Kopunovic kutumia mbinu za Barcelona kuiua Azam FC
![](http://api.ning.com:80/files/GvFfwHMN-v6wAH5uTH8mSPlIO7taeOZcXSH59OodjKi5yKkn8xpqkt6UiiVSlPO2NpdirEGXGTysJT0ce*jbOkNW*p8jxQrg/Simba.jpg?width=650)
Kocha Mkuu wa Simba, Mserbia, Goran Kopunovic. Na Wilbert Molandi KOCHA Mkuu wa Simba, Mserbia, Goran Kopunovic, hatalinda goli lake wakati atakapowavaa wapinzani wake, Azam FC na badala yake atatumia mfumo wa kushambulia mwanzo mwisho.Aina hiyo ya uchezaji, inatumiwa sana na klabu ya Barcelona kwa kushambulia na kupiga pasi nyingi kati ya dimba, inayojulikana kwa jina la ‘Tik Taka’. Akizungumza na Championi...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi07 Oct
Mbinu sahihi kuiua Malawi
9 years ago
Mwananchi26 Nov
Azam yaandaa mikakati ya kuiua Simba
10 years ago
Mwananchi13 Feb
KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA: Yanga kutumia mbinu za Al-Ahly
9 years ago
Mwananchi27 Aug
Kocha Simba aiga mbinu za Azam
5 years ago
MichuziKITUO CHA UTAFITI WA KILIMO-SAT WATOA MBINU YA KUKABILIANA NA VIWAVIJESHI KWA KUTUMIA MIMEA
Meneja wa Kituo cha Utafiti wa kilimo ambacho kinamilikiwa na Shirika la Kilimo Endelevu Tanzania(SAT) Frank Marwa akielezea hatua nne za ukuaji wa viwavijeshi ambaye ni moja ya wadudu waharibifu wa mazao shambani.
Frank Marwa ambaye ni Meneja wa Kituo cha utafiti wa kilimo akiwa ameshika jani la mpapai ambalo nalo hutumika kuua wadudu wa haribifu wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/i41PO2l4KKWLA2-wSIWN22AUyMzvtSrvhRfylWRtCsX09-wTkvbLcnSgQjOCCimXxoztckdGjmdnsGb7gjSILOzPW4I69kJ*/1.jpg)
Kopunovic amtaja aliyeimaliza Simba
10 years ago
Mwananchi21 Jan
Kopunovic azuia kambi Simba SC
9 years ago
Mtanzania05 Jan
Wanachama Simba wamtaka Kopunovic
NA BARAKA JAMALI, MTWARA
WANACHAMA wa klabu ya Simba Mtwara, wameuomba uongozi wa timu hiyo umrudishe kocha wao wa zamani, Goran Kopunovic, ili kuweza kuirejesha heshima ya timu hiyo ya kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Wakizungumza na MTANZANIA kwa nyakati tofauti jana, wanachama hao walisema kuwa uongozi wa timu hiyo umekuwa ukibadili makocha kila mwaka jambo ambalo limewasababishia kufanya vibaya katika mashindano mbalimbali wanayoshiriki, pia kumfukuza kocha mzuri...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jbaar29oQX44g1qttVa4Q5XF4yVil8jpkTeGAf3Rl2d8bqoXze8ws3WgtwSOkm7pgHyaYO8S3qBJirZLVpqnxstnrsbIJv3v/k.jpg)
Kopunovic: Tambwe ni hatari aisee