SUALA LA MAHAKAMA YA MAFISADI NA WAHUJUMU UCHUMI LINAFANYIWA KAZI - DKT. MWAKYEMBE

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dkt.Harrison Mwakyembe amesema kuwa suala la kuanzisha mahakama ya mafisadi na wahujumu uchumi linafanyiwa kazi na kwamba muda sio mrefu ujao taarifa juu ya hatua zilizofikiwa itatangazwa. Dkt.Mwakyembe ameyasema hayo leo wakati alipotembelea Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP), na kutanabahishwa kwamba suala la mahakama hiyo linafanyiwa kazi kwa karibu na ofisi yake kutokana na ahadi ya Rais Dk.John Pombe Magufuli wakati...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi
MAHAKAMA YA MAFISADI NA WAHUJUMU UCHUMI INAFANYIWA KAZI- DK.MWAKYEMBE
Dk.Mwakyembe ameyasema hayo leo wakati alipotembelea Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP),amesema kuwa suala mahakama linafanyiwa kazi kwa karibu na ofisi yake kutokana na ahadi ya Rais Dk.John Pombe Magufuli wakati wa kampeni.
Mwakyembe amesema kuwa watu...
11 years ago
Tanzania Daima11 Sep
Wataka wahujumu uchumi wanyongwe
ILI kudhibiti vitendo vya rushwa, ufisadi na uhujumu uchumi kwa viongozi wa umma wasio waadilifu, baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wamependekeza Katiba mpya, itamke adhabu ya kifo...
11 years ago
Mwananchi08 Aug
MAONI: Wanaoingiza vilainishi feki ni wahujumu uchumi
9 years ago
Michuzi
Dkt. Mpango awaasa Watumishi Wizara ya Fedha na Mipango kufanya kazi kwa bidii ili kukuza uchumi wa nchi.
9 years ago
Mwananchi26 Nov
Mchakato mahakama ya mafisadi waanza
9 years ago
Global Publishers18 Dec
Kwa uozo huu TRA na TPA, mahakama ya mafisadi ije fasta!
ZIARA za kushtukiza za Rais John Pombe Magufuli na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa katika taasisi mbili tu za TRA na TPA zimewaonesha Watanzania jinsi ambavyo baadhi ya watumishi wa serikali wanavyotumia ofisi za umma kujiingizia vipato vya mabilioni ya shilingi kwa njia haramu.
Kama mtu mmoja ameweza kukutwa akimiliki nyumba zaidi ya sabini ni wazi kuwa wapo maelfu ya watumishi hao wenye majumba kibao, miradi, kampuni na shughuli nyingine nyingi za kiuchumi zinazotokana na mapato ambayo...
11 years ago
Mwananchi14 Sep
Suala la Mahakama ya Kadhi katika Mchakato wa Katiba Mpya
10 years ago
Mtanzania18 Feb
Mahakama yamsubiri mteule wa Mwakyembe
Na Masyaga Matinyi, Dar es Salaam
KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA, Mhandisi Madeni Kipande, aliyesimamishwa kazi ili kupisha uchunguzi dhidi ya tuhuma mbalimbali zilizoainishwa na Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta, imebainika kuwa anakabiliwa na mashtaka mengine ya ubadhirifu na rushwa.
Kwa mujibu wa vyanzo vya habari vya uhakika kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Kipande alipaswa kupandishwa kizimbani tangu 2010, lakini haijajulikana sababu...
10 years ago
Michuzi
MAGUFULI AHIDI KUANZISHA MAHAKAMA YA MAFISADI NA WALA RUSHWA IWAPO ATACHAGULIWA KUWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

Dkt Magufuli amesema kuwa serikali atakayoingoza atakapopata ridhaa ya kuingia Ikulu,itazifanya huduma za Afya kuwa bora na kuwabana wahudumu wa afya wenye tabia ya kuchukua dawa na kuziuza kwa watu binafsi.
Magufuli ambaye...