Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SUALA LA MAHAKAMA YA MAFISADI NA WAHUJUMU UCHUMI LINAFANYIWA KAZI - DKT. MWAKYEMBE

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dkt.Harrison Mwakyembe amesema kuwa suala la kuanzisha mahakama ya mafisadi na wahujumu uchumi linafanyiwa kazi na kwamba muda sio mrefu ujao taarifa juu ya hatua zilizofikiwa itatangazwa. Dkt.Mwakyembe ameyasema hayo leo wakati alipotembelea Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP), na kutanabahishwa kwamba suala la mahakama hiyo linafanyiwa kazi kwa karibu na ofisi yake kutokana na ahadi ya Rais Dk.John Pombe Magufuli wakati...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MAHAKAMA YA MAFISADI NA WAHUJUMU UCHUMI INAFANYIWA KAZI- DK.MWAKYEMBE

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk.Harrison Mwakyembe amesema kuwa suala la kuanzisha mahakama ya mafisadi na wahujumu uchumi wanafanyia kazi na muda sio mrefu watatoa taarifa juu ya hatua walizofikia. 
Dk.Mwakyembe ameyasema hayo leo wakati alipotembelea Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP),amesema kuwa suala mahakama linafanyiwa kazi kwa karibu na ofisi yake kutokana na ahadi ya Rais Dk.John Pombe Magufuli wakati wa kampeni. 
Mwakyembe amesema kuwa watu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wataka wahujumu uchumi wanyongwe

ILI kudhibiti vitendo vya rushwa, ufisadi na uhujumu uchumi kwa viongozi wa umma wasio waadilifu, baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wamependekeza Katiba mpya, itamke adhabu ya kifo...

 

11 years ago

Mwananchi

MAONI: Wanaoingiza vilainishi feki ni wahujumu uchumi

>Moja ya matatizo makubwa yanayochangia kudorora kwa uchumi wa nchi yetu ni ukosefu wa uwajibikaji serikalini na katika mashirika ya umma. Miradi mingi imekwama kwa kukosa usimamizi wa karibu kwa upande wa watendaji waliopewa dhima ya kuisimamia, ingawa wanapewa nyenzo za kutosha, mishahara minono na posho ambazo hazina hesabu.

 

9 years ago

Michuzi

Dkt. Mpango awaasa Watumishi Wizara ya Fedha na Mipango kufanya kazi kwa bidii ili kukuza uchumi wa nchi.

Watumishi Wizara ya Fedha na Mipango wameaswa kufanya kazi kwa weledi na kuwekeza nguvu zaidi katika ukusanyaji mapato ili kukuza uchumi wa nchi na kuifanya nchi iwe kitovu cha uchumi Barani Afrika. Hayo yamesemwa na Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Mpango alipokuwa akiongea na watendaji wa Wizara hiyo alipowasili Wizarani hapo mara baada ya kuapishwa jana Ikulu jijini Dar es salaam.  Katika mazungumzo yake na watendaji hao, Mhe. Dkt. Mpango, aliuagiza uongozi wa Wizara yake...

 

9 years ago

Mwananchi

Mchakato mahakama ya mafisadi waanza

Utekelezaji wa ahadi za Rais John Magufuli unazidi kushika kasi baada ya kuanza kwa mchakato wa kuanzisha mahakama maalumu ya kuwashughulikia mafisadi.

 

9 years ago

Global Publishers

Kwa uozo huu TRA na TPA, mahakama ya mafisadi ije fasta!

pombeZIARA za kushtukiza za Rais John Pombe Magufuli na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa katika taasisi mbili tu za TRA na TPA zimewaonesha Watanzania jinsi ambavyo baadhi ya watumishi wa serikali wanavyotumia ofisi za umma kujiingizia vipato vya mabilioni ya shilingi kwa njia haramu.

Kama mtu mmoja ameweza kukutwa akimiliki nyumba zaidi ya sabini ni wazi kuwa wapo maelfu ya watumishi hao wenye majumba kibao, miradi, kampuni na shughuli nyingine nyingi za kiuchumi zinazotokana na mapato ambayo...

 

11 years ago

Mwananchi

Suala la Mahakama ya Kadhi katika Mchakato wa Katiba Mpya

Mfumo wetu wa Sheria umejengwa kushughulikia mashauri ya kimila na Kiislamu. Kwa unyenyekevu mkubwa, nikiri kwanza kwamba, mjadala huu unaweza kufanikiwa iwapo tutaweka mbele kujifunza na kutafuta maarifa kama ambavyo imani zote zinavyohubiri.

 

10 years ago

Mtanzania

Mahakama yamsubiri mteule wa Mwakyembe

kipandeNa Masyaga Matinyi, Dar es Salaam

KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA, Mhandisi Madeni Kipande, aliyesimamishwa kazi ili kupisha uchunguzi dhidi ya tuhuma mbalimbali zilizoainishwa na Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta, imebainika kuwa anakabiliwa na mashtaka mengine ya ubadhirifu na rushwa.
Kwa mujibu wa vyanzo vya habari vya uhakika kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Kipande alipaswa kupandishwa kizimbani tangu 2010, lakini haijajulikana sababu...

 

10 years ago

Michuzi

MAGUFULI AHIDI KUANZISHA MAHAKAMA YA MAFISADI NA WALA RUSHWA IWAPO ATACHAGULIWA KUWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi,Dkt John Pombe Magufuli akihutubia maelfu ya wananchi katika viwanja vya Nzovwe mjini Mbeya jioni ya leo,kwenye mkutano wa kampeni ya kuwaomba ridhaa Watanzania ya kuwaongoza katika awamu ya tano.


Dkt Magufuli amesema kuwa serikali atakayoingoza atakapopata ridhaa ya kuingia Ikulu,itazifanya huduma za Afya kuwa bora na kuwabana wahudumu wa afya wenye tabia ya kuchukua dawa na kuziuza kwa watu binafsi.



Magufuli ambaye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani