Wataka wahujumu uchumi wanyongwe
ILI kudhibiti vitendo vya rushwa, ufisadi na uhujumu uchumi kwa viongozi wa umma wasio waadilifu, baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wamependekeza Katiba mpya, itamke adhabu ya kifo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo25 Mar
Wabunge wataka wauza ‘unga’ wanyongwe
SERIKALI imewasilisha bungeni Muswada wa Sheria ya Udhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya wa mwaka 2014, unaopendekeza wanaobainika kufanya biashara hiyo, watozwe faini ya Sh bilioni moja au kifungo cha maisha.
11 years ago
Mwananchi08 Aug
MAONI: Wanaoingiza vilainishi feki ni wahujumu uchumi
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WEogkUje_0g/Vour8iKnQpI/AAAAAAAIQik/BYA3xkw3Ws8/s72-c/IMG_0107.jpg)
MAHAKAMA YA MAFISADI NA WAHUJUMU UCHUMI INAFANYIWA KAZI- DK.MWAKYEMBE
Dk.Mwakyembe ameyasema hayo leo wakati alipotembelea Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP),amesema kuwa suala mahakama linafanyiwa kazi kwa karibu na ofisi yake kutokana na ahadi ya Rais Dk.John Pombe Magufuli wakati wa kampeni.
Mwakyembe amesema kuwa watu...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WEogkUje_0g/Vour8iKnQpI/AAAAAAAIQik/BYA3xkw3Ws8/s72-c/IMG_0107.jpg)
SUALA LA MAHAKAMA YA MAFISADI NA WAHUJUMU UCHUMI LINAFANYIWA KAZI - DKT. MWAKYEMBE
5 years ago
BBCSwahili20 Apr
Virusi vya Corona: Waandamanaji wataka marufuku ya kutokutoka nje iondoshwe Marekani kufungua uchumi
10 years ago
Vijimambo03 Jan
JK aidhinisha wauaji albino wanyongwe
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/JK-3Jan2015.jpg)
Chama cha Albino Tanzania (Tas) kimemuomba Rais Jakaya Kikwete, aidhinishe utekelezwaji wa hukumu ya kuwanyonga hadi kufa, wafungwa waliopatikana na hatia ya kuwaua albino.
Akizungumza kabla ya kuhitimisha Mkutano Mkuu wa Kamati Kuu ya TAS, wiki hii mjini Dodoma, Mwenyekiti wa Tas – Taifa, Ernest Kimaya, alisema ombi hilo ni moja ya maazimio waliyoyafikia na yasipotekelezwa ndani ya miezi...
10 years ago
Habarileo11 Sep
Wabunge: Wala rushwa wanyongwe
BAADHI ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wamesema wala rushwa pamoja na wahujumu uchumi adhabu yao iwe ni kunyongwa. Wametaka Katiba mpya inayoenda kuandikwa itamke hivyo ili kufanya viongozi wa kisiasa kuogopa kama ilivyo kwenye nchi nyingine.
10 years ago
GPLTegete: Walioiba fedha za Escrow wanyongwe
10 years ago
Michuzi26 Sep
SHUHUDA ALBINO ATAKA WAUAJI WANYONGWE HADHARANI
![DSC_0519](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSC_05191.jpg)
======= ======= =======Mwanamke albino Mariam Stanford aliyepoteza mikono yake yote miwili wakati iliponyofolewa na majahili asiowajua Oktona7,...