KAMANDA MPINGA AONYA WENYE MABASI KUONGEZA NAULI, AZINDUA HUDUMA FASTA FASTA KWA BODABODA
Kamanda wa Polisi wa kikosi cha usalama Barabarani nchini Kamishna Msaidizi wa Polisi, Mohammed Mpinga, akipata maelezo jinsi ya kujiunga na huduma mpya kwa abiria wa bodaboda inayopatikana kwa njia ya mtandao wa simu za mikononi ijulikanayo kwa jina la “Fasta Fasta Services”. Huduma hiyo umwezesha abiria kupata huduma ya usafiri huo kwa kufuatwa mahali alipo. Picha/Mpiga Picha wetu
Kamanda wa Polisi wa kikosi cha usalama Barabarani nchini Kamishna Msaidizi wa Polisi, Mohammed Mpinga pamoja...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Bunge la Bajeti kuendeshwa ‘fasta fasta’
10 years ago
MichuziKAMANDA MPINGA AFUNGUA NUSU FAINALI MASHINDANO YA SOKA YA BODABODA (MPINGA CUP)
9 years ago
Global Publishers18 Dec
Kwa uozo huu TRA na TPA, mahakama ya mafisadi ije fasta!
ZIARA za kushtukiza za Rais John Pombe Magufuli na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa katika taasisi mbili tu za TRA na TPA zimewaonesha Watanzania jinsi ambavyo baadhi ya watumishi wa serikali wanavyotumia ofisi za umma kujiingizia vipato vya mabilioni ya shilingi kwa njia haramu.
Kama mtu mmoja ameweza kukutwa akimiliki nyumba zaidi ya sabini ni wazi kuwa wapo maelfu ya watumishi hao wenye majumba kibao, miradi, kampuni na shughuli nyingine nyingi za kiuchumi zinazotokana na mapato ambayo...
10 years ago
VijimamboKAMANDA MPIGA AFUNGUA NUSU FAINALI MASHINDANO YA SOKA YA BODABODA (MPINGA CUP)
9 years ago
Dewji Blog28 Nov
Kamanda Mpinga azindua Operesheni Paza Sauti, jijini Dar leo
Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani,DCP Mohamed Mpinga, akisalimiana na Mabalozi wa Usalama Barabarani, muda mfupi kabla ya kuzindua Operesheni ijulikanayo kwa jina la “Paza Sauti” yenye lengo la kuwaelimisha abiria ili waweze kutoa taarifa mara wanapoona kuna viashiria vya uvunjifu wa sheria za barabarani. Operesheni hii ilizinduliwa jijini Dar es Salaam leo.
Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani, DCP Mohammed Mpinga, akitoa maelekezo ndani ya moja ya basi linalofanya safari zake...
9 years ago
MichuziKAMANDA MPINGA AZINDUA OPERESHENI PAZA SAUTI,JIJINI DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-a-FzCyHE-C*snTBrYpyQcMwspEWnoZi2aU5frnkZHgwnviBQnKbODCFKZsLO7vOz1TGZjZxh2ZKQZ*bv3-0lIqxtuvAFyih/wema.jpg?width=650)
MAMA KANUMBA: WEMA ZAA FASTA
9 years ago
Bongo527 Nov
Matonya: Vaileti iliingiza shilingi milioni 150 fasta
Staa wa muziki wa Bongo Flava, Seif ‘Matonya’ Shaaban, ameuelezea wimbo wake wa kitambo ‘Vaileti’ kuwa ndio wimbo uliompatia pesa nyingi na kwa haraka.
Akizungumza katika kipindi cha The Jump Off cha Times FM, Matonya alisema wiki kadhaa tu baada ya kuachia ngoma hiyo, alijikuta akiwa na pesa nyingi kwenye akaunti yake.
“Vaileti was crazy song kiukweli,” alisema Matonya. “Ulikuwa wimbo mkubwa sana, nilipokea simu nyingi kutoka Marekani na kwingineko, yaani ulipagawisha watu kiukweli. Sasa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EwLJgW6X-wUbYkNQKGTF1heMq00nNyAOSdGjQhXfJ6DTiTMCMV6nJKl99u62vrGjcr1fFnFBDu70Qtt6T0OYPPi2P7dNfivp/amini.jpg?width=650)
AMINI AANIKA SIRI NDOA YA FASTA, ABADILI JINA