Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAHAKAMA YAAMURU RAIS MTEULE WA BURUNDI AAPISHWE HARAKA


Mrithi wa NkurunzinzaHaki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionJenerali Ndiyashimiye kuapishwa kabla ya Agosti.Mahakama ya kikatiba ya Burundi imeamua kuwa rais mteule Meja Jenerali mstaafu Evariste Ndayishimiye aapishwe urais mara moja na hakutakuwa na rais wa mpito.Toka kutangazwa kifo cha Nkurunziza mapema wiki hii kumekuwa na ombwe la uongozi nchini humo.Katiba ya nchi hiyo inaeleza kuwa spika wa bunge atatakiwa kuchukua nafasi hiyo kwa mpito pale rais anapofariki. Hata hivyo Spika Pascal Nyabenda...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

RAIS MAGUFULI AZUNGUMZA KWA SIMU NA RAIS MTEULE WA BURUNDI, LEO

Rais Dk. John MagufuliIkulu, Chamwino.
Rais Dk. John Magufuli amezungumza kwa njia ya simu na Rais Mteule wa Jamhuri ya Burundi Evariste Ndayishimiye na kumpongeza kwa uamuzi wa Mahakama ya Katiba nchini Burundi iliyoagiza Rais Mteule aapishwe haraka.

Katika mazungumzo hayo, Rais Magufuli amemtakia heri Rais Mteule Ndayishimiye kuelekea kuapishwa kwake kuwa Rais wa  Burundi kutakakofanyika hivi karibuni.

Rais Magufuli amemhakikishia Rais Mteule Ndayishimiye kuwa Tanzania itaendeleza na kukuza...

 

5 years ago

CCM Blog

MJUE RAIS MTEULE WA BURUNDI


Evariste Ndayishimiye pumping fist in the airHaki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionEvariste Ndayishimiye ni mshirika wa karibu wa rais wa Burundi Pierre NkurunzizaNi matokekeao ambayo yalikuwa yanatarajiwa. Tume ya uchaguzi hii leo imemtangaza Meja Jenerali mstaafu Evariste Ndayishimiye kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika juma lililopita.Evariste atachukua nafasi ya Rais Pierre Nkurunziza mbaye ameliongoza taifa hilo la Afrika Mashariki kwa miaka 15.Watu wengi wamekuwa wakijiuliza Ndayishimiye ni nani? mwanasiasa huyo...

 

5 years ago

BBCSwahili

Evariste Ndayishimiye: Mfahamu rais mteule wa Burundi na mwandani wa Nkurunziza

Jenerali Ndayishimiye, ni mwandani wa karibu wa rais Pierre Nkurunziza, amekuwa katibu mkuu wa CNDD-FDD tangu mwaka wa 2016.

 

5 years ago

BBCSwahili

Rwanda yampongeza rais mteule wa Burundi, je huu ndio mwanzo mpya?

Serikali ya Rwanda imetuma risala ya pongezi kwa rais mteule wa Burundi Meja Jenerali Everiste Ndayishimiye.Wizara ya mambo ya nchi za nje ya Rwanda imetumia fursa hiyo kusema kwamba nchi hiyo iko tayari kurejesha uhusiano baina ya nchi hizo.

 

5 years ago

Michuzi

SAMIA KUONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA SHEREHE ZA KUAPISHWA KWA RAIS MTEULE WA BURUNDI


 Waziri wa mambo na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi akisaini kitabu cha maombolezo katika Ubalozi wa Burundi Nchini Tanzania kufuatia kifo cha Rais wa Burundi Mhe. Pirre Nkurunziza aliyefariki Juni 09,2020.. Kulia kwake aliyesimama ni Balozi wa Tanzania nchini Burundi Balozi Gervais Abayeho. Waziri wa mambo na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi akisalimiana na Balozi wa Burundi Nchini Tanzania Mhe. Gervais Abayeho Picha ya Rais wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mahakama yaamuru la Liga kuendelea

Mahakama kuu ya Uhispania imeagiza mechi za ligi kuu ya Uhispania La Liga ziendelee pasi na mgomo.

 

10 years ago

Habarileo

Mahakama yaamuru maiti afukuliwe

MAHAKAMA ya Ardhi na Nyumba Wilaya ya Arusha, imeamuru maiti aliyezikwa wiki iliyopita afukuliwe na kuzikwa eneo lingine katika Kijiji cha Ngaramtoni wilayani Arumeru, kutokana na mgogoro wa ardhi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mahakama yaamuru Maiti ifukuliwe

MGOGORO wakugombea Mwili wa mzee Cleophas Senga (80) Mkazi wa Chanji, Wilayani hapa, mkoani Rukwa, umechukua sura mpya baada ya Jeshi la Polisi kufukua maiti ya mzee huyo kwa amri...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mahakama yaamuru wananchi kulipwa fidia

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Arusha, imeiamuru Halmashauri ya Wilaya ya Arusha kuwalipa fidia wananchi 43 wanaoishi kandokando ya barabara ya Mianzini hadi Timolo, ili wapishe upanuzi wa barabara hiyo yenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani