Kamanda Mpinga azindua Operesheni Paza Sauti, jijini Dar leo
Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani,DCP Mohamed Mpinga, akisalimiana na Mabalozi wa Usalama Barabarani, muda mfupi kabla ya kuzindua Operesheni ijulikanayo kwa jina la “Paza Sauti” yenye lengo la kuwaelimisha abiria ili waweze kutoa taarifa mara wanapoona kuna viashiria vya uvunjifu wa sheria za barabarani. Operesheni hii ilizinduliwa jijini Dar es Salaam leo.
Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani, DCP Mohammed Mpinga, akitoa maelekezo ndani ya moja ya basi linalofanya safari zake...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziKAMANDA MPINGA AZINDUA OPERESHENI PAZA SAUTI,JIJINI DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
MichuziKAMANDA MPINGA AFUNGUA NUSU FAINALI MASHINDANO YA SOKA YA BODABODA (MPINGA CUP)
9 years ago
MichuziKAMANDA MPINGA AONYA WENYE MABASI KUONGEZA NAULI, AZINDUA HUDUMA FASTA FASTA KWA BODABODA
9 years ago
Dewji Blog26 Aug
Kamanda Mpinga atembelea kambi ya timu ya kamati Amani ya viongozi wa dini mkoa wa Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-WBowwnVQC5g/Vd2qqYeHqNI/AAAAAAACh-I/mBMfKQ5rtIs/s640/5.jpg)
Kamanda Mpinga, akisalimiana na walimu wa timu hiyo, baada ya mazoezi yao kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam, leo asubuhi.
*Yajifua uwanja wa Karume kujiandaa kuwasambaratisha wenzao wa Arusha mwezi ujao
Mchungaji wa Kanisa la Penuel Healing Ministry Ubungo Kibangu, Mch. Alphonce Temba (kulia) akimramba chenga Mchungaji wa Kanisa la KKKT Mashariki ya Pwania, George Fupe, wakati wa mazoezi yao yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam, leo asubuhi kwa ajili ya...
9 years ago
Habarileo29 Nov
Shinyanga wazindua abiria paza sauti
JESHI la polisi mkoani Shinyanga kupitia kikosi cha usalama barabarani kimezindua kampeni ya “Abiria Paza Sauti” yenye lengo la kuwataka abiria kushirikiana ili wadhibiti na kupunguza ajali za barabarani hasa kipindi cha kuelekea siku za sikukuu.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GXkZuHVrHfo/U-oRNVhfu9I/AAAAAAAF-6g/UpkqD7iuicU/s72-c/1.jpg)
MAMA ASHA BILAL AZINDUA OMO FASTACTION JIJINI DAR LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-GXkZuHVrHfo/U-oRNVhfu9I/AAAAAAAF-6g/UpkqD7iuicU/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FDbKY0vWS78/U-oRPQxXYcI/AAAAAAAF-6w/IuXkIcVd9E8/s1600/13.jpg)
Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Unilever kwa Afrika Mashariki,Marc Engel akitoa hotuba yake wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Sabuni ya kufulia ya OMO FastAction uliofanyika rasmi leo kwenye hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam.
![](http://4.bp.blogspot.com/-hoGjUzzJXrI/U-oRUxjbbaI/AAAAAAAF-74/KrQLXdS_dww/s1600/20.jpg)
Meneja ...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-orisPwbDEYY/U3OQfsrfOEI/AAAAAAAFhsc/um23jPbRtQk/s72-c/D92A2564.jpg)
Rais Kikwete azindua Humuma ya M-PAWA ya Vodacom jijini Dar leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-orisPwbDEYY/U3OQfsrfOEI/AAAAAAAFhsc/um23jPbRtQk/s1600/D92A2564.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-sePVVOGM3aA/U3OQobt-i4I/AAAAAAAFhss/1vqh_2dBk5s/s1600/D92A2603.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-49IoePVMUbw/U3OQj8aplxI/AAAAAAAFhsk/ABuzJfjsh-I/s1600/D92A2645.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--mVlYJYu1b0/Xra8L_xNOSI/AAAAAAAAJ78/0bZjiSpzGEYnWtmcX0-en2NgFoD5_ox8gCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot%2B2020-05-09%2Bat%2B17.20.03.png)
WAZIRI KAMWELWE AZINDUA MFUMO WA TIKETI MTANDAO LEO JIJINI DAR
![](https://1.bp.blogspot.com/--mVlYJYu1b0/Xra8L_xNOSI/AAAAAAAAJ78/0bZjiSpzGEYnWtmcX0-en2NgFoD5_ox8gCLcBGAsYHQ/s640/Screenshot%2B2020-05-09%2Bat%2B17.20.03.png)
Waziri Kamwelwe amezindua mfumo huo jijini Dar Es salaam ambapo amesema kuwa mfumo huo uliotengenezwa na Kituo cha Taifa cha Kutunza Taarifa (NIDC) utasaidia kupunguza msongamano katika vituo na kurahisisha huduma ya...
11 years ago
Dewji Blog12 Aug
Mama Asha Bilal azindua “Omo Fast Action” jijini Dar leo
Mke wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Asha Bilal akitoa hotuba yake wakati alipokuwa Mgeni Rasmi kwenye hafla ya Uzinduzi wa Sabuni ya kufulia ya OMO FastAction uliofanyika rasmi leo kwenye hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam.
Kampuni ya Unilever Tanzania Limited, leo hii imezindua rasmi toleo jipya la sabuni yake ya kufulia ya Omo ambayo inaondoa madoa sugu haraka zaidi na kuacha nguo zikinukia vizuri. Sabuni hiyo mpya ya ‘Omo Fast Action’ imezinduliwa katika...