Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasanii wengi Bongo ni wanaweza, hawana nyota tu — Christian Bella

Christian Bella amesema licha ya kufanya vizuri kimuziki hapa Tanzania haoni kama yeye ni bora kuliko wenzake. Bella ameiambia Bongo5 kuwa hapa Bongo kuna wasanii wazuri kuliko hata yeye ila bado hawajapata nafasi ya kutosha. “Hongera za watu kwangu ni zaidi ya tuzo, kwa muda huu game ni ngumu sana, kwahiyo kukubalika sio kitu rahisi […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Christian Bella: Belle 9 hana nyota

Belle-9Na Festo Polea
MWANAMUZIKI Christian Bella ‘King of melody’, amesema kwamba msanii wa bongo fleva, Ablenego Damian ‘Belle 9’, amekosa nyota ya kung’aa ingawa ana uwezo mkubwa wa kuimba kwa kutumia sauti yake.
Christian Bella alisema hayo katika kipindi cha ‘Mboni Show’. Alisema kati ya wasanii watatu wanaomvutia kwa kujua kuzitumia sauti zao, Belle 9 ni mmoja wao.
Aliwataja wasanii wengine kuwa ni Ali Kiba na Diamond.
“Nisiwe mnafiki, Diamond hana sauti nzuri kama Ali Kiba katika kuimba na...

 

9 years ago

Bongo5

Dar kuna wasanii wengi wakali ila wengi hawana nidhamu — Producer T-Touch

Miongoni mwa vitu vinavyoikamilisha ‘package’ ya msanii mzuri ukiachilia mbali kipaji ni pamoja na nidhamu ya kazi, pamoja na watu wanaomzunguka msanii wakiwemo mashabiki. Producer T-Touch amesema kuwa msanii bila kuwa na nidhamu ni ngumu kufanya vizuri hata kama ana kipaji. Akizungumza kupitia Planet Bongo ya EA Radio producer huyo aliyefanya hits ikiwemo ‘Muziki Gani’ […]

 

10 years ago

Bongo5

Christian Bella asema Belle 9 ni mkali ila ‘tatizo ni nyota tu’

Mwanamuzi wa bendi ya Malaika, Christian Bella anaamini kuwa Belle 9 ni msanii mwenyezi uwezo mkubwa ila tatizo hana tu nyota ya kung’aa. Hivi karibuni Bella alikuwa kwenye kipindi cha ‘Mboni Show’ ambako alisema Belle amekosa nyota ya kung’aa ingawa ana uwezo mkubwa wa kuimba kwa kutumia sauti yake. “Sielewi kwanini rafiki yangu Belle 9 […]

 

9 years ago

Bongo5

Hakuna msanii Bongo anayefanya show nyingi zaidi yangu — Christian Bella

Mfalme wa masauti, Christian Bella aka Obama amejigamba kuwa hakuna msanii hapa Tanzania anayefanya show nyingi kuliko yeye. Bella ameiambia Bongo5 kuwa kama akiamua kufuata mahitaji ya watu wanaomwitaji hawezi kupata muda wa kupunzika. “Unajua nyimbo zangu zimefanya watu wanihitaji sana,” amesema muimbaji huyo. “Hakuna msanii anayefanya show nyingi hapa Bongo kunizidi mimi. Yaani napigiwa […]

 

9 years ago

Bongo5

Hizi njia 5 wasanii wa Bongo wanaweza kuuza albamu zao kwa faida

Prof Jay - Machozi Jasho Na Damu

Kwa sasa muziki wa Bongo Flava umefanikiwa kuvuka mipaka ya kimataifa kwa kiwango kikubwa. Jambo la kusikitisha ni kuwa kukua kwa muziki wetu kumeshindwa kuimarisha soko la mauzo ya album za wasanii wetu.

Prof Jay - Machozi Jasho Na Damu

Kila msanii amekuwa akilalamikia ukiritimba uliokithiri katika usambazaji wa albamu zao suala linalopelekea wasanii wengi kutotoa albamu. Kiuhalisia ni kuwa albamu siku zote ni kipimo cha ubora wa msanii yeyote yule duniani.

Vuta pumzi kisha zirudishe nyuma kumbukumbu zako,HOMA YA DUNIA,...

 

10 years ago

Bongo Movies

Lucy Komba: Nimeibua Wasanii Wengi, Baadhi yao Hawana Shukrani

Staa mkongwe wa Bongo Movies, Lucy Komba amefunguka hayo leo hii kupitia ukurasa wake wa Instagram.

Nimeibua wasanii wengi ila wasio na shukrani wachache, wengine wanakubali na kunishukuru popote wanapoulizwa, nami natanguliza shukrani zangu za dhati na Mungu atawabariki na mtafika mbali zaidi.

Wengine walikuja mikono nyuma na kunipigia magoti kuomba niwaingize kwenye filam na nikafanya hivyo huku wakilalamika wakina fulani wakiwaomba misaada wanawatukana na mimi ndiyo kimbilio lao, kwa...

 

9 years ago

Bongo Movies

Wasanii Bongo Movie Hawana Mawazo- Lulu

MWIGIZAJI wa kike wa filamu aghari Bongo Elizabeth Michael ‘Lulu’ amesema kuwa wasanii wengi wa filamu hawana mawazo ya maana wala kufikiria mambo makubwa kuhusu wanachokifanya bali ufanya tu kwa sababu wapo na jamii inawaona jambo ambalo anahisi Bongo fleva wamewazidi kuwaza.

“Unawaza kwanza kisha unatenda wasanii wa filamu hawana mawazo mazuri zaidi ya ubishoo tu, hatuoni mbali hatuna wivu wa kimaendeleo, leo unakuta wasanii wa Bongo fleva wanatoka nje wanarudi na tuzo lakini sisi tumekaa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu Asema Wasanii Wengi wa Bongo Movie Hawajieliwi, Tofauti na Bongo Fleva

Mrembo na muigizaji wa filamu za kibongo, Elizabeth Michael, ‘Lulu’ amesema wasanii wengi wa filamu hawana mawazo ya maana na hawafikiriimambo makubwa kuhusu wanachokifanya. Bali hufanya tu kwa sababu  wapo katika jamii na ahahisi wale wa bongo fleva wanafikiri zaidi yao

“ Unawaza kwanza kIsha unatenda, wasanii wa filamu hatuna mawazo mazuri zaidi ya ubishoo tu, hatuoni  mbali  hatuna wivu wa kimaendeleo leo unakuta msanii wa Bongo Fleva wanatoka nnje na wanarudi na tuzo lakini sisi tumekaa...

 

9 years ago

Bongo5

Christian Bella kuachia collabo yake na Koffi Olomide kabla Koffi hajatua Bongo

Bella na Koffi

Mwanamuziki mkongwe wa DRC, Koffi Olomide anatarajiwa kuja Tanzania kutumbuiza wiki Ijayo, na hiyo ndio sababu iliyomfanya Christian Bella kupanga kuachia collabo aliyofanya na mkali huyo mapema kabla hajatua Bongo.

Bella na Koffi

Bella ameiambia Bongo5 kuwa wimbo tayari umekamilika na amepanga kuuachia mapema kabla Koffi hajaja ili aweze kutumbuiza naye wimbo huo ambao ni collabo inayosubiriwa kwa hamu na mashabiki wake.

“Ninajipanga wiki hii au next week ndio nitaachia, kwasababu Koffi anakuja Tanzania...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani