Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wabunge wataka wauza ‘unga’ wanyongwe

SERIKALI imewasilisha bungeni Muswada wa Sheria ya Udhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya wa mwaka 2014, unaopendekeza wanaobainika kufanya biashara hiyo, watozwe faini ya Sh bilioni moja au kifungo cha maisha.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Wataka wahujumu uchumi wanyongwe

ILI kudhibiti vitendo vya rushwa, ufisadi na uhujumu uchumi kwa viongozi wa umma wasio waadilifu, baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wamependekeza Katiba mpya, itamke adhabu ya kifo...

 

10 years ago

Habarileo

Wabunge: Wala rushwa wanyongwe

BAADHI ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wamesema wala rushwa pamoja na wahujumu uchumi adhabu yao iwe ni kunyongwa. Wametaka Katiba mpya inayoenda kuandikwa itamke hivyo ili kufanya viongozi wa kisiasa kuogopa kama ilivyo kwenye nchi nyingine.

 

10 years ago

Mwananchi

JK: Wauza unga hawatanyongwa

Bagamoyo. Rais Jakaya Kikwete amesema amesaini sheria mpya ya dawa za kulevya ya mwaka 2015, itakayoanza kutumika kabla ya Oktoba na wauzaji wake hawatanyongwa bali watafungwa maisha.

 

11 years ago

Mwananchi

Wakanusha wauza ‘unga’ kunyongwa

Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, imekanusha madai kuwa Watanzania 160 wamenyongwa nchini China baada ya kutiwa hatiani kwa makosa ya kusafirisha dawa za kulevya.

 

9 years ago

Global Publishers

Vigogo wauza unga wakamatwa

athumanNa Makongoro Oging’, UWAZI
DAR ES SALAAM: WALE vigogo wanaosadikiwa kujihusisha na biashara haramu ya madawa ya kulevya ‘unga’ nchini wameanza ‘kutumbuliwa majipu’ kufuatia Jeshi la Polisi Tanzania Kitengo cha Kudhibiti na Kupambana na Madawa ya Kulevya kwa kushirikiana na vyombo vingine vya dola kuanza kuwakamata, Uwazi linakupa zaidi.

Kwa mujibu wa vyanzo vyetu ndani ya jeshi hilo, vigogo wengi wanaojihusisha na biashara hiyo walikamatwa wiki iliyopita katika maeneo ya Kinondoni, Ilala na...

 

10 years ago

Mwananchi

Siku za ‘wauza unga’ China zahesabika

Siku za wasafirishaji na wauzaji wa dawa za kulevya kwenda China sasa zinahesabika baada ya Jeshi la Polisi na kitengo chake cha Dawa za Kulevya kubaini majina ya vigogo wanaofanya shughuli hiyo na kusema imeanza kuwashughulikia kimyakimya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yalaumiwa kuwaficha wauza ‘unga’

SERIKALI imelaumiwa kwa kushindwa kuyaweka hadharani majina ya vigogo wanaojihusisha na dawa ya kulevya. Lawama hizo zilitolewa mjini hapa jana na Padri Baptisti Mapunda wa Shirika la White Fathers la...

 

11 years ago

GPL

MAJINA 403 YA WAUZA UNGA YAANIKWA

Stori: Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa HATIMAYE gazeti namba moja kwa habari za uchunguzi Tanzania, Uwazi limeyanasa majina 403 ya Watanzania waliokamatwa, kufungwa au kushikiliwa katika magereza mbalimbali duniani kwa makosa ya madawa ya kulevya ‘unga’. Baadhi ya watuhumuiwa wa kiume waliokamatwa kwa makosa ya kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya ‘unga’. Hivi karibuni, serikali...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chikawe: Wauza ‘unga’ vigogo wa serikali

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe amesema wafanyabiashara wakubwa wa dawa za kulevya ni vigogo wa serikali. Akizungumza na viongozi wa Baraza la Wafanyakazi wa wizara hiyo,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani