Yanga, Simba waja na mbinu tofauti
Wakati Yanga wakiwapa mapumziko ya siku 10 nyota wake kabla ya kurejea kuanza maandalizi rasmi ya mechi ya ‘Nani Mtani Jembe 2’, wapinzani wao, Simba, wamewapa mapumziko ya siku 14 huku wakitamba kikosi chao kuwa ‘fiti’ tayari kwa mchezo huo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima06 Feb
Wauza ‘unga’ waja na mbinu mpya
WAKATI serikali inafanya juhudi kupambana na wasafirishaji na waingizaji wa dawa za kulevya, wafanyabiashara hao wamebuni mbinu mpya ya kuweka ‘unga’ huo kwenye vitabu na viatu na kisha kutuma kama...
5 years ago
BBCSwahili11 May
Virusi vya corona: Wakenya wabuni mbinu tofauti ya kufanya ibada nyumbani
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.
Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.
Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.
Unahisi nani ataibuka kidedea...
10 years ago
Vijimambo09 Mar
11 years ago
Tanzania Daima17 Feb
Tofauti ya Yanga na Al Ahly
MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania bara, Yanga, wametinga raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Wamefika hatua hiyo baada ya kuwatupa nje Komorozine ya Domoni, Comoro kwa kuwanyuka jumla...
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Simba yaanza na mbinu mpya
10 years ago
Mwananchi02 Apr
Simba yaibua mbinu ya kuaga umaskini
9 years ago
Mwananchi27 Aug
Kocha Simba aiga mbinu za Azam
10 years ago
Mwananchi11 Nov
‘Mbinu za Yanga zimenipa ushindi’