Mahakama yamsubiri mteule wa Mwakyembe
Na Masyaga Matinyi, Dar es Salaam
KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA, Mhandisi Madeni Kipande, aliyesimamishwa kazi ili kupisha uchunguzi dhidi ya tuhuma mbalimbali zilizoainishwa na Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta, imebainika kuwa anakabiliwa na mashtaka mengine ya ubadhirifu na rushwa.
Kwa mujibu wa vyanzo vya habari vya uhakika kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Kipande alipaswa kupandishwa kizimbani tangu 2010, lakini haijajulikana sababu...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog13 Jun
MAHAKAMA YAAMURU RAIS MTEULE WA BURUNDI AAPISHWE HARAKA

9 years ago
Mwananchi29 Dec
Mahakama yatupa pingamizi la ubunge dhidi ya Dk Mwakyembe
9 years ago
Michuzi
MAHAKAMA YA MAFISADI NA WAHUJUMU UCHUMI INAFANYIWA KAZI- DK.MWAKYEMBE
Dk.Mwakyembe ameyasema hayo leo wakati alipotembelea Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP),amesema kuwa suala mahakama linafanyiwa kazi kwa karibu na ofisi yake kutokana na ahadi ya Rais Dk.John Pombe Magufuli wakati wa kampeni.
Mwakyembe amesema kuwa watu...
9 years ago
Michuzi
SUALA LA MAHAKAMA YA MAFISADI NA WAHUJUMU UCHUMI LINAFANYIWA KAZI - DKT. MWAKYEMBE
9 years ago
StarTV29 Dec
 Mahakama Kuu yamfutia kesi Dk. Mwakyembe kuhusu Kesi Za Kupinga Matokeo
Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya imeitupilia mbali kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi iliyofunguliwa na aliyekuwa Mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, kwenye uchaguzi mkuu uliopita, Abraham Mwanyamaki, dhidi ya Mbunge wa Kyela na Waziri wa Katiba na Sheria, Dokta Harrison Mwakyembe.
Mahakama imefikia hatua hiyo baada ya Mwanyamaki kushindwa kulipa ada ya gharama za uendeshaji wa kesi hiyo shilingi Milioni Tatu katika muda wa Siku 14 uliowekwa kisheria.
Baada ya uchaguzi mkuu...
10 years ago
Mwananchi26 Jan
Ngasa atimkia Sauzi, Yanga yamsubiri
11 years ago
Tanzania Daima24 Jan
Mapokezi makubwa yamsubiri Mbowe Geita
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, anasubiriwa kwa hamu na wakazi wa mkoa huu kwa mujibu wa ratiba yake ya mikutano ya Januari 27, mwaka huu...
5 years ago
Michuzi
MAHAKAMA KUU KANDA DARESALAAM YATOA HUKUMU KWA MAHAKAMA MTANDAO
5 years ago
Michuzi
MTENDAJI MKUU WA MAHAKAMA YA TANZANIA AKIKAGUA UJENZI WA MAHAKAMA JUMUISHI


