MJUE RAIS MTEULE WA BURUNDI
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionEvariste Ndayishimiye ni mshirika wa karibu wa rais wa Burundi Pierre NkurunzizaNi matokekeao ambayo yalikuwa yanatarajiwa. Tume ya uchaguzi hii leo imemtangaza Meja Jenerali mstaafu Evariste Ndayishimiye kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika juma lililopita.Evariste atachukua nafasi ya Rais Pierre Nkurunziza mbaye ameliongoza taifa hilo la Afrika Mashariki kwa miaka 15.Watu wengi wamekuwa wakijiuliza Ndayishimiye ni nani? mwanasiasa huyo...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ys5PabB9MgI/XuS2A-r0FjI/AAAAAAACNKY/j3GEJ6WjTK8hNAhokKx1YwCpzXGihDipQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200613_135908.jpg)
RAIS MAGUFULI AZUNGUMZA KWA SIMU NA RAIS MTEULE WA BURUNDI, LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-ys5PabB9MgI/XuS2A-r0FjI/AAAAAAACNKY/j3GEJ6WjTK8hNAhokKx1YwCpzXGihDipQCLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200613_135908.jpg)
Rais Dk. John Magufuli amezungumza kwa njia ya simu na Rais Mteule wa Jamhuri ya Burundi Evariste Ndayishimiye na kumpongeza kwa uamuzi wa Mahakama ya Katiba nchini Burundi iliyoagiza Rais Mteule aapishwe haraka.
Katika mazungumzo hayo, Rais Magufuli amemtakia heri Rais Mteule Ndayishimiye kuelekea kuapishwa kwake kuwa Rais wa Burundi kutakakofanyika hivi karibuni.
Rais Magufuli amemhakikishia Rais Mteule Ndayishimiye kuwa Tanzania itaendeleza na kukuza...
5 years ago
CCM Blog13 Jun
MAHAKAMA YAAMURU RAIS MTEULE WA BURUNDI AAPISHWE HARAKA
![Mrithi wa Nkurunzinza](https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/9585/production/_112877283_00ceb8b9-4f37-4548-947d-f7fae68369e6.jpg)
5 years ago
BBCSwahili25 May
Evariste Ndayishimiye: Mfahamu rais mteule wa Burundi na mwandani wa Nkurunziza
5 years ago
BBCSwahili08 Jun
Rwanda yampongeza rais mteule wa Burundi, je huu ndio mwanzo mpya?
5 years ago
MichuziSAMIA KUONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA SHEREHE ZA KUAPISHWA KWA RAIS MTEULE WA BURUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-1QVCI14ON2o/Xun2S0DpRlI/AAAAAAALuN8/pARAbTTXRuIAwZUjLJ5EI9P29XHTwJiHQCLcBGAsYHQ/s640/01.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-6k7qwmTfgWY/Xun2OVW3vAI/AAAAAAALuN4/4mvpZHjfeH82VqTFkup-AVo4SVS6OopJwCLcBGAsYHQ/s640/02.png)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iQfpjMn7KaY/Vjnr3r_ovBI/AAAAAAAIEFY/jQlDstxroWc/s72-c/New%2BPicture.png)
RAIS KIKWETE ATOA SALAMU ZA PONGEZI KWA RAIS MTEULE WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANANIA,JOHN POMBE MAGUFULI
![](http://2.bp.blogspot.com/-iQfpjMn7KaY/Vjnr3r_ovBI/AAAAAAAIEFY/jQlDstxroWc/s1600/New%2BPicture.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARISalamu za pongezi kwa Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli zimeanza kumiminika nchini, za kwanza zikiwa zimetumwa na Rais wa Rwanda, Mheshimiwa Paul Kagame na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kiarabu ya Saharawi Mheshimiwa Mohammed Abdelaziz.
Katika salamu zake kwa Rais Mteule Magufuli, Rais wa Rwanda Mheshimiwa Kagame amesema: “Kufuatia...
9 years ago
Dewji Blog30 Oct
Rais Kikwete ampongeza Rais Mteule Dkt. John Pombe Magufuli, Mama Anna Mghwira wa ACT Wazalendo atuma salamu za pongezi
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza kwa furaha mshindi wa kinyang’anyiro cha Urais kwa tiketi ya CCM na Rais Mteule Dkt John Pombe Joseph Magufuli mara baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva kutangaza kutangaza rasmi matokeo ya uchaguzi mkuu Ikulu jijini Dar es salaam ambako walifuatilia kwa pamoja matangazo hayo ya moja kwa moja kupitia vituo vya televisheni jana jioni Oktoba 29, 2015.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimsomea sms za pongezi kutoka kila...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-0ngl5v88py0/VjJEwY886JI/AAAAAAABjd8/tYUYkoV09os/s72-c/j1.jpg)
RAIS KIKWETE AMPONGEZA RAIS MTEULE DKT JOHN POMBE MAGUFULI, MAMA ANNA MGHWIRA WA ACT WAZALENZO ATUMA SALAMU ZA PONGEZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-0ngl5v88py0/VjJEwY886JI/AAAAAAABjd8/tYUYkoV09os/s640/j1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Wgs421RhDug/VjJE07XaeOI/AAAAAAABjeQ/TffZYZUJgGI/s640/j2.jpg)
9 years ago
Mwananchi29 Oct
DK Magufuli rais mteule Tanzania