Wauza ‘unga’ waja na mbinu mpya
WAKATI serikali inafanya juhudi kupambana na wasafirishaji na waingizaji wa dawa za kulevya, wafanyabiashara hao wamebuni mbinu mpya ya kuweka ‘unga’ huo kwenye vitabu na viatu na kisha kutuma kama...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi06 Feb
Wauza ‘unga’ sasa wabuni mbinu mpya
10 years ago
Mwananchi27 Jun
JK: Wauza unga hawatanyongwa
9 years ago
Global Publishers29 Dec
Vigogo wauza unga wakamatwa
Na Makongoro Oging’, UWAZI
DAR ES SALAAM: WALE vigogo wanaosadikiwa kujihusisha na biashara haramu ya madawa ya kulevya ‘unga’ nchini wameanza ‘kutumbuliwa majipu’ kufuatia Jeshi la Polisi Tanzania Kitengo cha Kudhibiti na Kupambana na Madawa ya Kulevya kwa kushirikiana na vyombo vingine vya dola kuanza kuwakamata, Uwazi linakupa zaidi.
Kwa mujibu wa vyanzo vyetu ndani ya jeshi hilo, vigogo wengi wanaojihusisha na biashara hiyo walikamatwa wiki iliyopita katika maeneo ya Kinondoni, Ilala na...
11 years ago
Mwananchi09 Feb
Wakanusha wauza ‘unga’ kunyongwa
11 years ago
Tanzania Daima31 Dec
Serikali yalaumiwa kuwaficha wauza ‘unga’
SERIKALI imelaumiwa kwa kushindwa kuyaweka hadharani majina ya vigogo wanaojihusisha na dawa ya kulevya. Lawama hizo zilitolewa mjini hapa jana na Padri Baptisti Mapunda wa Shirika la White Fathers la...
11 years ago
Tanzania Daima11 May
Chikawe: Wauza ‘unga’ vigogo wa serikali
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe amesema wafanyabiashara wakubwa wa dawa za kulevya ni vigogo wa serikali. Akizungumza na viongozi wa Baraza la Wafanyakazi wa wizara hiyo,...
10 years ago
Mwananchi18 Jan
Ujumbe wa simanzi wa wauza ‘unga’ China
10 years ago
Habarileo25 Mar
Wabunge wataka wauza ‘unga’ wanyongwe
SERIKALI imewasilisha bungeni Muswada wa Sheria ya Udhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya wa mwaka 2014, unaopendekeza wanaobainika kufanya biashara hiyo, watozwe faini ya Sh bilioni moja au kifungo cha maisha.
10 years ago
Mwananchi31 Dec
Siku za ‘wauza unga’ China zahesabika