Bella Fasta awawashia moto wasanii wa filamu walioandamana (Video)
Msanii wa muziki na filamu, Bella Fasta amefunguka kwa kudai kuwa hajapendezwa na kitendo cha baadhi ya wasanii wa filamu nchini kuandamana kupinga filamu za nje, kwa madai hatua hiyo ilitakiwa kujadiliwa na wasanii wote wa filamu na siyo vikundi vya watu fulani ndani ya tasnia hiyo.
Wasanii hao ambao waliandamana wakiongozwa na Jacob Stephan ‘JB’, waliiomba ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam kupiga marufuku wafanyabiashara wa filamu za nje kwa madai hawalipi kodi wakati wasanii wa...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziKAMANDA MPINGA AONYA WENYE MABASI KUONGEZA NAULI, AZINDUA HUDUMA FASTA FASTA KWA BODABODA
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Bunge la Bajeti kuendeshwa ‘fasta fasta’
10 years ago
Bongo Movies24 Dec
Bei Mpya za Filamu:Mtitu Aendelea Kuwaponda Baadi ya Wasanii wa Filamu
Mtengenezaji wa filamu mkongwe hapa nchini, William Mtitu ameendela kuwaponda baadhi ya wasanii ambao wanafanya kazi na kampuni ya Steps Entertainment kwa kukubali kushisha bei ya kazi zao kutoka shilingi 3000/= hadi shilingi 1,500 /= kwa CD moja kwa rejareja.
Kupitia ukurasa wake wa INSTAGRAM, Mtitu aliweka picha hiyo hapo juu na kuandika maneno haya;
"Wakati tukiangaika maporini kushuti sinema zenye ubora wasanii wenzetu sijui tuite upumbavu au kutojielewa wanajifungia ndani na wàhindi...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VlNLqSwOmBc/Uu-ZmasafyI/AAAAAAAFKsQ/w6RU9uz5F1A/s72-c/unnamed+(47).jpg)
Shirikikisho la Wasanii wa Filamu Tanzania lawasilisha maoni ya utafiti wa tasnia ya filamu nchini
![](http://4.bp.blogspot.com/-VlNLqSwOmBc/Uu-ZmasafyI/AAAAAAAFKsQ/w6RU9uz5F1A/s1600/unnamed+(47).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jgjF-mr0UUU/Uu-ZprOo1wI/AAAAAAAFKsk/5AGV2k4Fr-o/s1600/unnamed+(46).jpg)
10 years ago
Bongo515 Jan
New Video: Cassim Mganga atoa video ya ‘Moto Moto’ aliyoshoot na Ogopa mwaka 2013
9 years ago
Bongo517 Oct
Wasanii wengi Bongo ni wanaweza, hawana nyota tu — Christian Bella
9 years ago
Bongo503 Nov
Alikiba na Christian Bella watangaza ‘dili’ kwa anayetaka kufanya filamu ya ‘Nagharamia’
![Bella na Ali Kiba](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/Bella-na-Ali-Kiba-300x194.jpg)
Mashabiki wa Alikiba na Christian Bella muda si mrefu watapata kusikia na kuona collabo ya wakali hao waliyokuwa wakiisubiri kwa hamu kwa muda mrefu.
Kiba na Bella ambao wameshoot video ya wimbo wao mpya ‘Nagharamia’ nchini Afrika Kusini, wamesema kuwa wimbo huo una story nzuri ambayo inaweza hata kutengenezewa filamu.
“Nyimbo tuliyoimba inaweza ikawa hata sound track ya movie kwasababu ni story ambayo inavutia, inapendeza…” Alikiba alifunguka kupitia 255 ya XXL. “Ni idea nzuri ambayo...