Wabunge wataka wauza ‘unga’ wanyongwe
SERIKALI imewasilisha bungeni Muswada wa Sheria ya Udhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya wa mwaka 2014, unaopendekeza wanaobainika kufanya biashara hiyo, watozwe faini ya Sh bilioni moja au kifungo cha maisha.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima11 Sep
Wataka wahujumu uchumi wanyongwe
ILI kudhibiti vitendo vya rushwa, ufisadi na uhujumu uchumi kwa viongozi wa umma wasio waadilifu, baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wamependekeza Katiba mpya, itamke adhabu ya kifo...
10 years ago
Habarileo11 Sep
Wabunge: Wala rushwa wanyongwe
BAADHI ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wamesema wala rushwa pamoja na wahujumu uchumi adhabu yao iwe ni kunyongwa. Wametaka Katiba mpya inayoenda kuandikwa itamke hivyo ili kufanya viongozi wa kisiasa kuogopa kama ilivyo kwenye nchi nyingine.
10 years ago
Mwananchi27 Jun
JK: Wauza unga hawatanyongwa
11 years ago
Mwananchi09 Feb
Wakanusha wauza ‘unga’ kunyongwa
9 years ago
Global Publishers29 Dec
Vigogo wauza unga wakamatwa
Na Makongoro Oging’, UWAZI
DAR ES SALAAM: WALE vigogo wanaosadikiwa kujihusisha na biashara haramu ya madawa ya kulevya ‘unga’ nchini wameanza ‘kutumbuliwa majipu’ kufuatia Jeshi la Polisi Tanzania Kitengo cha Kudhibiti na Kupambana na Madawa ya Kulevya kwa kushirikiana na vyombo vingine vya dola kuanza kuwakamata, Uwazi linakupa zaidi.
Kwa mujibu wa vyanzo vyetu ndani ya jeshi hilo, vigogo wengi wanaojihusisha na biashara hiyo walikamatwa wiki iliyopita katika maeneo ya Kinondoni, Ilala na...
10 years ago
Mwananchi31 Dec
Siku za ‘wauza unga’ China zahesabika
11 years ago
Tanzania Daima31 Dec
Serikali yalaumiwa kuwaficha wauza ‘unga’
SERIKALI imelaumiwa kwa kushindwa kuyaweka hadharani majina ya vigogo wanaojihusisha na dawa ya kulevya. Lawama hizo zilitolewa mjini hapa jana na Padri Baptisti Mapunda wa Shirika la White Fathers la...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akSnbqKjB60FKKet*3NAayXJ6IPzgCI82tFjYpM5O8emY0vVpU07EV5kfRfNvyxwMMfVbGOrpmBmjnyG2C8gQVUy/majina.jpg)
MAJINA 403 YA WAUZA UNGA YAANIKWA
11 years ago
Tanzania Daima11 May
Chikawe: Wauza ‘unga’ vigogo wa serikali
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe amesema wafanyabiashara wakubwa wa dawa za kulevya ni vigogo wa serikali. Akizungumza na viongozi wa Baraza la Wafanyakazi wa wizara hiyo,...