atakapowavaa wapinzani wake, Azam FC na badala yake atatumia mfumo wa kushambulia mwanzo mwisho.Aina hiyo ya uchezaji, inatumiwa sana na klabu ya Barcelona kwa kushambulia na kupiga pasi nyingi kati ya dimba, inayojulikana kwa jina la ‘Tik Taka’. Akizungumza na Championi...

 

9 years ago

Mtanzania

Simba yajipanga kuiua Mbeya City

simba-sports-club-212-768x403NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

TIMU ya Simba imeanza kuipigia hesabu Mbeya City wanayotarajia kucheza nayo Oktoba 17 mwaka huu kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya, wekundu hao wamedai kuwa ili kuzoa pointi zote tatu wamepanga kufika mapema mkoani humo.

Wachezaji wa Simba ambao hawamo kwenye timu za Taifa, wanatarajia kuanza tena mazoezi leo baada ya mapumziko ya siku mbili, tayari kabisa kujiandaa na mchezo huo muhimu wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

Msimu uliopita Simba iliambulia patupu mbele ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Pluijm ataka bao la mapema kuiua Simba

Kocha wa Yanga, Mdachi Hans Pluijm ametaja mbinu mkakati atakazozitumia Jumapili kuwasambaratisha watani wao wa jadi, Simba.

 

10 years ago

GPL

Jaja, Coutinho wapewa siri kuiua Simba

Mshambuliaji wa Yanga, Geilson Santana 'Jaja'. Na Wilbert Molandi
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbrazili, Marcio Maximo, ameonekana kupania timu yake iwafunge wapinzani wake Simba mabao mengi, baada ya kuonekana akiiongezea mbinu safu yake ya ushambuliaji kwenye mazoezi yake. Hiyo ni baada ya kuiona safu ya ulinzi ya watani wao wa jadi, Simba haipo imara kwenye mechi zake tatu mfululizo za Ligi Kuu Bara ilizozicheza.Safu… ...

 

9 years ago

Habarileo

Boban ajifua Mbeya City kuiua Simba kesho

KIUNGO mahiri wa zamani wa Simba na timu ya taifa ya Tanzania `Taifa Stars’, Haruna Moshi `Boban’ amejiunga rasmi na klabu ya Mbeya City na jana alianza mazoezi kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya Bara dhidi ya Simba, kesho.

 

11 years ago

Mwananchi

Azam FC, hatujasikia mikakati ya ACL

Naingia tena kwenye ulingo huu wa hoja kuzungumzia mambo yetu yanayotuhusu ya michezo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Azam, Yanga zianze mikakati ya kimataifa

MSIMU wa Ligi Kuu ya Tanzania bara 2013/14, umefikia tamati Jumamosi iliyopita kwa timu ya Azam kubeba ubingwa kwa mara ya kwanza tangu walipoanzisha Juni 24, 2007. Mbali ya ubingwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Simba yaandaa dozi kwa African Sports

Kocha wa Simba, Dylan Kerr amesema licha ya wengi kuibeza timu hiyo na kuona haitafanya vizuri msimu huu, lakini anaamini itawanyamazisha wote kwa kutwaa ubingwa msimu ujao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ni wakati muafaka kwa Azam FC, Yanga kuanza mikakati kimataifa

KIVUMBI cha Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara kilichoanza Agosti 24, mwaka jana, kimemalizika Aprili 19, mwaka huu; kwa Azam FC kutwaa ubingwa kwa mara ya kwanza tangu ilipoundwa Juni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani