Wasanii wengi Bongo ni wanaweza, hawana nyota tu — Christian Bella
Christian Bella amesema licha ya kufanya vizuri kimuziki hapa Tanzania haoni kama yeye ni bora kuliko wenzake. Bella ameiambia Bongo5 kuwa hapa Bongo kuna wasanii wazuri kuliko hata yeye ila bado hawajapata nafasi ya kutosha. “Hongera za watu kwangu ni zaidi ya tuzo, kwa muda huu game ni ngumu sana, kwahiyo kukubalika sio kitu rahisi […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania15 Apr
Christian Bella: Belle 9 hana nyota
Na Festo Polea
MWANAMUZIKI Christian Bella ‘King of melody’, amesema kwamba msanii wa bongo fleva, Ablenego Damian ‘Belle 9’, amekosa nyota ya kung’aa ingawa ana uwezo mkubwa wa kuimba kwa kutumia sauti yake.
Christian Bella alisema hayo katika kipindi cha ‘Mboni Show’. Alisema kati ya wasanii watatu wanaomvutia kwa kujua kuzitumia sauti zao, Belle 9 ni mmoja wao.
Aliwataja wasanii wengine kuwa ni Ali Kiba na Diamond.
“Nisiwe mnafiki, Diamond hana sauti nzuri kama Ali Kiba katika kuimba na...
9 years ago
Bongo528 Sep
Dar kuna wasanii wengi wakali ila wengi hawana nidhamu — Producer T-Touch
10 years ago
Bongo515 Apr
Christian Bella asema Belle 9 ni mkali ila ‘tatizo ni nyota tu’
9 years ago
Bongo530 Sep
Hakuna msanii Bongo anayefanya show nyingi zaidi yangu — Christian Bella
9 years ago
Bongo530 Dec
Hizi njia 5 wasanii wa Bongo wanaweza kuuza albamu zao kwa faida
![Prof Jay - Machozi Jasho Na Damu](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Prof-Jay-Machozi-Jasho-Na-Damu-300x194.jpg)
Kwa sasa muziki wa Bongo Flava umefanikiwa kuvuka mipaka ya kimataifa kwa kiwango kikubwa. Jambo la kusikitisha ni kuwa kukua kwa muziki wetu kumeshindwa kuimarisha soko la mauzo ya album za wasanii wetu.
Kila msanii amekuwa akilalamikia ukiritimba uliokithiri katika usambazaji wa albamu zao suala linalopelekea wasanii wengi kutotoa albamu. Kiuhalisia ni kuwa albamu siku zote ni kipimo cha ubora wa msanii yeyote yule duniani.
Vuta pumzi kisha zirudishe nyuma kumbukumbu zako,HOMA YA DUNIA,...
10 years ago
Bongo Movies01 Jun
Lucy Komba: Nimeibua Wasanii Wengi, Baadhi yao Hawana Shukrani
Staa mkongwe wa Bongo Movies, Lucy Komba amefunguka hayo leo hii kupitia ukurasa wake wa Instagram.
Nimeibua wasanii wengi ila wasio na shukrani wachache, wengine wanakubali na kunishukuru popote wanapoulizwa, nami natanguliza shukrani zangu za dhati na Mungu atawabariki na mtafika mbali zaidi.
Wengine walikuja mikono nyuma na kunipigia magoti kuomba niwaingize kwenye filam na nikafanya hivyo huku wakilalamika wakina fulani wakiwaomba misaada wanawatukana na mimi ndiyo kimbilio lao, kwa...
9 years ago
Bongo Movies25 Nov
Wasanii Bongo Movie Hawana Mawazo- Lulu
MWIGIZAJI wa kike wa filamu aghari Bongo Elizabeth Michael ‘Lulu’ amesema kuwa wasanii wengi wa filamu hawana mawazo ya maana wala kufikiria mambo makubwa kuhusu wanachokifanya bali ufanya tu kwa sababu wapo na jamii inawaona jambo ambalo anahisi Bongo fleva wamewazidi kuwaza.
“Unawaza kwanza kisha unatenda wasanii wa filamu hawana mawazo mazuri zaidi ya ubishoo tu, hatuoni mbali hatuna wivu wa kimaendeleo, leo unakuta wasanii wa Bongo fleva wanatoka nje wanarudi na tuzo lakini sisi tumekaa...
10 years ago
Bongo Movies10 Feb
Lulu Asema Wasanii Wengi wa Bongo Movie Hawajieliwi, Tofauti na Bongo Fleva
Mrembo na muigizaji wa filamu za kibongo, Elizabeth Michael, ‘Lulu’ amesema wasanii wengi wa filamu hawana mawazo ya maana na hawafikiriimambo makubwa kuhusu wanachokifanya. Bali hufanya tu kwa sababu wapo katika jamii na ahahisi wale wa bongo fleva wanafikiri zaidi yao
“ Unawaza kwanza kIsha unatenda, wasanii wa filamu hatuna mawazo mazuri zaidi ya ubishoo tu, hatuoni mbali hatuna wivu wa kimaendeleo leo unakuta msanii wa Bongo Fleva wanatoka nnje na wanarudi na tuzo lakini sisi tumekaa...
9 years ago
Bongo501 Dec
Christian Bella kuachia collabo yake na Koffi Olomide kabla Koffi hajatua Bongo
![Bella na Koffi](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Bella-na-Koffi-300x194.jpg)
Mwanamuziki mkongwe wa DRC, Koffi Olomide anatarajiwa kuja Tanzania kutumbuiza wiki Ijayo, na hiyo ndio sababu iliyomfanya Christian Bella kupanga kuachia collabo aliyofanya na mkali huyo mapema kabla hajatua Bongo.
Bella ameiambia Bongo5 kuwa wimbo tayari umekamilika na amepanga kuuachia mapema kabla Koffi hajaja ili aweze kutumbuiza naye wimbo huo ambao ni collabo inayosubiriwa kwa hamu na mashabiki wake.
“Ninajipanga wiki hii au next week ndio nitaachia, kwasababu Koffi anakuja Tanzania...