Kocha Simba aiga mbinu za Azam
Mafanikio ambayo klabu ya Azam imeyapata kwenye mashindano ya Kombe la Kagame mwezi uliopita kwa kucheza mechi sita bila kuruhusu bao, yameishawishi Simba kuiga mfumo huo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo15 Dec
Sare na Simba yamshtua Kocha Azam
KOCHA wa Azam FC, Stewart Hall amesema atahakikisha anafanyia kazi safu ya ulinzi ili makosa yaliyojitokeza katika mechi dhidi ya Simba yasijirudie mchezo ujao. Vinara hao wa Ligi Kuu walilazimishwa sare ya mabao 2-2 dhidi ya Simba mwishoni mwa wiki kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, ambapo matokeo hayo yaliendelea kuwabakiza kileleni wakiwa na pointi 26.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*WXsh-Hs3C8k9kddxygIwBBISjSaJowi2e7b9IWwyC8joxBKGK3haUNKc8PjhsYWiNgyXNyQ4Tu0Pkxqzq3MObZ/kocha.jpg?width=650)
Kocha Simba aipigia dua mechi ya Yanga na Azam FC
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8XZ9tNduvb0ws6VsqppOqcnPXpWjrCPPJypu2xdxHoAb0yxL4uIpOi38PSO3J4iIdmSujS6p9maCxnM7pIkIMkAl7qhasSyZ/KOCHAYANGA.gif?width=650)
Kocha raia wa Uingereza aipa Yanga mbinu za kuing’oa Al Ahly
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GvFfwHMN-v6wAH5uTH8mSPlIO7taeOZcXSH59OodjKi5yKkn8xpqkt6UiiVSlPO2NpdirEGXGTysJT0ce*jbOkNW*p8jxQrg/Simba.jpg?width=650)
Kopunovic kutumia mbinu za Barcelona kuiua Azam FC
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Simba yaanza na mbinu mpya
10 years ago
Mwananchi02 Apr
Simba yaibua mbinu ya kuaga umaskini
10 years ago
Mwananchi14 Nov
Yanga, Simba waja na mbinu tofauti
9 years ago
Habarileo20 Aug
Azam yaachana na kocha
ZIKIWA zimesalia takriban siku mbili kabla ya mechi ya ngao ya jamii dhidi ya Yanga, Azam imeachana na kocha msaidizi George Nsimbe baada ya kufikia makubaliano. Akizungumza jijini jana, Ofisa habari wa Azam FC, Jafar Iddi alithibitisha kuondoka kwa Nsimbe na kusema nafasi yake imechukuliwa na Romano aliyekuwa timu B.
10 years ago
Mwananchi31 Jan
Kocha aipa nafasi Azam