Kwa uozo huu TRA na TPA, mahakama ya mafisadi ije fasta!
ZIARA za kushtukiza za Rais John Pombe Magufuli na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa katika taasisi mbili tu za TRA na TPA zimewaonesha Watanzania jinsi ambavyo baadhi ya watumishi wa serikali wanavyotumia ofisi za umma kujiingizia vipato vya mabilioni ya shilingi kwa njia haramu.
Kama mtu mmoja ameweza kukutwa akimiliki nyumba zaidi ya sabini ni wazi kuwa wapo maelfu ya watumishi hao wenye majumba kibao, miradi, kampuni na shughuli nyingine nyingi za kiuchumi zinazotokana na mapato ambayo...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziKAMANDA MPINGA AONYA WENYE MABASI KUONGEZA NAULI, AZINDUA HUDUMA FASTA FASTA KWA BODABODA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TgHj0KqUN*u-NCsR42vjj1KckBb72VSK-vrkWhxkkmMX7LB2ggNt5pKfc9TtuF-p0P7gOprP38*GuLTlQDRqoAqB45bTvLTg/tudi.jpg?width=650)
NINGEKUWA MIMI PROFESA TIBAIJUKA NISINGEFUMBIA MACHO UOZO HUU KATIKA ARDHI
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Bunge la Bajeti kuendeshwa ‘fasta fasta’
9 years ago
Mwananchi26 Nov
Mchakato mahakama ya mafisadi waanza
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-NQPKl4luzdk/VnAO8PTnjdI/AAAAAAAIMk4/psI_9AQklIw/s72-c/IMG_8312.jpg)
MAHAKAMA KUU YATOA DHAMANA KWA WATUHUMIWA WATATU WA UHUJUMU UCHUMI WA TRA
![](http://1.bp.blogspot.com/-NQPKl4luzdk/VnAO8PTnjdI/AAAAAAAIMk4/psI_9AQklIw/s640/IMG_8312.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/---LcZr__g8E/VnAO7pT0QZI/AAAAAAAIMk0/o5ArKHSkxoM/s640/IMG_8313.jpg)
Mshitakiwa namba moja katika kesi ya kuhujumu uchumi, aliyekuwa naibu Kamishna wa mamlaka ya mapato Tanzania (TRA), Tiagi Masamaki (Kulia) akiwa na wenzake aliyekuwa Meneja wa Kitengo cha Huduma kwa Wateja, Habibu Mponezya na Bulton Mponezya wakiwa katika Mahakama Kuu Tanzania jijini Dar es Salaam leo wakisomewa shtaka linalowakikabili la makosa ya jinai na uhujumu uchumi.
![](http://2.bp.blogspot.com/-VLUlOilg1yc/VnAPC-wi3JI/AAAAAAAIMlI/JRpaSFrgNtM/s640/IMG_8315.jpg)
9 years ago
IPPmedia17 Dec
Corruption at TRA, TPA costs Hoseah top job
IPPmedia
IPPmedia
Failure to act on endemic corruption within Tanzania Revenue Authority (TRA) and Tanzania Ports Authority (TPA) has cost Dr Edward Hoseah his plum job as the Director General of the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB). In a statement ...
Hoseah sacked for 'inefficiency'Daily News | The National Newspaper (press release) (blog)
Tanzania Has Institutions, but No Political Will, to Fight CorruptionWorld Politics...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WEogkUje_0g/Vour8iKnQpI/AAAAAAAIQik/BYA3xkw3Ws8/s72-c/IMG_0107.jpg)
MAHAKAMA YA MAFISADI NA WAHUJUMU UCHUMI INAFANYIWA KAZI- DK.MWAKYEMBE
Dk.Mwakyembe ameyasema hayo leo wakati alipotembelea Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP),amesema kuwa suala mahakama linafanyiwa kazi kwa karibu na ofisi yake kutokana na ahadi ya Rais Dk.John Pombe Magufuli wakati wa kampeni.
Mwakyembe amesema kuwa watu...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WEogkUje_0g/Vour8iKnQpI/AAAAAAAIQik/BYA3xkw3Ws8/s72-c/IMG_0107.jpg)
SUALA LA MAHAKAMA YA MAFISADI NA WAHUJUMU UCHUMI LINAFANYIWA KAZI - DKT. MWAKYEMBE
11 years ago
Tanzania Daima07 Jan
Huu ni utatu hatari TPA
MSHITUKO: Si siri kuwa Watanzania wote wazalendo tulipata mshituko mkubwa Januari 2 mwaka huu wa 2014 kutokana na utatu batili wa Waziri anayeheshimika sana, Harrison Mwakyembe, Kaimu Mkurugenzi wa Bandari,...