Bunge la Bajeti kuendeshwa ‘fasta fasta’
>Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa ajili ya kujadili Bajeti ya Serikali 2013/14 linatarajiwa kuanza Mei 6, mwaka huu huku likiwa limetengewa siku chache ambazo zitasababisha liendeshwe kwa kasi ili kukamilisha shughuli zake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziKAMANDA MPINGA AONYA WENYE MABASI KUONGEZA NAULI, AZINDUA HUDUMA FASTA FASTA KWA BODABODA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-a-FzCyHE-C*snTBrYpyQcMwspEWnoZi2aU5frnkZHgwnviBQnKbODCFKZsLO7vOz1TGZjZxh2ZKQZ*bv3-0lIqxtuvAFyih/wema.jpg?width=650)
MAMA KANUMBA: WEMA ZAA FASTA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EwLJgW6X-wUbYkNQKGTF1heMq00nNyAOSdGjQhXfJ6DTiTMCMV6nJKl99u62vrGjcr1fFnFBDu70Qtt6T0OYPPi2P7dNfivp/amini.jpg?width=650)
AMINI AANIKA SIRI NDOA YA FASTA, ABADILI JINA
9 years ago
Bongo527 Nov
Matonya: Vaileti iliingiza shilingi milioni 150 fasta
Staa wa muziki wa Bongo Flava, Seif ‘Matonya’ Shaaban, ameuelezea wimbo wake wa kitambo ‘Vaileti’ kuwa ndio wimbo uliompatia pesa nyingi na kwa haraka.
Akizungumza katika kipindi cha The Jump Off cha Times FM, Matonya alisema wiki kadhaa tu baada ya kuachia ngoma hiyo, alijikuta akiwa na pesa nyingi kwenye akaunti yake.
“Vaileti was crazy song kiukweli,” alisema Matonya. “Ulikuwa wimbo mkubwa sana, nilipokea simu nyingi kutoka Marekani na kwingineko, yaani ulipagawisha watu kiukweli. Sasa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-U8b1tc1kyq0/VkXDMyrDAEI/AAAAAAAArTo/LmMgJw5LR00/s72-c/1.jpg)
JK ATINGA OFISINI KWAKE LUMUMBA AANZA KUPIGA MZIGO FASTA
![](http://1.bp.blogspot.com/-U8b1tc1kyq0/VkXDMyrDAEI/AAAAAAAArTo/LmMgJw5LR00/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qV_BqnS-McE/VkXDOzkY8zI/AAAAAAAArTw/htIlQgmlpV8/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-sJXcJAgAJhk/VkXDQEDeP6I/AAAAAAAArT4/BZDSk-NdhuU/s640/5.jpg)
5 years ago
Bongo514 Feb
Bella Fasta awawashia moto wasanii wa filamu walioandamana (Video)
Msanii wa muziki na filamu, Bella Fasta amefunguka kwa kudai kuwa hajapendezwa na kitendo cha baadhi ya wasanii wa filamu nchini kuandamana kupinga filamu za nje, kwa madai hatua hiyo ilitakiwa kujadiliwa na wasanii wote wa filamu na siyo vikundi vya watu fulani ndani ya tasnia hiyo.
Wasanii hao ambao waliandamana wakiongozwa na Jacob Stephan ‘JB’, waliiomba ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam kupiga marufuku wafanyabiashara wa filamu za nje kwa madai hawalipi kodi wakati wasanii wa...
9 years ago
Global Publishers18 Dec
Kwa uozo huu TRA na TPA, mahakama ya mafisadi ije fasta!
ZIARA za kushtukiza za Rais John Pombe Magufuli na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa katika taasisi mbili tu za TRA na TPA zimewaonesha Watanzania jinsi ambavyo baadhi ya watumishi wa serikali wanavyotumia ofisi za umma kujiingizia vipato vya mabilioni ya shilingi kwa njia haramu.
Kama mtu mmoja ameweza kukutwa akimiliki nyumba zaidi ya sabini ni wazi kuwa wapo maelfu ya watumishi hao wenye majumba kibao, miradi, kampuni na shughuli nyingine nyingi za kiuchumi zinazotokana na mapato ambayo...